#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Nadhani ndugu una stereotype. Labda utukumbushe tu kama ulishawahi kusikia kitu cha namna hii tangu COVID 19 ilipotangazwa rasmi kuwa janga mwezi Machi 2020. Hatuwezi kujitenga na ukweli COVID 19 imeondoka na wapendwa wetu. Kama nchi hatukuwa na mkakati wa kitaifa juu ya namna ya kushughulikia COVID19. Wacheni upuuzi. Madam President amesema vizuri sana anaunda kamati ya kitaalam ifanye utafiti ilete mapendekezo serikalini. Ni hii ndio leadership ndugu yangu.
 
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Tuache kupiga ramli chonganishi tumwache Mama yetu achape kazi.
 
Vipi nazile habari tunazosikia kuwa chanjo inafawanya damu zigande,kama taifa tunaweza kulihandle vipi hili??
Ndio maana Rais kasema wataunda team ya wataalamu, by the way mpaka sasa nina ndugu zangu na rafiki zaidi ya kumi waliopewa chanjo tayari na hakuna aliedhurika, nadhani changamoto ipo lakini we should also consider the positive side of it
 
Kama wataleta hizo chanjo ziwekwe kwa atakaye tu, tusilazimishane,
Binafsi sitaki hata kuzisikia/kuisikia.
 
Hahaha haaaa! Nakusikitikia,kwani hata ukiwa na mapenzi namna gani na JPM huwezi hata siku moja kuandika na kufikiri hivi. Najua leo ni siku ya 21 na ni ya mwisho kwa maombolezo kitaifa, lakini ukweli utabaki kuwa ukweli.

Hivi ubajua madaktari pale wanapogundua mgonjwa kafa kwa UVIKO-19(Covid-19), katika taarifa ya kifo walikuwa wanaandikaje? Nikiweka kumbukumbu sawa, cheti kilikuwa kinaandikwa Taabu ya kupumua na nimonia kali. Wataalam wanajua kuwa Nimonia sio UVIKO na taabu ya kupumua inaweza kusababishwa na magonjwa lukuki. Hivyo hakuna tamko/andiko la kidaktari hapo, ni wanasiasa wakaiteka taaluma.

Hali hiyo haikutokea katika idara ya Afya tu, bali sehemu zote katika utawala wa awamu ya 5. Fuatilia taarifa ya CAG- Assad, na matamshi ya wanasiasa. Kama hatuheshimu wataalam, jua Tanzania tumekwisha. Amka!

Huu ni mwanzo kabisa wa ufumbuzi wa matatizo mengi yaliyopo Tanzania. Mama endelea, watakuelewa tu na wanataaluma watapumua kutekeleza kwa vitendo waliyoyasoma miaka mingi.

Kama umeajiriwa na unalipwa kwa kueneza propoganda za kinafiki ni kusaidie je? Takwimu z vifo vya korona huko zinapotolewa zimesaidia nini?

Hujui Mganga mkuu wa Uingereza kasema wataishi na corana kama flu. Kwa nini asiseme wataishi nayo kama covid 19? Hujui hilo neno flu ndio hii nimonia na taabu ya kupumua inayo andikwa kwenye vyeti hapa kwetu na hekima yake hiyo ya kuwaondolea watu hofu na woga ya JPM almaruhumu mnainanga na hamuioni. Anaye inanga na wapambe wake hawaoni ujasiri wa kutovaa barakoa walioambukizwa na hekima hii..
 
Nadhani ndugu una stereotype. Labda utukumbushe tu kama ulishawahi kusikia kitu cha namna hii tangu COVID 19 ilipotangazwa rasmi kuwa janga mwezi Machi 2020. Hatuwezi kujitenga na ukweli COVID 19 imeondoka na wapendwa wetu. Kama nchi hatukuwa na mkakati wa kitaifa juu ya namna ya kushughulikia COVID19. Wacheni upuuzi. Madam President amesema vizuri sana anaunda kamati ya kitaalam ifanye utafiti ilete mapendekezo serikalini. Ni hii ndio leadership ndugu yangu.

Mpuuzi ni wewe unayetaka tu amini hapakuwepo kamati.
 
Tuache kupiga ramli chonganishi tumwache Mama yetu achape kazi.

Hakuna ramli chonganishi hapa. Tena wengine tunasema hivi kwa sababu ya kumpenda na tuna muombea pia. Hatumsaidii huyu kinafi bali kwa kumuambia kweli ambayo akizingatia itamsadia na kumuweka huru kweli kweli.
 
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Utakuwa mwanamtandao wa Sukuma Gang wewe.
 
Ndio maana Rais kasema wataunda team ya wataalamu, by the way mpaka sasa nina ndugu zangu na rafiki zaidi ya kumi waliopewa chanjo tayari na hakuna aliedhurika, nadhani changamoto ipo lakini we should also consider the positive side of it
Kwa hiyo unajisikia fahari ww pata chanjo za hovyo.....
siku utaona hiyo mbususu yako imegeuka chura ndio utajua hujui
 
Back
Top Bottom