DOKEZO Rais Samia tafadhali chunguza BRELA kwani ni kikwazo kwa wafanyabiashara, bila hongo hufungui kampuni

DOKEZO Rais Samia tafadhali chunguza BRELA kwani ni kikwazo kwa wafanyabiashara, bila hongo hufungui kampuni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unamkamatisha mmoja mmoja tu vitendea kazi tunavyo simu ni ushahidi tosha ni kuwarekodi na kuwaanika mtandaoni wakuu wao wa kazi waone upuuzi wao
 
Wewe unafanyaje online na kukamilisha mkuu??
Mimi naona nakatiza mwezi wa tatu huu bila mafanikio
Inaandika make final decision sasa sielewi itabaki hivyo hadi lini
Huyo atakuwa mfanyakazi wa Brela huyo!
 
BRELA wamekuwa sababu ya wafanyabiashara wengi kushindwa kurasimisha biashara zao kwani ukitaka kufungua kampuni utapitia machungu na mwisho utaacha kabisa.

Brela wamekuwa wanafanya masahihisho ya maombi kwa mtindo wa kuchelewesha ili mwombaji atoe rushwa.

Brela wanasahihisha neno moja moja na kufanya zoezi kuwa refu na lisiloisha ili wapate mwanya wa rushwa. Tafadhali Rais Samia tusaidie kuondokana na watendaji hawa wabovu pale Brela.
Habari, usajili unaotolewa na BRELA hufanyika moja kwa moja kupitia mtandao kwa wakati baada ya kukamilisha taarifa zote sahihi kwa majibu wa sheria, unaweza kutuma namba ya ombi lako kwa ufafanuzi zaidi.
 
Mkuu,Kuna tatizo Brela ila nafikiri Tatizo sio watendaji bali ni Brela yenyewe kutokuwa na Standard Operating Procedures matokeo yake unakuta kila mara kunakuwa na marekebisho ambayo yanategemea ni nani anapitia nyaraka zako kwa wakti huo.

Kwa mfano Bado Brela wanahitajika kufanya namna kuwe na clear SOPs na Taratibu za utoaji wa feedback na iwapo kuna changamoto basi wanapaswa kutoa taarifa kwa wakati kwa mteja
Habari, tunaomba namba ya ombi lako kwaajili ya ufafanuzi zaidi.
 
Wewe unafanyaje online na kukamilisha mkuu??
Mimi naona nakatiza mwezi wa tatu huu bila mafanikio
Inaandika make final decision sasa sielewi itabaki hivyo hadi lini
Habari, tunaomba namba ya ombi husika (tracking number) kwaajili ya msaada zaidi.
 
Kwani Shida ya Brela huwa ni kitu gani yaani????

Status "Make final decision" mwezi mzima imeng'ang'ania hapo kila kitu kina simama kwa ajili ya hawa wapumbavu.

Simu hawapokei email hazijibiwa sasa hawa wanalipwa mshahara kwa kazi gani?
Habari, tunaomba namba ya ombi husika (tracking number) ambalo bado hujapokea majibu yako pamoja na namba ya BRELA ambayo umetumia kupiga kwaajili ya msaada zaidi.
 
Bila kuwafurusha BRELA sidhani kama patatulia Mhe.Waziri mkuu tunaomba utupie macho pale wale vijana hawafai kabsaa, kusajiri kampuni sio chini ya miezi 6, ujinga gani huu, hao vijana wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.Ukipiga simu yaweza kupokelewa baada ya siku 4 hapo ujipange kutofanya kitu chochote kile kazi yako iwe ya kupiga simu tuu BRELA bila hivyo hata mwezi utaisha bila kupokea simu.
Habari, tunaomba namba ya ombi lako (tracking number) ambalo bado hujapokea majibu yako pamoja na namba ya BRELA uliyotumia kuwasiliana nasi kwaajili ya msaada zaidi.
Wewe unafanyaje online na kukamilisha mkuu??
Mimi naona nakatiza mwezi wa tatu huu bila mafanikio
Inaandika make final decision sasa sielewi itabaki hivyo hadi lini
Habari, tunaomba namba ya ombi husika ambalo bado hujapokea majibu yako kwaajili ya msaada zaidi.
 
