#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

Ndio maana Rais kasema wataunda team ya wataalamu, by the way mpaka sasa nina ndugu zangu na rafiki zaidi ya kumi waliopewa chanjo tayari na hakuna aliedhurika, nadhani changamoto ipo lakini we should also consider the positive side of it
Unajua mpaka now dunia hajitambua motive behind ya Cv 19 wala agenda ya chanjo ya cv 19

Hilo suala la kuunda team ya wataalamu ndio hatari zaidi tena hatari sana, why
kwa sababu Sayansi ya corona kwa kiwango kikubwa tunategemea miongozo na data za Europe ndo nchi nyingi zimefanya tafiti, je team ya wataalamu ikihitaji reference itapewa genuine information.
Vifaa na teknologia ya kufanyia utafiti asilimia kubwa tunategemea ku import(U can sense danger here)
Macho yote ya wazungu yapo kwenye team ya wataalam vipi wakirubuniwa kwa pesa na kuinfluence matokeo ya utafiti.


NB wazungu hawana roho nzuri kama tunavyodhani.
 
Nimesikitika sana Kwa JPM kujitoa kwa Makusudi kwa Watu wasio na Shukrani na Wanafiki. Nimejifunza hapa Duniani ni kuamini katika imani ya Mungu tu na kujipenda na kusaidia wengine bila kujali nini nitalipwa. Binadamu ni Viumbe wa ajabu sana.
Always shukrani ya punda ni mateke, ukipata chance ya kupiga serikalini we piga tu... Mambo ya kijifanya unawatakia mema wanyonge utaishia kutukanwa tu. Piga kila mtu atakufa kivyake

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Unajua mpaka now dunia hajitambua motive behind ya Cv 19 wala agenda ya chanjo ya cv 19

Hilo suala la kuunda team ya wataalamu ndio hatari zaidi tena hatari sana, why
kwa sababu Sayansi ya corona kwa kiwango kikubwa tunategemea miongozo na data za Europe ndo nchi nyingi zimefanya tafiti, je team ya wataalamu ikihitaji reference itapewa genuine information.
Vifaa na teknologia ya kufanyia utafiti asilimia kubwa tunategemea ku import(U can sense danger here)
Macho yote ya wazungu yapo kwenye team ya wataalam vipi wakirubuniwa kwa pesa na kuinfluence matokeo ya utafiti.


NB wazungu hawana roho nzuri kama tunavyodhani.
Basi kama shida ni wazungu, hata hizi chanjo za polio, surua, pepopunda tuachane nazo simply because we believe kwamba we are a superior race in a way kwamba hata wazungu wanatuonea wivu wanatamani watumalize
It make no sense kwamba asilimia 99 ya madawa na vifaa tiba tunatumia vya wazungu halafu leo tunasema wana roho mbaya, meaning wanataku kufuta uwepo wa watanzania duniani? Vipi kuhusu nchi ambazo wameshaanza kuwapatia raia wake chanjo including hao wazungu?

Mwisho, hebu wataalamu wetu nao walete chanjo basi, its a year nao tangu kuzuka kwa ugonjwa, what do we have? Mashine za nyungu na covidol
 
mbona chanjo za surua na polio hatukulazimishwa kuchoma mbona hii ys cv 19 inakuja na masharti kibao what is behind it??

Ukipata muda fatilia chanjo ya shingo ya kizazi waliokuwa wanapewa under 14 girls what was it How does it end

Kwa nini tusimtangulize Mungu katika hili?? kwa sababu mpaka now sayansi imeshindwa kutoa majibu yanayojitosheleza
Abrianna
 
Kama umeajiriwa na unalipwa kwa kueneza propoganda za kinafiki za ni kusaidie je? Takwimu vya vifo vya korano huko zinapotolewa zimesaidia nini?

Hujui Mganga mkuu wa Uingereza kasema wataishi na corana kama flu. Kwa nini asiseme wataishi nayo kama covid 19? Hujui hilo neno flu ndio hii nimonia na taabu ya kupumua inayo andikwa kwenye vyeti hapa kwetu na hekima yake hiyo ya kuwaondolea watu hofu na woga ya JPM almaruhumu mnainanga na hamuioni. Anaye inanga na wapambe wake hawaoni ujasiri wa kutovaa barakoa walioambukizwa na hekima hii..
Twende pole pole, (sio ule K/mwenezi ccm).
  • Umeandikia"Hujui Mganga mkuu wa Uingereza kasema wataishi na corana kama flu. Hiki ni kiswahili na umetafsiri vizuri sana, na zingatia hilo neno KAMA FLU. Hakusema COVID-19 ni flu.
  • Umeandika: "Takwimu vya vifo vya korano huko zinapotolewa zimesaidia nini?" Pengine haupo kwenye sehemu za tafiti. Ili kukielewa kitu chochote katika tafiti hasa kipya kama covid-19 lazima uwe na Takwimu, hata huyo aliyesema kama flu- amejiridhisha kutokana na takwimu husika. Hili lazima ulielewe
  • Umeandika: "Kwa nini asiseme wataishi nayo kama covid 19? Kama ni neno la ulinganishi, hivyo hatuwezi kuilinganisha covid- 19 na covid-19. Sijui kama itakuwa covid-19 na covid-19-1.
Naishia hapo kwa leo. Karibu katika mjadala wa hoja.
 
