Rais Samia tafadhali nakuomba chukua muda wako leo na uupokee huu Ushauri wangu GENTAMYCINE, nina uhakika utakusaidia sana na Kunishukuru pia

Alafu yule kule mjengoni dodoma mambo haya anaongelea kama hajali vile

Ova
Kuna vitu vinakera sana , halafu wao wenyewe marehemu watarajiwa ni kupishana miaka tu, kosa watende japo haki kidogo
 
Poti hii issue zimenikera sana
Mtu kuchoma picha,kukupinga unamteka na kuuaaa
Hiyo nguvu badala wa tumiee kulinda uchumi wa nchi wa deal na mambo madoogo

Ova
Nakubaliana nawe 100% Poti.
 
Alafu yule kule mjengoni dodoma mambo haya anaongelea kama hajali vile

Ova
Huwezi kuwa na Kichwa kama alichonacho huyo Waziri halafu ukawa na Akili sawa sawa. Kichwa kinasadifu mengi tu.
 
..hili kundi la Watekaji na Wauwaji Samia alilikuta.

..kama Samia alikuwa hataki kushirikiana nao, au wamfanyie kazi, angelifuta mara alipoingia madarakani.

..Watekaji na wauwaji ktk vyombo vya dola hawawezi kuondoshwa na Rais anayetokana na Ccm.

..kundi hilo limejifungamanisha na Ccm na kila awamu ya uongozi hapa nchini. Kila Raisi anayetokana na Ccm analihifadhi kundi hilo. Na malipo ni kusaidia Ccm kubaki madarakani.
 


Tatizo liko Usalama wa taifa na Polisi kuwaogopa maana wana ripoti moja kwa moja kwa Raisi. Sasa tatizo ni mfumo hapo sio watu. Sirisiri za usalama ndiyo tatizo na kwanini Usalama wanajihusisha na mambo ambayo haya wahusu
 
Ungekuwa unajibu Mtihani kwa hiki ulichokiandika hapa nadhani nisingekupa tu 100% bali ningekupa kabisa 101% zote.
 
Tatizo liko Usalama wa taifa na Polisi kuwaogopa maana wana ripoti moja kwa moja kwa Raisi. Sasa tatizo ni mfumo hapo sio watu. Sirisiri za usalama ndiyo tatizo na kwanini Usalama wanajihusisha na mambo ambayo haya wahusu
Nakubaliana nawe 100% Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…