Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Sidhani kama anaweza kufikia huko, atapoteza support kubwa.....nadhani itakuwa nikuchukua tahadhali tu kama zamaniWafanye yote ila hatutaki kusikia lockdown.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama anaweza kufikia huko, atapoteza support kubwa.....nadhani itakuwa nikuchukua tahadhali tu kama zamaniWafanye yote ila hatutaki kusikia lockdown.
Nadhani ndugu una stereotype. Labda utukumbushe tu kama ulishawahi kusikia kitu cha namna hii tangu COVID 19 ilipotangazwa rasmi kuwa janga mwezi Machi 2020. Hatuwezi kujitenga na ukweli COVID 19 imeondoka na wapendwa wetu. Kama nchi hatukuwa na mkakati wa kitaifa juu ya namna ya kushughulikia COVID19. Wacheni upuuzi. Madam President amesema vizuri sana anaunda kamati ya kitaalam ifanye utafiti ilete mapendekezo serikalini. Ni hii ndio leadership ndugu yangu.Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?
Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.
Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Tuache kupiga ramli chonganishi tumwache Mama yetu achape kazi.Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?
Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.
Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
itakua vyuma na wakipendekeza chanjo pia ni vyema iwe ya hiari..Sidhani kama anaweza kufikia huko, atapoteza support kubwa.....nadhani itakuwa nikuchukua tahadhali tu kama zamani
Ndio maana Rais kasema wataunda team ya wataalamu, by the way mpaka sasa nina ndugu zangu na rafiki zaidi ya kumi waliopewa chanjo tayari na hakuna aliedhurika, nadhani changamoto ipo lakini we should also consider the positive side of itVipi nazile habari tunazosikia kuwa chanjo inafawanya damu zigande,kama taifa tunaweza kulihandle vipi hili??
Lockdown hata wazungu wameona haisaidiiWafanye yote ila hatutaki kusikia lockdown.
Hahaha haaaa! Nakusikitikia,kwani hata ukiwa na mapenzi namna gani na JPM huwezi hata siku moja kuandika na kufikiri hivi. Najua leo ni siku ya 21 na ni ya mwisho kwa maombolezo kitaifa, lakini ukweli utabaki kuwa ukweli.
Hivi ubajua madaktari pale wanapogundua mgonjwa kafa kwa UVIKO-19(Covid-19), katika taarifa ya kifo walikuwa wanaandikaje? Nikiweka kumbukumbu sawa, cheti kilikuwa kinaandikwa Taabu ya kupumua na nimonia kali. Wataalam wanajua kuwa Nimonia sio UVIKO na taabu ya kupumua inaweza kusababishwa na magonjwa lukuki. Hivyo hakuna tamko/andiko la kidaktari hapo, ni wanasiasa wakaiteka taaluma.
Hali hiyo haikutokea katika idara ya Afya tu, bali sehemu zote katika utawala wa awamu ya 5. Fuatilia taarifa ya CAG- Assad, na matamshi ya wanasiasa. Kama hatuheshimu wataalam, jua Tanzania tumekwisha. Amka!
Huu ni mwanzo kabisa wa ufumbuzi wa matatizo mengi yaliyopo Tanzania. Mama endelea, watakuelewa tu na wanataaluma watapumua kutekeleza kwa vitendo waliyoyasoma miaka mingi.
Nadhani ndugu una stereotype. Labda utukumbushe tu kama ulishawahi kusikia kitu cha namna hii tangu COVID 19 ilipotangazwa rasmi kuwa janga mwezi Machi 2020. Hatuwezi kujitenga na ukweli COVID 19 imeondoka na wapendwa wetu. Kama nchi hatukuwa na mkakati wa kitaifa juu ya namna ya kushughulikia COVID19. Wacheni upuuzi. Madam President amesema vizuri sana anaunda kamati ya kitaalam ifanye utafiti ilete mapendekezo serikalini. Ni hii ndio leadership ndugu yangu.
Hii haitakaa itokee kamwe,Wafanye yote ila hatutaki kusikia lockdown.
Tuache kupiga ramli chonganishi tumwache Mama yetu achape kazi.
Hahahaaa! Naona anatuonyesha madhaifu ya mwendazake taratiiibu, mama aache janja akapige nyunguLeo nimethibitisha kwa rasilimali CCM walizo nazo wana uwezo wa kushikilia dola miaka mingine 100 ijayo.
Hongera sana rais wetu Samia Suluhu Hassan🔥🔥🔥🔥 Unaweza sana mama.
Utakuwa mwanamtandao wa Sukuma Gang wewe.Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?
Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.
Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Utakuwa mwanamtandao wa Sukuma Gang wewe.
Hv ni ufupi wa akili....Finally tuna matumaini hata ya kupata chanjo, yule mwingine alitupotosha sana na nyungu.
Mkuu mbona hatujaona ripoti ya hiyo kamati kwa muda mrefu sana?Mbona kamati ipo, na inafanya kazi. Sema mama kakazia zaidi
Comment nzuri hii!Tunapimwa CORONA.
Unaweza kuendelea kupiga nyungu,mimi naamini njia za kisayansiHv ni ufupi wa akili....
ama ni mkurupuko wako!!?
Kwa hiyo unajisikia fahari ww pata chanjo za hovyo.....Ndio maana Rais kasema wataunda team ya wataalamu, by the way mpaka sasa nina ndugu zangu na rafiki zaidi ya kumi waliopewa chanjo tayari na hakuna aliedhurika, nadhani changamoto ipo lakini we should also consider the positive side of it