Usiseme tuna nini?....sema wana nini?,yaani unajiweka kundi moja la kushindwa pamoja na mzee bakhresa,na mo Dewji?Tanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiseme tuna nini?....sema wana nini?,yaani unajiweka kundi moja la kushindwa pamoja na mzee bakhresa,na mo Dewji?Tanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Team mzoga mtahumia sana mani,na zenuTanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Kama kuna makampuni 30 yapo yana operate, it means na yanaweza ongezeka hadi 60 au 90.Tanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Ken,ge nyinyi, kaufufueni mzoga wenu muuwabudu, naona bado hamumkubari mama wasukumaHao wafanyabiashara wakubwa sana wa Kitanzania sasa hivi hawajawekeza huko Kenya na sasa Samia ndo atawapeleka wakawekeze?
Mwendazake alikuwa kichaa kabisa mwenye roho chafuKama kuna makampuni 30 yapo yana operate, it means na yanaweza ongezeka hadi 60 au 90.
Angalao tumepata Rais SSH anayesema tukawekeze Kenya ili kulipa kisasi, kuliko kuliko aliyekuwa analipa kisasi kwa uwekezaji wa Kenya kwetu kwa kufunga na kuharibu biashara za Kenya.
"It always seems impossible until it is done"- Nelson Mandela
Akina nani hao wenye chuki na Samia?
Na hizo chuki ziko wapi? Mifano/ ushahidi?
Hujajibu swali!..nadhani kuna chama cha upinzani kitazaliwa out of ccm na watu wenye chuki na mama samia suluhu hassan.
fursa kenya ziko kibao kwa watanzania mojawapo ni kuoza wanawake wa Tanzania kwa wakikuyu na wakambaTanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
wako kibao wamewekeza mbonaHao wafanyabiashara wakubwa sana wa Kitanzania sasa hivi hawajawekeza huko Kenya na sasa Samia ndo atawapeleka wakawekeze?
Hujajibu swali!
Wewe umesema kuna watu wana chuki na Samia.
Nami ndo nikakuuliza ni akina nani hao?
Na nikakuomba na mifano/ ushahidi wa hizo chuki.
Kwenye Biashara Jamaa hawana Ukabila acha uongo, Wakikuyu wanafanya Baishara na Wajaluo, Ukabila sana kule unachagizwa na wanasiasaTuulizane kwa makini sana! Rais wetu amezoea kushangiliwa au anaona makofi na kelele ktk majukwa huwa ni za kweli? Kenya ni nchi inayohitaji ubabe ktk kushirikiana nayo. Utawekeza nini kama hawataki majirani zao kuwekeza kwao? Rais wetu ajiulize ni kwa nini ilikuwa vigumu kwa CRDB bank kuwekeza Kenya kuliko KCB kuwekeza TZ. Hawa jamaa ukabila uko kila sekta! Tusidanganyane na kuambiwa ni majirani. Na, Rais asituponze kwa furaha ya majukwaani.
CRDB iko Kenya wapi? Acha upimbi wewewako kibao wamewekeza mbona
Rostam Aziz yuko kule pia Bakheresa yuko kule na Scandinavia yuko kule wengi wanadhani Scandinavia alikufa na mabasi yake Tanzania wala yuko Kenya
CRDB bank iko Kenya nk
NairobiCRDB iko Kenya wapi? Acha upimbi wewe
Akina nani hao? Mbona hutoi mifano?..kuna watu hawapendi rais samia anavyozungumza.
..wengine hawapendi macho yake yalivyo.
..wako kundi moja na wasiopenda anavyovaa hijab.
Akina nani hao? Mbona hutoi mifano?
Au unatunga tu?
Akina nani hao watu? Kama huwezi kuwataja na kusema walichokisema dhidi yake, basi utakuwa unatunga tu!..situngi.
..lakini kuna watu wana CHUKI sana na mama wa watu.
..na kwa bahati mbaya inaelekea na wana-ccm.
Viwanda vya unga, viwanda vya juice, viwanda vya mchele viwanda viwanda viwanda maana tuna maligafi za kutoshaTanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Labda maduka ya MpesaNyani ngabu, vipo vingi sana tunavyoweza kuwekeza Kenya, tunao wafanyabiashara wakubwa kuliko walioko Kenya.
Kama hujawahi ishi Kenya, usitoe maoni ya kizembe kiasi hiki. Watu wanaokzuia magari ya TZ kupeleka watalii Kenya wewe unasema bhla! bhla!Kwenye Biashara Jamaa hawana Ukabila acha uongo, Wakikuyu wanafanya Baishara na Wajaluo, Ukabila sana kule unachagizwa na wanasiasa
Hawa jamaa ni wagumu sana kitabia. Hata viwanda vya kusaga mahindi hawataki vimilikiwe na wa-TZ. Lazima M-Tz uwauzie mahindi, wao wasage na kuuza. Ukisaga, hawanunui.Viwanda vya unga, viwanda vya juice, viwanda vya mchele viwanda viwanda viwanda maana tuna maligafi za kutosha