Rais Samia tafuta fedha au ingia mkataba na sekta binafsi wajenge uwanja wa Mpira wa kisasa Dodoma

Rais Samia tafuta fedha au ingia mkataba na sekta binafsi wajenge uwanja wa Mpira wa kisasa Dodoma

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Raisi Samia, utafanya yote, ila kama unataka kuacha jina, basi fanya kila uwezalo kuhakikisha eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa kisasa mkoani Dodoma ujenzi huo unaanza na kukamilika kabla ya 2025.

Kwa ukimya uliopo na muda uliokwishapita, ni vigumu sisi wananchi kuamini Mfalme wa Morocco bado ana nia ya kufadhili ujenzi wa huu uwanja hivyo ni bora ujenzi huo ukajengwa na serikali au makampuni binafsi kama inawezekana.

Kama wasaidizi wako hili hawalioni, bali wanaona mambo mengine wanayoamini yatakujengea legacy basi napata wasiwasi na wasaidizi ulionao.

Lingine ni serikali yako kufuta kesi ya Mbowe na wala si kusubiri uamuzi wa mahakama kwani uamuzi wowote (wa kumfunga au kumuachia huru) ni doa kwa serikali yako.

Futeni kesi ya Mbowe na uwanja uitwe kwa jina lako utakuwa na la kukumbukwa.

Kazi kwako Mama.
 
Kwa nini iwe Samia na sekta binafsi, haya ndiyo mambo yanayoshangaza. Kwani hao sekta binafsi hawaioni hiyo fursa ya kutengeneza pessa mpaka wapandie kwa Samia?
Wamekatazwa wao kama wao kuweka kitega uchumi hicho?

Kama ni uwanja kwa ajili ya wananchi wote, kuna sababu zipi zinazomzuia Samia asiwajengee wananchi uwanja huo.

Kwani Mfalme wa Morrocco anasemaje. Amekumbushwa kuhusu kazi hiyo aliyoombwa kumfanyia Magufuli akakataa?
 
Raisi Samia, utafanya yote, ila kama unataka kuacha jina, basi fanya kila uwezalo kuhakikisha eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa kisasa mkoani Dodoma ujenzi huo unaanza na kukamilika kabla ya 2025.

Kwa ukimya uliopo na muda uliokwishapita, ni vigumu sisi wananchi kuamini Mfalme wa Morocco bado ana nia ya kufadhili ujenzi wa huu uwanja hivyo ni bora ujenzi huo ukajengwa na serikali au makampuni binafsi kama inawezekana.

Kama wasaidizi wako hili hawalioni, bali wanaona mambo mengine wanayoamini yatakujengea legacy basi napata wasiwasi na wasaidizi ulionao.

Lingine ni serikali yako kufuta kesi ya Mbowe na wala si kusubiri uamuzi wa mahakama kwani uamuzi wowote (wa kumfunga au kumuachia huru) ni doa kwa serikali yako.

Futeni kesi ya Mbowe na uwanja uitwe kwa jina lako utakuwa na la kukumbukwa.

Kazi kwako Mama.
hivi mpuuzi wewe si ndio mlikuwa mnasema mnataka maendeleo ya watu na sio vitu???

na vitu unavyotaka ni uwanja wa mpira

mbegu za mbowe zimekuharibu ubongo
 
Hela ya kujenga uwanja ipo.

Serikali walikubaliana na mkandarasi wa bwawa la Nyerere atumie SCR kujenga uwanja.

SCR ya mradi wa bwawa la Nyerere ni zaidi ya Bilioni 240 wakati uwanja unahitaji kama bilioni 100.

Hata barabara ya mzunguko ya Dodoma itajengwa kwa SCR hiyo na miradi mingine mingi kama hospitali nk.
 
Raisi Samia, utafanya yote, ila kama unataka kuacha jina, basi fanya kila uwezalo kuhakikisha eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa kisasa mkoani Dodoma ujenzi huo unaanza na kukamilika kabla ya 2025.

Kwa ukimya uliopo na muda uliokwishapita, ni vigumu sisi wananchi kuamini Mfalme wa Morocco bado ana nia ya kufadhili ujenzi wa huu uwanja hivyo ni bora ujenzi huo ukajengwa na serikali au makampuni binafsi kama inawezekana.

Kama wasaidizi wako hili hawalioni, bali wanaona mambo mengine wanayoamini yatakujengea legacy basi napata wasiwasi na wasaidizi ulionao.

Lingine ni serikali yako kufuta kesi ya Mbowe na wala si kusubiri uamuzi wa mahakama kwani uamuzi wowote (wa kumfunga au kumuachia huru) ni doa kwa serikali yako.

Futeni kesi ya Mbowe na uwanja uitwe kwa jina lako utakuwa na la kukumbukwa.

Kazi kwako Mama.
CCM hawataki vijengwe viwanja vingine, uliza Mwanza cha serikali wanakipiga vita. Hivyo walivyonavyo ni vya serikali walivyopora, na bado vinafanyiwa ukarabati na serikali!
 
