Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Hakuna mikutano ya kisiasa dunianzimaa baada ya uchaguziii. Yaaanii mnalazimisha tena hapa Tanzania tuanze kushuhudia mikutano ya kutukanana, vijembe, na maaandamano ya kubugudhi wafanya biasharaa. Hatutaki..kwani Rais Biden ndio amekataza mikutano ya kisiasa?
Asidhani watamuacha atajikuta mpaka mcheps wake watu watautoa mitandaoni asilete mambo yakeAmeanza kupandisha mabega. Spana ziendelee tu hakuna jinsi nyingine.
Mikutano IPI umeiona ya siasa kule malekanii??? Acha kubwabwajaTujaribu kuwa update na current news za dunia ni, na sio kuleta ubishi kwa kumislead watu....
usitengemee chochote cha maana kutoka ccmTumpe muda mama bado mapema naamini nI mtu mwenye hofu ya Mungu.
Hakuna mikutano ya kisiasa dunianzimaa baada ya uchaguziii. Yaaanii mnalazimisha tena hapa Tanzania tuanze kushuhudia mikutano ya kutukanana, vijembe, na maaandamano ya kubugudhi wafanya biasharaa. Hatutaki
Na ww jiandae..Linaokwa kama ndafu huko kuzimu
Dunia IPI wewe mwanaufipa??..Dunia nzima?
..mikutano imezuiliwa ktk nchi zinazotawaliwa KIDIKTETA.
..kihistoria ccm ndio chama kilichobugudhi wanasiasa kuliko vyama vyote Tz.
..fuatilia kuanzia wakati wa siasa za ujamaa, kampeni ya wahujumu uchumi, na hivi karibuni kashfa ya TASK FORCE na kesi za kubambika.
..hakuna chama kimebugudhi, kuhujumu, na kufukuza wafanyabiashara nchini, kuzidi ccm.
Hahahaha Atulize makalio[emoji3][emoji3][emoji2]Wewe umetoka sayari gani ?? Ebu tekeleza msemo wa aliekua Dc wa Iringa
Hujui ulichokiandikaHiyo Katiba iangaliwe upya, Mikutano ya kisiasa ISIWEPO mpaka muda wa Uchaguzi utakapofika.
Nchi zenye Demokrasia tangu miaka 200 iliyopita wanafanya siasa za hadharani inapokaribia Uchaguzi husika.
Sisi Tanzania tunataka miaka mitano mfululizo kupanda Majukwaani kueneza Siasa za uongo, chuki na kutoridhika na matokeo.
Leo Baiden kashinda Urais USA hatujaona Trump na wenzake wapo barabarani wakiendeleza siasa na malumbano
Ww acha kutisha watu nyinyi mnaiahi kwampalange maombiyenu hayajibiwi [emoji2][emoji1][emoji3][emoji1][emoji2][emoji3][emoji2][emoji1][emoji2][emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2]Siku si nyingi tutaanza tena maombi yetu,sisi manabii.
Hujafuatilia siasa za Marekani, siasa siyo lazima barabaraniHiyo Katiba iangaliwe upya, Mikutano ya kisiasa ISIWEPO mpaka muda wa Uchaguzi utakapofika.
Nchi zenye Demokrasia tangu miaka 200 iliyopita wanafanya siasa za hadharani inapokaribia Uchaguzi husika.
Sisi Tanzania tunataka miaka mitano mfululizo kupanda Majukwaani kueneza Siasa za uongo, chuki na kutoridhika na matokeo.
Leo Baiden kashinda Urais USA hatujaona Trump na wenzake wapo barabarani wakiendeleza siasa na malumbano
Ukianzisha chama kipya sasa hivi!!Mikutano ya kisiasa hadharani sasa hv ya kazi gani mkuu? kama sio kuleta fujo tu!
Mama yupo sahihi kbs. Amani ndo kipaumbele. Kama katiba inasema tofauti basi iangaliwe upya!
Mikutano ya kisiasa hadharani ifanywe miaka ya uchaguzi
2024- Serikali za mitaa
2025- uchaguzi mkuu
Wakitukana kuna sheria ya kuwanyoosha; wape nafasi yao kikatiba halafu kwa matendo yao wahukumiwe.Mikutano ya wapinzani tatizo huwa haina ajenda za maendeleo zaidi ya kutukana,.
Hapana kwa maswali yote mawili, uhuru unaozungumzwa ni ule wa kumuonyesha mama kuwa hapa umependeza au hapa nywele hazijakaa sawa- rekebisha. vyama vya upinzani ni kioo kinachoongea, usikiogope eti kwa kuwa kitasema hapa hapako sawaMshana my brother
Hivi uhuru ni lazima kuwe na maandamano?
Au uhuru ni kulazimisha rais afanye yale ambayo vyama vya siasa yanataka ?