Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote


Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Mkapa, JK pia walikua vema sana ....
Ila kinjekitile alikua balaa "intapretenyuaa"
 
Bado tupo nyuma sana, safari ni ndefu.

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
Leo hii kiingereza ni kigezo cha uweledi wa uongozi.
 
Leo hii kiingereza ni kigezo cha uweledi wa uongozi.

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
 
"Mr. Generalist are sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "
What a broken English! Improper interrogative form, inappropriate use of both noun and pronoun consecutively and poor writing skills especially on the use of punctuation marks. In short wewe mwenyewe haujui Kingereza.
 
Baadhi ya Raia wenzangu ni wa ajabu sana...., hizi nguvu tunazowekeza kwenye vitu minor robo tatu tu zingetumika ipasavyo tusingeitwa wanyonge...
 
Nimeandika sentensi moja fupi sana lakini mkuu umeijibu kwa insha ya mistari zaidi ya kumi!.

Kujua kingereza halafu ukakosa busara ya kawaida tu ya kukupatia maendeleo hicho kingereza chako kinakuwa ni mapambo tu.

Mama Samia hatapimwa kwa utamu wa lafudhi yake akiwa anasoma hotuba iliyoandikwa kwa kingereza, atapimwa kwa namna anavyotatua kero za wananchi, atapimwa kwa namna anavyokuwa na msimamo anapohitajika kuitetea Tanzania.

Atapimwa kwa kurudisha mzunguko mzuri wa pesa, atapimwa kwa kufanikisha miradi mingi iliyotekelezwa kwa nusu ya kiwango mpaka sasa ikisubiri kumaliziwa mpaka ifikapo 2025.

Hatapimwa kwa uwezo wake wa kutamka maneno matamu ya lugha ya kingereza mbele ya watu.
 
Fikra za kitumwa
 
its goods to knw all the international languages,so that you interract your fellow leaders easily for the benefits of your country ,Ms hassan has spoken abetter english than m7 in my opinion, i believe in the near future kiswahili will be also an international language,bt lets try to learn all the international languages including kiswahili bt let us not limit ourselves to kiswahili only .
 
Kwahiyo mkuu leo tunahitimisha kwa kusema CCM hawaishiwi viongozi wazuri na wenye sifa nzuri ndani na kamataifa[emoji120]
 

warusi, wachina, waarabu wenye PhD hawajui kabisa kiingereza


hao wanaojua viingereza vya kubabia babia ni wataalamu...wa fani zao

au unachotaka kusema ni kuwa ukienda england leo ambao ni lugha yao.....kila mtu ana PhD?
 
Wewe Generalist ni mshamba na muathirika wa neo colonialism, unaona kuongea kiingereza ni dili, kwani ngeli na kizaramu zina tofauti gani? Zote si lugha tu tunajifunza?
Yule waziri wa Nishati Uganda alitandika kiganda hotuba yake yote namsifu kuipenda lugha yake
 
Sasa ni nani anayetakiwa kujivunia io lugha. kutokujua lugha haina mana hauewezi kujikwamua.Ni Aibu.
hatukatai ni lugha ya kimataifa lakini pia haina maana kutokujua ni ujinga.
 
Siyo wote wanaoongea Kiingereza wana elimu mkuu,Kiingereza ni lugha na wala siyo elimu.

Ukisema English ni Elimu utaonekana huna elimu

Kuna Warusi, Wataliano, Wafaransa hawazungumzi Kiingereza sio kwamba hawana elimu...KIINGEREZA NI LUGHA
Asisahau malawi wanyasa ma houseboy Tanzania wanaongea kiingereza kizuri lakini hawajui kusoma wala kuandika

Aende Malawi aone mtu hajakanyaga hata darasa moja anaongea kiingereza kizuri .Kiingereza lugha tu si kuwa muongeaji lazima awe msomi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…