Rais Samia, Tanzania ina wahubiri wengi wendawazimu na wabaya kuliko huyo mmoja wa Kenya

Rais Samia, Tanzania ina wahubiri wengi wendawazimu na wabaya kuliko huyo mmoja wa Kenya

Ile ya Moshi 😁😁nlishuhudia lile varangati



Sema mpaka leo sijaelewa jamaa aliwawin vipi wachaga kias kile
Ila kwa kweli naona ni asili watu washazoea kufa kule kulia ni mbwembwe tu na mshtuko wa taarifa ...Ukiachana na hao juzi tu palikuwa na roli la mafuta limepata ajali ila watu wanachota mafuta bila hata ya wasiwasi kama wale waliokufa Msamvu ..
 
Watu washasahau pale Moshi walikufa kama kuku kwa kukanyaga mafuta😂😂

WaDANGANYIKA ni watu wa kusahau upesi sana na ndio maana watawala wanawatesa kwani wanajua watasahau tu!! Serikali msingoje mpaka watu wafe ndio muanze kushuhulikia haya matatizo! Hali ya Maisha ni ngumu na ndio maana hawa matapeli wa dini ni rahisi wao kuwadanganya watu wenye dhiki.
The problem is bigger and complex than many people think!
 
Back
Top Bottom