#COVID19 Rais Samia: Tanzania tuna wagonjwa wa Wimbi la Tatu la Corona

Buza kwa Mparange vigodolo kama kawa,kwani huyo Corona ndi bosi wa wapi jemeni 😂
 
Haya sasa akina fuata upepo njooni tena hapa mtuambie sasa hivi kuna corona na mwaka jana haikuwepo!!

Objective truth siku zote iko supported na scientific evidence na haitabadilika bila kujali mitazamo, imani za dini au za kipagani! Mama anaonesha kuwa objectively truthful na hali ya dunia. Haiwezekani wengine wote wana tatizo hili halafu tukamshihaki Mungu kuwa sisi tatizo hilo halipo huku tukikataa kupima na kuchukua tadhadhari. Uongo wa mwendazake umefanya nipoteze mama yangu!! Ninamchukia kwa jambo hili!!
 
Ni vizuri wakatupatia takwimu za hao wagonjwa, itasaidia zaidi kutoa hamasa ya watu kuchukua tahadhari kuliko maneno matupu bila ushahidi
Ni mbinu tu za kutakatisha mikopo ya fedha toka kwa waliotengeneza hiyo Corona ili watupige kwa kutuuzia chanjo zinazobadilisha DNA!
 
Unataka afe mumeo ndio ukubali? Lije wimbi lisije ila tambueni mkuu ni mamy
 
Lije wimbi lisije ila tambueni mkuu ni mamy
Huyo mamy wako ni bingwa wa maigizo (futuhi).

Nakutuma kwake ukamwambie kwamba sisi wakazi wa Buzza tuna afya tele mpaka zinabaki. Asitulazimishie magonjwa ambayo hatuna.

Ukishamueleza hayo, nenda kwenye kioo ujiangalie kisha ujipige kifua mara tatu huku ukisema "mimi ni mpumbavu sana".
 
kama hali ni serious kwa namna ambavyo Serikalu na Raisi wanavyo taadharisha nilitegemea kusikia tamko la kuamuru vyuo na shule zote kufungwa mpaka pale hali itakapokuwa sawa. Otherwise hii itakuwa ni episode nyingine ya comedy.
 
Barakoa huendana na kuepuka mikusanyiko ila sisi tunakusanyana tu mikusanyiko isiyo ya lazima mara sijui mkutano wa vijana mara wanawake halafu et tunategemea barakoa.
Binadamu wengi sana pato lao hutegemea mikusanyiko. Wazungu wanaufahamu ukweli huo na wanakesha maabara wakitengeneza chanjo, wanataka maisha yarudi hali ile ya zamani.

Kuna matatizo makubwa kiakili yanayokwenda pamoja na maisha ya kujitenga. Kujiua kumeongezeka Ulaya na Marekani kipindi hiki cha corona.
 
Hawa si walipigwa mshono na JPM wakatapatapa km cockroaches...

They are helping each other to find a grip
 
Very technical presentation
Kaanza na maaskofu
Inakuja part 2
Chanjo
Lockdown
Mama anafeli sana, anyway, zigo ni lake, akisema tusiende kazini sisi poa, lockdown itakua ya kutokwenda kazini tu maana mitaani nina uhakika uswahilini maisha yataendelea, itakua likizo kwetu ya kazini.
 
Hili sizani kama watanzania watamuelewa huyu mama!

Jpm aliiweka imani kwao
 
hiyo corona ipo huko huko ushuani kwenu sisi huku tandale atujui hiyo kitu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…