Rais Samia, Tanzania ina wahubiri wengi wendawazimu na wabaya kuliko huyo mmoja wa Kenya

Rais Samia, Tanzania ina wahubiri wengi wendawazimu na wabaya kuliko huyo mmoja wa Kenya

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mwanao GENTAMYCINE nakuomba kimya kimya agiza watu wako (hasa wa system) wafuatilie, nakuhakikishia Mheshimiwa Rais utaletewa taarifa za ajabu na za kusikitisha kuliko hata aliyoyafanya huyo Mhubiri mmoja mpumbavu, muhuni, mwendawazimu na gaidi wa Kenya.

Kuna mmoja anawaambia mabinti wapakae maparachichi sehemu za siri ili wanaume wawagande, na cha kushangaza kila wakifanya hivyo ndiyo wanakimbiwa kabisa na hao wanaume.

Natamani niyaseme mengi hapa Mheshimiwa Rais Samia ila kwakuwa una vyombo vyako naomba watume na watakuja na mengi hadi utashangaa na kusikitika.

Waanzie Kawe, Mwenge, Ubongo, Mbezi Beach, Sala Sala, Kimara, Mbagala, Arusha, Mbeya na Kilimanjaro utanielewa nilichokisema hapa.
 
Mwanao GENTAMYCINE nakuomba Kimya Kimya agiza Watu wako ( hasa wa System ) wafuatilie nakuhakikishia Mheshimiwa Rais utaletewa Taarifa za Ajabu na za Kusikitisha kuliko hata aliyoyafanya huyo Mhubiri Mmoja Mpumbavu, Muhuni, Mwendawazimu na Gaidi wa Kenya.

Kuna Mmoja anawaambia Mabinti wapakae Maparachichi sehemu za Siri ili Wanaume Wawagande na cha Kushangaza kila wakifanya hivyo ndiyo Wanakimbiwa kabisa na hao Wanaume.

Natamani niyaseme mengi hapa Mheshimiwa Rais Samia ila kwakuwa una Vyombo vyako naomba watume na watakuja na mengi hadi Utashangaa na Kusikitika.

Waanzie Kawe, Mwenge, Ubongo, Mbezi Beach, Sala Sala, Kimara, Mbagala, Arusha, Mbeya na Kilimanjaro utanielewa nilichokisema hapa.
Najaribu kuwaza rojo ya parachuchi huko sirini !!!!
 
Yaani ni changamoto. Kuna huyo mmoja anawatoza sadaka hadi wanakosa nauli huku kaisha wauzia maji na keki.

Pia kuna masheikh wa mchongo wao hawaui wanafukuzia vinyeo vya watoto
 
Wale waliokufa Moshi (Mwamposa) serikali ilichukuwa hatua gani? Nilifikiria angefungiwa Moja kwa Moja ila bado anapeta.
Huyo hagusiki kwakuwa anakula na analindwa na Waandamizi Wawili wakubwa na wenye Nafasi Kubwa hapa Tanzania Mmoja akiwa Fedha na Mwingine kule Bungeni.
 
Mwanao GENTAMYCINE nakuomba Kimya Kimya agiza Watu wako ( hasa wa System ) wafuatilie nakuhakikishia Mheshimiwa Rais utaletewa Taarifa za Ajabu na za Kusikitisha kuliko hata aliyoyafanya huyo Mhubiri Mmoja Mpumbavu, Muhuni, Mwendawazimu na Gaidi wa Kenya.

Kuna Mmoja anawaambia Mabinti wapakae Maparachichi sehemu za Siri ili Wanaume Wawagande na cha Kushangaza kila wakifanya hivyo ndiyo Wanakimbiwa kabisa na hao Wanaume.

Natamani niyaseme mengi hapa Mheshimiwa Rais Samia ila kwakuwa una Vyombo vyako naomba watume na watakuja na mengi hadi Utashangaa na Kusikitika.

Waanzie Kawe, Mwenge, Ubongo, Mbezi Beach, Sala Sala, Kimara, Mbagala, Arusha, Mbeya na Kilimanjaro utanielewa nilichokisema hapa.
Dr. GENTAMYCINE umesahau kuiorodhesha Mwanza kwa yule Zumalidi
 
Je serikali haioni hawa manabii fake wanazidi kuwafanya watu masikini?? Nadiriki kusema "dini ni umasikini" wenye povu karibuni. Kivipi? Kijijini eti mtu anauza mayai apate pesa ya sadaka. Mtoto wake hajala yai, hana daftari la shule!! Basi toa sadaka mtu akanywe beer, huo sio umasikini? Mungu hahitaji pesa yako, yeye ana kila kitu!
 
Mwanao GENTAMYCINE nakuomba Kimya Kimya agiza Watu wako ( hasa wa System ) wafuatilie nakuhakikishia Mheshimiwa Rais utaletewa Taarifa za Ajabu na za Kusikitisha kuliko hata aliyoyafanya huyo Mhubiri Mmoja Mpumbavu, Muhuni, Mwendawazimu na Gaidi wa Kenya.

Kuna Mmoja anawaambia Mabinti wapakae Maparachichi sehemu za Siri ili Wanaume Wawagande na cha Kushangaza kila wakifanya hivyo ndiyo Wanakimbiwa kabisa na hao Wanaume.

Natamani niyaseme mengi hapa Mheshimiwa Rais Samia ila kwakuwa una Vyombo vyako naomba watume na watakuja na mengi hadi Utashangaa na Kusikitika.

Waanzie Kawe, Mwenge, Ubongo, Mbezi Beach, Sala Sala, Kimara, Mbagala, Arusha, Mbeya na Kilimanjaro utanielewa nilichokisema hapa.
Aanzie kawe,hamasa ya kufika kwingineko na kuyabaini mengi zaidi itakuwepo🤔
 
Back
Top Bottom