Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Hili neno watu wengi sana huwa wanalikosea na hii inatokana na neno la msingi "invite" kutamkwa "invai-ti" hiyo ndiyo sababu "invitation" inatamkwa kimakosa invai-teshen badala ya "inviteshen". Hii ni common mistake kwa non natives wengi wa lugha ya kiingereza.
Na hili neno, "determine" je wanalipatia?
 
Yaani bavicha hotuba tu mshalegea tayari.

Wepesi sana nyie kama unyoya.
 
Mtoa maada wewe ni mshamba ni dalili za kua mtumwa kichwani Jambo la lugha linakufanya umuone mtu wa maana zaidi yakile alichokiongea yaani ungekuja hapa nakusema mambo aliyosema ningekuona wa maana.

Wabongo sijui vp ko kwenye kingereza ndio mmeona pana tatizo kubwa lakutufanya tuwe underdeveloped kingereza sawa ni muhimu lakini haipaswi kuonekana kua ndio kitu ambacho kitawakomboa watu mazima kwani hicho hicho kingereza Cha mtu mweusi si ndio kinatumika kusahini mikataba ya kipumbavu.
 
Badala ya kuhoji vipengele vya mkataba aliosaini unasifia kingereza...
 
Ana lafudhi nzuri lakini alikosea matamshi ya maneno mawili ya Kiingereza. Neno "Invitation" linatamkwa inviteshen siyo invaiteshen. Maana yake ni mwaliko.

Pia neno "demise" linatamkwa dimaiz siyo dimis. Maana yake ni kufariki
Hiyo helufi i inatupaga shida sana kwenye matamshi ya kiingereza . Ili kuwa kuwa kuendana nayo vizuri inabidi upige mazoezi mengi ya kuongea maneno ya kiingereza kwa kurejea kwenye kamsi.

Kuna mengine mengi yanatupaga shida wabongo kama vile ; 1. Build~ inatamkwa bild na sio biulid. 2. Determine ~inatamkwa ditamin, sio ditamain. 3. Passed ~ inatamkwa pasit na sio pasid. 4. Burry ( maana yake ni mazishi) inatamkwa beri na sio bari. To mention few.
 
Rekebisha kidogo alisema inze ze ze ze ze reki
Ingine We politishani we toku tpku toku ...
Mama analafudhi nzuri yakiinglish japo sijajua akinyang'anywa karatasi anafloo au ze ze ze nyingi!!
hata akipokwa karatasi bado atajitahidi tu kumbuka kafanya kazi WFP miaka 9 ambapo lugha ya kazi ni iingereza na kujibizana kwa emails ni kiingereza so kiingereza kwa kiasi kikubwa atakuwa anakimudu huwezi linganisha na marehemu jiwe mwendazake
 
Back
Top Bottom