MATAGA mnashindwa kumshauri Mama mambo ya msingi mnaacha anabaki kukimbizana na wapinzani ambao hamuwawezi kwani wamewazid kiakili.
Kamanda umepagawa (kumradhi lakini), yaani michezo hii inayopata wafuasi sasa kwa kasi ya kutisha imekuwa siyo kitu cha msingi tena?!!! Sijui uzunguni huko unakoishi wewe lakini huku uswahilini sasa michezo ndo kila kitu......huku vpl, kule usiku wa vitasa. Mambo burudani kabisa! Na hivi kuna kubet siku hizi, basi imegeuka fursa kabisa kwa watu wengi.

Yaani nyie pingapinga zenu bwana, utafikiri kuna vya maana mnavyofana huko ufipani wakati hata ofisi kuu tu haieleweki vema. Hivi kile kitabu cha ujasusi wa kiuchumi kimeuza nakala ngapi? Angalau tuyaone mafanikio hayo kwanza maana nasikia mna wafuasi wengi kweli nchi hii.

Naunga mkono, MAMA JENGA UWANJA WA MICHEZO, SI DODOMA TU, BALI KANDA YA ZIWA, NYANDA ZA JUU KUSINI PIA.
 
mfalme wa morocco alikuwa tapeli..tujenge billion 100ntujenge uwanja wa kiasas dodoma,mbeya,,mwanza na arusha
Good mji mikuu Mbeya MWANZA NA ARUSHA PIA VIWANJA VYA KISASA VIJENGWE KUSISIMUA MICHEZO.
 
Hela ya kujenga uwanja ipo.

Serikali walikubaliana na mkandarasi wa bwawa la Nyerere atumie SCR kujenga uwanja.

SCR ya mradi wa bwawa la Nyerere ni zaidi ya Bilioni 240 wakati uwanja unahitaji kama bilioni 100.

Hata barabara ya mzunguko ya Dodoma itajengwa kwa SCR hiyo na miradi mingine mingi kama hospitali nk.
Na uwanja bado unaweza kuingia serikali fedha ila hii fursa hawaioni.
 
Ushauri kuntu hasa para mbili za mwisho, haya Mambo ya fitiha,ubabe, visasi hayana nafasi dunia ya waungwana.
Atubu na kutangaza hadhara kufutwa mashauri kisiasa na batili.Atskuwa kiongozi Bora zaidi wa Zama hizi, Umoja na ustawi wa taifa letu ndio mchongo Bora.
 
Raisi Samia, utafanya yote, ila kama unataka kuacha jina, basi fanya kila uwezalo kuhakikisha eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa kisasa mkoani Dodoma ujenzi huo unaanza na kukamilika kabla ya 2025.

Kwa ukimya uliopo na muda uliokwishapita, ni vigumu sisi wananchi kuamini Mfalme wa Morocco bado ana nia ya kufadhili ujenzi wa huu uwanja hivyo ni bora ujenzi huo ukajengwa na serikali au makampuni binafsi kama inawezekana.

Kama wasaidizi wako hili hawalioni, bali wanaona mambo mengine wanayoamini yatakujengea legacy basi napata wasiwasi na wasaidizi ulionao.

Lingine ni serikali yako kufuta kesi ya Mbowe na wala si kusubiri uamuzi wa mahakama kwani uamuzi wowote (wa kumfunga au kumuachia huru) ni doa kwa serikali yako.

Futeni kesi ya Mbowe na uwanja uitwe kwa jina lako utakuwa na la kukumbukwa.

Kazi kwako Mama.
Mfalme kaushakubali kujenga ila anataka mkandarasi atoke morroco

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Miundombinu ya michezo mibovu Sana

Ligi yetu ya mpira imekuwa kubwa sasa kiasi kwamba ukanda huu wa afrika mashariki na maziwa makuu na kusini kote kwa afrika tumezidiwa na SA tu

Viwanja vibovu sana

Vijengwe vipya au CCM ipokonywe hivyo viwanja viende serikalini viboreshwe hata pitch na vyumba vya kubadilishia nguo tu kwa kuanzia

So sad
 
Raisi Samia, utafanya yote, ila kama unataka kuacha jina, basi fanya kila uwezalo kuhakikisha eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa kisasa mkoani Dodoma ujenzi huo unaanza na kukamilika kabla ya 2025.

Kwa ukimya uliopo na muda uliokwishapita, ni vigumu sisi wananchi kuamini Mfalme wa Morocco bado ana nia ya kufadhili ujenzi wa huu uwanja hivyo ni bora ujenzi huo ukajengwa na serikali au makampuni binafsi kama inawezekana.

Kama wasaidizi wako hili hawalioni, bali wanaona mambo mengine wanayoamini yatakujengea legacy basi napata wasiwasi na wasaidizi ulionao.

Lingine ni serikali yako kufuta kesi ya Mbowe na wala si kusubiri uamuzi wa mahakama kwani uamuzi wowote (wa kumfunga au kumuachia huru) ni doa kwa serikali yako.

Futeni kesi ya Mbowe na uwanja uitwe kwa jina lako utakuwa na la kukumbukwa.

Kazi kwako Mama.
Hayati Magufuli si alimuomba Mfalme wa Morocco, yale maombi yaliishia wapi ?
 
Back
Top Bottom