Nilihangaika kusajili business name kwa ile takataka yao ya online mpaka nikachemsha na hela yangu walishakula...nimeamua kupuyanga kienyeji years later ntatafuta kishoka nimpe hela akafanye manually!
Habari, tunaomba kufahamu hatua ambayo umekwama katika kukamilisha maombi yako ya usajili wa jina la biashara kwa njia ya mtandao kwaajili ya kukupatia ufafanuzi.
 
Brela shida Sana yangu mwaka 2015 sijafanikiwa kuregister online ORS too much bureaucracy
Habari, tunaomba kufahamu hatua ambayo umefikia na kukutana na changamoto kwaajili ya ufafanuzi na msaada zaidi.
 
Siyo kwa mateso haya ya brela nimejaribu kuhuisha kampuni yangu kwa njia mtandao ORS yangu mwaka 2017 Hadi Leo na hela yangu walishakula nikiri kuwa nimechemsha Hadi leo,kila ukifanya unajibiwa system imefeli,Hadi Leo hii kampuni yangu imesajiliwa manually tu,ORS nilishashindwa yaani ni ukiritimba kwa kwenda mbele Hadi nimeomba poooo! Wajuzi wa hizo issue mnisaidie,hivi brela wanaishi dunia ya wapi iliyotopea kwenye dimbwi la rushes namna hii,yaani hakuna huduma kabisa,labda ukikubali kuliwa.
Habari, tunaomba namba ya ombi lako (tracking number) kwaajili ya ufafanuzi na msaada zaidi.
 
Habari, usajili unaotolewa na BRELA hufanyika moja kwa moja kupitia mtandao kwa wakati baada ya kukamilisha taarifa zote sahihi kwa majibu wa sheria, unaweza kutuma namba ya ombi lako kwa ufafanuzi zaidi.
Kinachoudhi na kuchelewesha usajili:

Kwanza ukiwa na tatizo na unataka moja kwa moja kuwasiliana na officer wa BRELA utahangaika sana kwani number za mawaaliano namhusika hazipo wazi kwenye page yao.

Pili hata ukiwapata wanakupa majibu yasiyo na maelekezo mazuri. Wale akina dada pale customer care ni very ignorant na hawana usaidizi wowote nafikiri ni wale waliopewa tu nafasi kimasihara hawana moyo wala weledi wa kusaidia mtu. Mtu anakwambia mwandikie CEO barua na wala hakupi adress yake wala ufafanuzi zaidi. Ukiwapigia wanaona kama unawasumbua na wana lugha isiyo na staha!

Tatu ni jinsi mnacyofanya masahihisho. Mnasahihisha mstari mmoja mmoja na kufanya kurespondenses ziwe nyingi mno. Mtu unarudishiwa submission yake hata mara kumi?! Kwanini msifanye masahihisho yote kwa pamoja?

Tafandhali ondoeni contacts za zamani katika page yenu! Kuweni specific zaidi kwa kuweka wazi contact za wasaidizi kwa kila ulizo; IT, maulizo, etc

BRELA mpo very poor kujibu e-mail za watu! Utaandika hata email 7 bila kujibiwa. Na hata ukijibiwa ni hovyo hovyo tu. Tena kama umeandika kiingereza ndio hutajibiwa kabisa. Nahisi kuwa watu wengi incompetent wameajiriwa BRELA na hawa ni kero kweli kweli.

Nimeshasajili kampuni yangu lakini cha moto nilikiona.

Tafadhali maoni haya yafike kwenye uongozi wa juu la sivyo BRELA mtaendelea na mapungufu haya siku zote.
 
Kwanza huwa hawataji majina.
Hii ni principle ya customer care ndiyo maana hata majeshi ya ulinzi na usalama wameandikwa majina vifuani, ama Bank, nk...
Mimi nimewapigia simu ile namba yao, alipokea sauti ya kiume nikaulizwa tracking namba mtoa huduma akanisubirisha baadae akakata simu bila kusema kitu, siku ikaisha.

Nikapiga tena akapokea sauti ya kike anatafuna jojo akasema "ombi lako lipo kwa msajili", nikauliza "inaweza chukua muda gani ombi langu kukamilika", akajibu kifedhuri "Kaka nimekwambia ombi lako lipo kwa msajili, haujaelewa au"

Daaah, this is TANZANIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachoudhi na kuchelewesha usajili:

Kwanza ukiwa na tatizo na unataka moja kwa moja kuwasiliana na officer wa BRELA utahangaika sana kwani number za mawaaliano namhusika hazipo wazi kwenye page yao.

