Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Ila za Tanzania ni lazima ziwe katika Kiingereza
 
Tulikuwa tukiaibika sana.
 
Watu wanamsifia lugha. Badala ya kusifia dili ya bomba la mafuta. Hongera JPM
 
Sawa, kasoro tu alikosea matamshi sahihi ya "invitation" na "demise"
 
Tunaacha kutumia Kiswahili tunashangilia lugha ya wakoloni.
"Kiingereza ni Kiswahili cha dunia," aliwahi kusema Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kama Kiswahili kilivyotuunganisha Watanzania, hivyo hivyo Kiingereza kimeiunganisha Dunia nzima.

Hakuna taifa duniani hapa ambalo Kiongozi wake Mkuu hajui Kingereza...narudia hakuna!

Kwa mtu kama jiwe, kutojua Kingereza kulionesha tu kudumaa kwa akili ya kuzaliwa.

Watu wa aina hii kujitahidi sana kuficha upungufu wao mkubwa wa IQ kwa vitendo vya kukurupuka hovyo!

Mitihani wanapita tu kwa kukariri na ukifuta waliyokariri, wanabaki watupu kichwani na hali hii huwapa hasira!
 
Siyo wote wanaoongea Kiingereza wana elimu mkuu,Kiingereza ni lugha na wala siyo elimu.

Ukisema English ni Elimu utaonekana huna elimu

Kuna Warusi, Wataliano, Wafaransa hawazungumzi Kiingereza sio kwamba hawana elimu...KIINGEREZA NI LUGHA
Acha ujinga wa kijiwe, hao wafaransa wanasoma kwa lugha gani na sisi tunasoma kwa ligha gani?
 
Nadhani aliandikiwa akawa anasoma kitu ambacho hata Mtu wa kawaida anaweza ngoja waje wageni kutoka Magharibi tumuone
Kweli kila mtu anaweza kusoma akiandikiwa, hata wale wanaoandikiwa election wakasoma erection
 

Tanzania mtu ana PHD muulize kaandika lini paper
 
Ni kweli kabisa, ila alikosea matamshi ya "invitation" na "demise"


Hili neno watu wengi sana huwa wanalikosea na hii inatokana na neno la msingi "invite" kutamkwa "invai-ti" hiyo ndiyo sababu "invitation" inatamkwa kimakosa invai-teshen badala ya "inviteshen". Hii ni common mistake kwa non natives wengi wa lugha ya kiingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…