Habari, tumepokea maoni yako kwaajili ya kuboresha huduma zetu.Asante, rekebisheni namna mnavyofanya marekebisho ya submissions zetu. Badala ya kusahihisha mstari mmoja mmoja tafadhali sahihisheni document yote. Hii itapunguza marudio na muda wa kupata registration utakuwa mfupi zaidi.
Pale customer desk tafadhali wekeni watu ambao ni competent zaidi. Wale akina dada nani hawafai!
Jibuni barua pepe mapema na kwa weledi (professionalism).
Brela miyeyusho sana.
Nna updates ya kampuni nafanya nao, huu mwaka wa pili now bado hatujamaliza.
Ukipiga simu leo, anapokea huyu anakupa maelekezo haya, ukimaliza kutekeleza maelezo, ukapiga simu tena anapokea mwingine anakupa maelekezo mengine. Yaani taabu tupu.
Na pia nimegundua hawana records ya taarifa za zamani sana. So unawapa risiti za malipo uliyofanya kwao, wanapata kigugumizi, saa zingine hawazitambui.
Wanakuelekezea kwenye penalts tu.
Tunafurahi kukuhudumia, karibu sana.Mimi nilisajiri biashara BRELA ndani ya siku 3 kila kitu kilikuwa kimeshakamilka na kupewa certificate ya usajili. Sikutoa pesa yoyote tofauti na elfu 20,000/=, nilienda siku ya maonyesho Kigoma mjini viwanja vya Mwanga community center kwenye mabanda yao kila kitu kikaenda sawa. Sikuona usumbufu wowote.
Brela miyeyusho sana.
Nna updates ya kampuni nafanya nao, huu mwaka wa pili now bado hatujamaliza.
Ukipiga simu leo, anapokea huyu anakupa maelekezo haya, ukimaliza kutekeleza maelezo, ukapiga simu tena anapokea mwingine anakupa maelekezo mengine. Yaani taabu tupu.
Na pia nimegundua hawana records ya taarifa za zamani sana. So unawapa risiti za malipo uliyofanya kwao, wanapata kigugumizi, saa zingine hawazitambui.
Wanakuelekezea kwenye penalts tu.
Brela miyeyusho sana.
Nna updates ya kampuni nafanya nao, huu mwaka wa pili now bado hatujamaliza.
Ukipiga simu leo, anapokea huyu anakupa maelekezo haya, ukimaliza kutekeleza maelezo, ukapiga simu tena anapokea mwingine anakupa maelekezo mengine. Yaani taabu tupu.
Na pia nimegundua hawana records ya taarifa za zamani sana. So unawapa risiti za malipo uliyofanya kwao, wanapata kigugumizi, saa zingine hawazitambui.
Wanakuelekezea kwenye penalts tu.
Habari, tunaomba namba ya ombi lako (tracking number) ambalo bado hujapokea majibu yako kwaajili ya msaada zaidi.Brela miyeyusho sana.
Nna updates ya kampuni nafanya nao, huu mwaka wa pili now bado hatujamaliza.
Ukipiga simu leo, anapokea huyu anakupa maelekezo haya, ukimaliza kutekeleza maelezo, ukapiga simu tena anapokea mwingine anakupa maelekezo mengine. Yaani taabu tupu.
Na pia nimegundua hawana records ya taarifa za zamani sana. So unawapa risiti za malipo uliyofanya kwao, wanapata kigugumizi, saa zingine hawazitambui.
Wanakuelekezea kwenye penalts tu.