#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

Nimesikitika sana Kwa JPM kujitoa kwa Makusudi kwa Watu wasio na Shukrani na Wanafiki. Nimejifunza hapa Duniani ni kuamini katika imani ya Mungu tu na kujipenda na kusaidia wengine bila kujali nini nitalipwa. Binadamu ni Viumbe wa ajabu sana.
Alijitoa? Ashukuriwe Mungu kwa kuturudishia amani yetu angalau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule mropokaji hakuwa anataka kushauriwa chochote na ndomaana yakamkuta. Wewe nawe ndezi kweli kweli. Inamaana angesikiliza ushauri wa wataalamu angeacha kuchukuwa tahadhari kama, kuvaa barakoa etc?

Sent using Jamii Forums mobile app

Barako zenye infection? Canada jana wamestukia hizo barako. Barako zinazo valiwa na kushushwa wakati mwengine kwenye kidefu.

Mbona hamsemi nchi yenye sheria ya kuvaa mbili mbili na huduma zilizo bora kuliko sisi kwa tofauti ya mbingu na nchi na bado ndiyo yenye takwimu za kutisha za vifo na kuingiza dunia.

Edeleeni kutumia matusi kama yatasaidia. Na mshukuru Mungu kwa kila tusi na kejeli hii ina ni farji na yatosha sana.
 
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
I see, hapo anatuambia mwendazake hakutaka ushauri wa wataalam kuhusu covid-19.Kwa style yake, chanjo za kina Bill gates zaja ni suala la wakati tu.
 
Wafanye yote ila hatutaki kusikia lockdown.
Unajua walau maana ya lockdown au unahadithiwa tu? Tanzania mazingira hayawezi kufanyika lockdown. Hili neno ''lockdown'' wabongo wengi hata hawajui maana na Magufuli alikuwa analitumia kujihami asiwajibike kwenye suala la covid. Bila hata lockdown kuna hatua za kuchukuwa nzuri tu.
 
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.

Wewe unauliza swali gani sasa.
Anayesema hivyo alikuwa makamo wa Rais, sasa wewe na yeye nani anajua zaidi kilichokuwa kinaendelea? Mwacheni mama asafishe nchi.
 
Bila chanjo wafanyabiashara wataathirika maana hautoruhusiwa kwenda nchi za nje. Na kama data hazieleweki vile vile hamtoruhusiwa kwenda baadhi ya nchi. Inabidi sometimes uende nao
 
Unajua walau maana ya lockdown au unahadithiwa tu? Tanzania mazingira hayawezi kufanyika lockdown. Hili neno ''lockdown'' wabongo wengi hata hawajui maana na Magufuli alikuwa analitumia kujihami asiwajibike kwenye suala la covid. Bila hata lockdown kuna hatua za kuchukuwa nzuri tu.
Mitano tena kwako.
 
I see, hapo anatuambia mwendazake hakutaka ushauri wa wataalam kuhusu covid-19.Kwa style yake, chanjo za kina Bill gates zaja ni suala la wakati tu.

Asingetaka ushauri wa wataalamu angegundua hila ya calibration katika nashine za kupimia corona? Na ona hatari iliyo mbelecta Taifa hili tukienda kwa style hii. Sijui kama wako wengine wanaliona hili.
 
Point yake kuu ni Tanzania ijulikane ina msimamo gani, wanakubaliana na mapendekezo au hawakubaliani nayo ila sio kuwa haijulikani msimamo wake.

Yeye msimamo wake unaonekana wazi, havai barakoa hana mpango wa lockdown maana hata hajazungumzia.

Na anataka wataalamu, wanasayansi ndio wakae na kumshauri, sio kuacha ujinga na conspiracy theories ziendeshe nchi.
 
Kwa mawazo yangu, Suala la Corona angelinyamaza tu, mbona kama hatuna usumbufu kama walionao nchi nyingine??

Corona mkianza kuichukulia hatua na mapendekezo ya WHO mkaanza kuyafuata, inangata kuliko nyuki, waulizeni majirani wetu na kwingine huko duniani

Hii ni biashara, na ndani ya hiyo biashara kuna ili imlipe mwenyewe, ni lazima uvae barakoa, ujifungie na ndipo utaelekea kuagiza chanjo
 
Wewe unauliza swali gani sasa.
Anayesema hivyo alikuwa makamo wa Rais, sasa wewe na yeye nani anajua zaidi kilichokuwa kinaendelea? Mwacheni mama asafishe nchi.

Ninaye andika hivi nilifuatiliana mambo ya JPM nje ndani. Wala nisingeweza kuteu na kutengua saa chache baadaye. Labda maana ya neno kujua imebadilika tangu awamu ya 6 ianze kazi.
 
Wafanye yote ila hatutaki kusikia lockdown.
inakuja we tulia uchomwe sindano ya ndui, itakua ni mwendo wa kugongwa mtama unawekwa kwenye gunia unapelekwqa chemba ya maangamizi, jiandae tu kisaikolojia hamna namna mkuu
 
Tatizo mkiambiwa Tuiombee nchi yetu wengi mnashinda mitandaoni nakujikuta hamja ombea nchi ndio maana mnaweza ona kama hatujafanya bidii. Niwahakikishie na hili ni kweli, Dawa yake ni kumuomba Mungu zaidi, tukiendelea kuchukua tahadhari,.
Hivi unafikiri ukilala ukaamka ni kwa nguvu zako?
Unafikiri siku, majira na miaka vinapobadilika ni vyenyewe tu vinajibadilisha?
Unafikiri watu wanapo kufa hakuna mahali wanaenda?
YUPO MUNGU TUSIYEMWONA KWA MACHO YA NYAMA, anayeratibu yote haya. Hivyo, yeye ndiye anayejua nini, na kipi kitatokea na namna ya kukabili. Maombi kwanza, bidii zetu zifuate. Lakini bidii kwanza ni kwa Mungu.
Screenshot_20210406-150525_1617710804238.jpg
 
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Ukisikia pimbi ni pimbi tu
 
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
tulia tu mkuu ugongwe mtama, upigwe sindano ya ndui, ni nzuri haina tatizo
 
Back
Top Bottom