#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

Barako zenye infection? Canada jana wamestukia hizo barako. Barako zinazo valiwa na kushushwa wakati mwengine kwenye kidefu.

Mbona hamsemi nchi yenye sheria ya kuvaa mbili mbili na huduma zilizo bora kuliko sisi kwa tofauti ya mbingu na nchi na bado ndiyo yenye takwimu za kutisha za vifo na kuingiza dunia.

Edeleeni kutumia matusi kama yatasaidia. Na mshukuru Mungu kwa kila tusi na kejeli hii ina ni farji na yatosha sana.
Kw hii comment yako nimegundua nabishana na kilaza. Inamaana hatukuwa na uwezo wa kutengeneza barakoa mpaka tukachukuwe hizo zenye infection?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umeajiriwa na unalipwa kwa kueneza propoganda za kinafiki ni kusaidie je? Takwimu z vifo vya korona huko zinapotolewa zimesaidia nini?

Hujui Mganga mkuu wa Uingereza kasema wataishi na corana kama flu. Kwa nini asiseme wataishi nayo kama covid 19? Hujui hilo neno flu ndio hii nimonia na taabu ya kupumua inayo andikwa kwenye vyeti hapa kwetu na hekima yake hiyo ya kuwaondolea watu hofu na woga ya JPM almaruhumu mnainanga na hamuioni. Anaye inanga na wapambe wake hawaoni ujasiri wa kutovaa barakoa walioambukizwa na hekima hii..

Kasome hiyo taarifa ya mganga mkuu wa Uingereza uielewe ndio uje kuongea hapa. jiulize kwanini hakusema kuanzia sasa hivi wataichukulia Corona kama flu, na kasema kuanzia June?
 
inakuja we tulia uchomwe sindano ya ndui, itakua ni mwendo wa kugongwa mtama unawekwa kwenye gunia unapelekwqa chemba ya maangamizi, jiandae tu kisaikolojia hamna namna mkuu
hahaha iwe ya hiari.. wengine tunaishi kama kawaida lakin hatuumwi na huo ugonjwa..
 
Ninaye andika hivi nilifuatiliana mambo ya JPM nje ndani. Wala nisingeweza kuteu na kutengua saa chache baadaye. Labda maana ya neno kujua imebadilika tangu awamu ya 6 ianze kazi.

Alilishwa tango na MATAGA, akachukua hatua. Mitano kwa mama.
 
Polepole yanaanza kujipa. Ujima unaanza kuwatoka.
lakini wakuu, kauli ya jiwe mnaichukulije, mnakumbuka alikua anasisitiza hakuna corona, kwani utafiti ulifanyika? mbona sijaelewa, swala la corona limekua mtambuka, tusubiri tuone, mmh, lakini noma
 
Unajua walau maana ya lockdown au unahadithiwa tu? Tanzania mazingira hayawezi kufanyika lockdown. Hili neno ''lockdown'' wabongo wengi hata hawajui maana na Magufuli alikuwa analitumia kujihami asiwajibike kwenye suala la covid. Bila hata lockdown kuna hatua za kuchukuwa nzuri tu.
umetawaliwa na siasa ya mtandaoni..watanzania kwa ujumla hatutopenda curfew wala lockdown...
 
umetawaliwa na siasa ya mtandaoni..watanzania kwa ujumla hatutopenda curfew wala lockdown...
Umesoma nilichoandika? Umeelewa? Kwani mimi nimesema wanapenda? Kwanza jiulize inawezekana kufanyika kwenye mazingira ya mji kama Dar?
 
Bila chanjo wafanyabiashara wataathirika maana hautoruhusiwa kwenda nchi za nje. Na kama data hazieleweki vile vile hamtoruhusiwa kwenda baadhi ya nchi. Inabidi sometimes uende nao
Hujambo mama naomba nije PM nina dokezo kidogo
 
Mlidanganywa tu na kutishiwa lockdown. Kuna namna nyingi za kupambana na Covid bila kutumia lockdown. Mama woyee.
we unafikiri njia zipi ambazo utawala uliopita hazikufuatwa..
 
Nimesikitika sana Kwa JPM kujitoa kwa Makusudi kwa Watu wasio na Shukrani na Wanafiki. Nimejifunza hapa Duniani ni kuamini katika imani ya Mungu tu na kujipenda na kusaidia wengine bila kujali nini nitalipwa. Binadamu ni Viumbe wa ajabu sana.
Keep calm ,time will reveal everything,
 
Umesoma nilichoandika? Umeelewa? Kwani mimi nimesema wanapenda? Kwanza jiulize inawezekana kufanyika kwenye mazingira ya mji kama Dar?
inawezekana ndio..kama nairobi,kampala,johannesburg na miji mikubwa kuliko dar walifanya hapa serikali ikiamua watashindwa nn? ndio maana tunaomba isitokee mtawala akapata mawazo hayo itatuumiza watz.
 
Back
Top Bottom