Pili hata ukiwapata wanakupa majibu yasiyo na maelekezo mazuri. Wale akina dada pale customer care ni very ignorant na hawana usaidizi wowote nafikiri ni wale waliopewa tu nafasi kimasihara hawana moyo wala weledi wa kusaidia mtu. Mtu anakwambia mwandikie CEO barua na wala hakupi adress yake wala ufafanuzi zaidi. Ukiwapigia wanaona kama unawasumbua na wana lugha isiyo na staha!

Tatu ni jinsi mnacyofanya masahihisho. Mnasahihisha mstari mmoja mmoja na kufanya kurespondenses ziwe nyingi mno. Mtu unarudishiwa submission yake hata mara kumi?! Kwanini msifanye masahihisho yote kwa pamoja?

Tafandhali ondoeni contacts za zamani katika page yenu! Kuweni specific zaidi kwa kuweka wazi contact za wasaidizi kwa kila ulizo; IT, maulizo, etc

BRELA mpo very poor kujibu e-mail za watu! Utaandika hata email 7 bila kujibiwa. Na hata ukijibiwa ni hovyo hovyo tu. Tena kama umeandika kiingereza ndio hutajibiwa kabisa. Nahisi kuwa watu wengi incompetent wameajiriwa BRELA na hawa ni kero kweli kweli.

Nimeshasajili kampuni yangu lakini cha moto nilikiona.

Tafadhali maoni haya yafike kwenye uongozi wa juu la sivyo BRELA mtaendelea na mapungufu haya siku zote.
Habari, namba rasmi ya BRELA kuwasiliana na wateja wake kupitia kituo cha miito ni 0222 212 800, tunaomba tuandikie barua pepe yako pamoja na barua pepe yetu uliyotumia kuwasiliana nasi ambayo bado hujapokea majibu yako kwa msaada zaidi.
 
Kwanza huwa hawataji majina.
Hii ni principle ya customer care ndiyo maana hata majeshi ya ulinzi na usalama wameandikwa majina vifuani, ama Bank, nk...
Mimi nimewapigia simu ile namba yao, alipokea sauti ya kiume nikaulizwa tracking namba mtoa huduma akanisubirisha baadae akakata simu bila kusema kitu, siku ikaisha.

Nikapiga tena akapokea sauti ya kike anatafuna jojo akasema "ombi lako lipo kwa msajili", nikauliza "inaweza chukua muda gani ombi langu kukamilika", akajibu kifedhuri "Kaka nimekwambia ombi lako lipo kwa msajili, haujaelewa au"

Daaah, this is TANZANIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwa changamoto uliyokutana nayo, tunaomba namba ya ombi lako kwaajili ya msaada zaidi.
 
BRELA wamekuwa sababu ya wafanyabiashara wengi kushindwa kurasimisha biashara zao kwani ukitaka kufungua kampuni utapitia machungu na mwisho utaacha kabisa.

Brela wamekuwa wanafanya masahihisho ya maombi kwa mtindo wa kuchelewesha ili mwombaji atoe rushwa.

Brela wanasahihisha neno moja moja na kufanya zoezi kuwa refu na lisiloisha ili wapate mwanya wa rushwa. Tafadhali Rais Samia tusaidie kuondokana na watendaji hawa wabovu pale Brela.
True Mimi nilianua kususa nikaona sio mpango...
 
Habari, namba rasmi ya BRELA kuwasiliana na wateja wake kupitia kituo cha miito ni 0222 212 800, tunaomba tuandikie barua pepe yako pamoja na barua pepe yetu uliyotumia kuwasiliana nasi ambayo bado hujapokea majibu yako kwa msaada zaidi.
Asante, rekebisheni namna mnavyofanya marekebisho ya submissions zetu. Badala ya kusahihisha mstari mmoja mmoja tafadhali sahihisheni document yote. Hii itapunguza marudio na muda wa kupata registration utakuwa mfupi zaidi.

Pale customer desk tafadhali wekeni watu ambao ni competent zaidi. Wale akina dada nani hawafai!

Jibuni barua pepe mapema na kwa weledi (professionalism).
 
Back
Top Bottom