Twende tukawekeze Kenya Mkuu.Ati...
Kwa nguvu zote? Hahahhh kazi ipo
Sasa unachobisha hapo ni nini kwa mfano?Ati...
Kwa nguvu zote? Hahahhh kazi ipo
Tanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Kuuza mahindiTanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
The question should be..Tanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Rais Samia: Zipo kampuni 30 za Tanzania ambazo zimewekeza mtaji ndani ya Kenya wenye thamani wa shilingi za Kenya, Bilioni 19 na kutoa ajira kwa watu 2,640 lakini nikaweka ahadi kwamba, Tanzania sasa tutakuja kwa nguvu yote kuwekeza Kenya ili kukuza ujazo wa biashara
Awali Rais Samia alisema Kenya inashika nafasi ya tano kwa uwekezaji ndani ya Tanzania ambapo imewekeza miradi 513 yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 1.7 ambayo imetoa ajira zipatazo 51 elfu za watanzania.
Uchumi wa Kenya na Tanzania upi ni mkubwa?The question should be..
Kenya kuna nini cha kuwavutia watanzania kuwekeza?
Ukubwa wa uchumi unapimwaje kwani?Uchumi wa Kenya na Tanzania upi ni mkubwa?
Kwa GDP.Ukubwa wa uchumi unapimwaje kwani?
Mbona azam wamewekeza Kenya?Kwa GDP.
Nyani ngabu, vipo vingi sana tunavyoweza kuwekeza Kenya, tunao wafanyabiashara wakubwa kuliko walioko Kenya.Tanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Au ulizaka yote,au umesha mlevi na kauli za shujaa wa kizamaniAti...
Kwa nguvu zote? Hahahhh kazi ipo
GDP inakuwa calculated vipi? Kuna reflection kati ya GDP na economic welfare of general population au reflection yake inakuwa based na data ambazo zinatumika ku calculate hiyo GDP?Kwa GDP.
Azam pekee?Mbona azam wamewekeza kenya?
Watu wajinga kama wewe mlitakiwa msiwepo duniani.Au ulizaka yote,au umesha mlevi na kauli za shujaa wa kizamani
Hao wafanyabiashara wakubwa sana wa Kitanzania sasa hivi hawajawekeza huko Kenya na sasa Samia ndo atawapeleka wakawekeze?Nyani ngabu,vipo vingi sana tunavyoweza kuwekeza kenya,tunao wafanyabiashara wakubwa kuliko walioko kenya,