Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Inakuwa calculated na calculator.GDP inakuwa calculated vipi? Kuna reflection kati ya GDP na economic welfare of general population au reflection yake inakuwa based na data ambazo zinatumika ku calculate hiyo GDP?
Unauliza au unatoa kauli?Mbona azam wamewekeza Kenya?
Mama amesema tumewekeza kupitia wafanyabiashara 19bil Ksh na Kenya imewekeza 1.7bil Usd nani ana nguvu kwa mwenzake?Nyani ngabu, vipo vingi sana tunavyoweza kuwekeza Kenya, tunao wafanyabiashara wakubwa kuliko walioko Kenya.
Madako gakoInakuwa calculated na calculator.
Alkasusi mkuuTanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Go figure!Mama amesema tumewekeza kupitia wafanyabiashara 19bil Ksh na Kenya imewekeza 1.7bil Usd nani ana nguvu kwa mwenzake?
Mahindi na Malibwa🤣🤣🤣Tanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Ng’wenekele…Madako gako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiswahili?!Tanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
quoted mamaGo figure!
Ginehei hangi. ila ndina shaka nu ngikuluNg’wenekele…
Tuulizane kwa makini sana! Rais wetu amezoea kushangiliwa au anaona makofi na kelele ktk majukwa huwa ni za kweli? Kenya ni nchi inayohitaji ubabe ktk kushirikiana nayo. Utawekeza nini kama hawataki majirani zao kuwekeza kwao? Rais wetu ajiulize ni kwa nini ilikuwa vigumu kwa CRDB bank kuwekeza Kenya kuliko KCB kuwekeza TZ. Hawa jamaa ukabila uko kila sekta! Tusidanganyane na kuambiwa ni majirani. Na, Rais asituponze kwa furaha ya majukwaani.Rais Samia: Zipo kampuni 30 za Tanzania ambazo zimewekeza mtaji ndani ya Kenya wenye thamani wa shilingi za Kenya, Bilioni 19 na kutoa ajira kwa watu 2,640 lakini nikaweka ahadi kwamba, Tanzania sasa tutakuja kwa nguvu yote kuwekeza Kenya ili kukuza ujazo wa biashara
Awali Rais Samia alisema Kenya inashika nafasi ya tano kwa uwekezaji ndani ya Tanzania ambapo imewekeza miradi 513 yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 1.7 ambayo imetoa ajira zipatazo 51 elfu za watanzania.
Tutapeleka bendera za cccmTanzania tuna nini cha kuwekeza Kenya?
Wafia Jiwe ndio kazi yao..kuna watu wana chuki na mama samia.
..pia wana chuki na majirani zetu wa kenya.
Akina nani hao wenye chuki na Samia?..kuna watu wana chuki na mama samia.
..pia wana chuki na majirani zetu wa kenya.
Kenya hakuna fulsa yoyote kwa mtanzania fulsa zipo hapa hapa tz ila soko liko popote duniani.Rais Samia: Zipo kampuni 30 za Tanzania ambazo zimewekeza mtaji ndani ya Kenya wenye thamani wa shilingi za Kenya, Bilioni 19 na kutoa ajira kwa watu 2,640 lakini nikaweka ahadi kwamba, Tanzania sasa tutakuja kwa nguvu yote kuwekeza Kenya ili kukuza ujazo wa biashara
Awali Rais Samia alisema Kenya inashika nafasi ya tano kwa uwekezaji ndani ya Tanzania ambapo imewekeza miradi 513 yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 1.7 ambayo imetoa ajira zipatazo 51 elfu kwa watanzania.
Siyo serikali inayowekeza direct ila makampuni yetu watawekeza katika mambo ambayo naamini serikali itawaongoza km fursaUchumi wa Kenya na Tanzania upi ni mkubwa?