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Hebu tuambie wewe hili suala lilichukuliwa kwa uzito gani wakati tuliambiwa tz tuliishinda korona na hakuna korona?
 
Leo nimethibitisha kwa rasilimali CCM walizo nazo wana uwezo wa kushikilia dola miaka mingine 100 ijayo.

Hongera sana rais wetu Samia Suluhu Hassan[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Unaweza sana mama.
Kmmmmmmmk[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapa tutegemee
~lockdown
~Chanjo ya Astra zeneca
~cessation of movement
 
Point yake kuu ni Tanzania ijulikane ina msimamo gani, wanakubaliana na mapendekezo au hawakubaliani nayo ila sio kuwa haijulikani msimamo wake.

Yeye msimamo wake unaonekana wazi, havai barakoa hana mpango wa lockdown maana hata hajazungumzia.

Nakubaliana naye ni lazima msimamo wetu ueleweke.

Fedha za COVID tunachukua kwa furaha lakini tukiambiwa tutoe maelezo tunakuwa wakali na kuwaita mabeberu.
 
Nimesikitika sana Kwa JPM kujitoa kwa Makusudi kwa Watu wasio na Shukrani na Wanafiki. Nimejifunza hapa Duniani ni kuamini katika imani ya Mungu tu na kujipenda na kusaidia wengine bila kujali nini nitalipwa. Binadamu ni Viumbe wa ajabu sana.
Ulitakiwa ulijue hili mapema sana ili uweze kuuona nuru maishani mwako.........ubarikiwe kwa kupiga hatua kubwa kuelekea kwenye ufahamu wa kweli na uhuru wa nafsi....
 
Hebu tuambie wewe hili suala lilichukuliwa kwa uzito gani wakati tuliambiwa tz tuliishinda korona na hakuna korona?

Una uliza hivi ukiwa na mtazamo gani wa kimwili, Kiroho ama vyote.

Ni navyo jua mimi Mh JPM alikuwa ni mtu aliye jaliwa karama nyinyi ya kiakili na Mwenyezi Mungu . Sishangai hata msaidizi wake namba moja kuonesha alikuwa haelewi.

Suala la kupambana na Covid 19 alichua njia ya multi-approach na zikiwa za Kiroho na kimwili. Ndio haya maneno/kauli, "Tu mtangulize Mungu kwanza." Wala si hii sasa kutanguliza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwanza. Mungu kwanza ndio mengine ya fuate kinyume cha hapo ni kumkufuru Mungu na kutokuwa na hofu ya Mungu. "Curse "

Baada ya hapo shughulisha akili yako jinsi ulimwengu wa Kiroho unavyo fanyakazi ukisha jiridhisha urudi uulize hili swali lako?
 
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.

Kubwa jinga wewe
 
😂 😂 😂 😂😂😂huu uzi ndiyo utajua kuna mashabiki ya mwendazake, die hard fans, hawana flexibility wala uelewa, mama kasema wataalamu walete mapendekezo serikalini, tume hatujaijua, yawezekana wapo kina Matunge herbalist, Dr Mwaka, na wajukuu za Ng'wanamalundi, lakini walishaanza kumlaumu mama kwamba alitakiwa atembee na maono na misimamo ya mwendazake.

Aliyekwenda kaenda, life goes on, mama Raisi ana maono yake ya namna gani atakabiliana na changamoto, in her own rights she's capable.

Tunamshukuru mwendazake kwa kuwa kafanyaje? Si alikuwa akitimiza majukumu aliyoyaomba akayafanyia kampeni. Hakulazimishwa aling'ang'ania mwenyewe.
Na ukitafakari sukuma gang siyo conspiracy kama nilivyofikiria awali, ni kweli ipo yawezekana sasa wafuasi wake wanahaha, malengo yao ya utawala wa milele wa Ntemi yamezimika.

Watalaam watakapotuletea mapendekezo then tuongee, mapendekezo hatujayaona tulishaanza speculations.

Everyday is Saturday............................... 😎
Nimesikitika sana Kwa JPM kujitoa kwa Makusudi kwa Watu wasio na Shukrani na Wanafiki. Nimejifunza hapa Duniani ni kuamini katika imani ya Mungu tu na kujipenda na kusaidia wengine bila kujali nini nitalipwa. Binadamu ni Viumbe wa ajabu sana.
 
Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?

Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.

Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Yule mropokaji hakuwa anataka kushauriwa chochote na ndomaana yakamkuta. Wewe nawe ndezi kweli kweli. Inamaana angesikiliza ushauri wa wataalamu angeacha kuchukuwa tahadhari kama, kuvaa barakoa etc?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajidanganya, nyungu kama kawa na inafanyiwa utafiti na matokeo watapewa WHO waamue lakini nyungu ni tiba dunia itaitambua, Uingereza corona imewashinda wameamua kuchukua approach ya Tanzania ya kuishi nayo, no lockdown ,no carfew.Magufuli alikuwa akili kubwa alijua dude corona si la kuendea pupa, mtahangaika sana.
Mbona yeye aliendea pupa na akarest in peace? Yuko wapi sasa? [emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom