Rais Samia, tengua uteuzi wa Waziri Makamba na Bodi nzima ya TANESCO. Au na wewe una maslahi na kinachoendelea?

Rais Samia, tengua uteuzi wa Waziri Makamba na Bodi nzima ya TANESCO. Au na wewe una maslahi na kinachoendelea?

Kwani washamba wako bado wapo madarakani?

Si chama kimerudi kwenye mikono salama?
Mazwazwa ndo yametufikisha hapa. Mnawaonea tu kina January Makamba wanaporekebisha makosa ya mazwazwa
 
Hovyo sana
Mkiambiwa jengeni uchumi na miundombinu imara mnaleta siasa zenu za wizi wa chaguzi na kuteuana, haya miaka zaidi ya sitini ya uhuru bado mnasumbuliwa na matatizo ya maji, umeme, madarasa, zahanati na vituo vya afya hadi mnakopea pesa.....hovyo kabisa.
 
Hii ndiyo inasababisha mnaotoa hoja bila ushahidi wa kutosha kuonekana ni wafitinishi. Mimi siamini kama wewe unaagukia kwenye kundi hilo.
Kama ambavyo sikuamini wewe unaweza usiyajue mamatizo yaliyotufikisha hapa...
 
Repair zimeanza kufanyika alipoingia, hata kwenye taarifa ya TANESCO ya jana wameelezea vituo ambavyo wanarepair ili kuongeza umeme kwenye grid ya taifa, then Ukame umeingilia hapa kati na kulifanya tatizo liwe worse! Inashangaza kidogo kumchukia mtu ambaye hata hamumfahamu zaidi ya kumuona kwenye TV na magazetini
we ni mpuuzi ulietukuka toka ccm(chama cha mazuzu)
 
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.

Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.

Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?

Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.

Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!

Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.

Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.

Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.
Punguza peleche
Waziri Makamba amerithi bomu na sasa anapambana kupunguza madhara
 
Matatizo ya umeme ni ya muda mrefu..... kumtoa Waziri aliyekaa kwa miezi 3 ni uonevu tu. Apewa at least miaka 3 tuone mipango yake.
 
Ina maana expatriates wote tulionao hakuna wa kukalia kiti kile[emoji38]?

Mbona unanichekesha mkuu, wako watu waliobobea katika management ya electric industry toka abroad ni diaspora tunaweza waweka.

Najua wabongo hatuaminiani hasa waliosomea vyuo vya humu humu ila wako walio exposed ulaya they can play part n parcel ya kuokoa jahazi!
Tatizo ni management ya kitaalamu (Tanesco) au tatizo ni management ya kisiasa (Waziri)!!??
 
Kuna matatizo ma2, Maji na Umeme, sijaona mahali Aweso hata anazungumziwa!!!!!!! Lakini kila dakika 2 zinaanzishwa threads January, January!! Kama siyo chuki ni nini? Huu ujinga wa kumtafuta mtu wa kumsakama serikalini ulianza awamu ya 4!! Awamu ya 4 alikuwa Ridhiwan, awamu ya 5 Makonda, awamu hii mlikuwa hamjui muanzie wapi, mlianza kwa JK mkaona hampati kiki za kutosha, Mkaenda kwa Mwigulu mkaona hampati kiki pia, mkahamia kwa Mchengerwa kiki bado zikakosekana!!! Naona sasa mmempata mtu perfect wa kumshambulia ili kuuza vigazeti vyenu uchwara na kutafuta wafuasi Mitandaoni! Mnasema January Mwizi, kaiba nini? Au ndiyo mnaendeleza ule upuuzi wenu mliomfanyia Lowassa and mwisho wa siku mkarudi kumpigia magoti (Both wapinzani na chama tawala)??

Wananchi wanataka umeme ili shuhuri zao za kila siku ziendelee na watoto waweze kwenda maliwatoni!! Maji ni muhimu lakini hata yakikatika mara yakitoka Watu wanahifahi kwenye matanki na maisha yanaendelea licha ya kutegemea visima pia!!

Umeme ukikatikatika option ni kwa wale wenye magenerator na wengine wenye solar panels ndio watapata umeme!! Hapo ndio wanapomshuku huyo January kuwa ana ubia na hawa wauza magenerator ndio maana anatuletea sababu za hovyo hovyo za umeme kukatika!! Kumbuka kuwa huyu January haaminiki partly kwasababu ya ukaribu wake na Vasco Dagama na anajua jinsi walivyotupiga enzi zao na HOME SHOPPING CENTRE!!
 
Hakukua na matatizo kipind anapokea wizara.. Tangu ameingia tu ndo maji yamepungua, ndo service ya mitambo, ndo mazingira yameharibika...!!
Inaonekana ana gundu sasa
 
Wananchi wanataka umeme ili shuhuri zao za kila siku ziendelee na watoto waweze kwenda maliwatoni!! Maji ni muhimu lakini hata yakikatika mara yakitoka Watu wanahifahi kwenye matanki na maisha yanaendelea licha ya kutegemea visima pia!!

Umeme ukikatikatika option ni kwa wale wenye magenerator na wengine wenye solar panels ndio watapata umeme!! Hapo ndio wanapomshuku huyo January kuwa ana ubia na hawa wauza magenerator ndio maana anatuletea sababu za hovyo hovyo za umeme kukatika!! Kumbuka kuwa huyu January haaminiki partly kwasababu ya ukaribu wake na Vasco Dagama na anajua jinsi walivyotupiga enzi zao na HOME SHOPPING CENTRE!!
Labda wewe ndiyo humuamini!! And January hajawahi kujihusisha na hizo business unazosema pia!! Huyo mnayemuita Vasco da Gama sijawahi kuona ubaya wake wa kustahili chuki kubwa namna hii hadi kuwachukia watu wake wa karibu pia! Acha chuki Chief, hazisaidii
 
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini.

Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama viongozi wakuu wa nchi.

Teuzi ya January Makamba imebuma mapema mno, unasubiri mambo yaharibike kwa kiwango gani ndio uchukue hatua?

Sababu zote mlizozitoa zinatushangaza Watanzania, tena ni za gafla na kinzani.

Haiwezekani kuondoa wabobezi wa fani ya masuala ya umeme wote kwa mkupuo ukafanikiwa, never!

Hii teuzi ukiing'ang'ania itakuharibia kila jema uwazalo kwa Watanzania, hafai, lawama zote zitakuangukia wewe kiranja mkuu.

Ulisema, unasoma mitandaoni sana, kilio na mtazamo wa wananchi umeusikia, hivyo kwa sasa ni ngumu kwadanganya Watanzania.

Amua haraka kwa faida ya nchi, si dhambi kurekebisha kosa.
Hata kama wewe ni sukuma gang ila kwa hili umeandika ukweerrriii.

Au naongopa ndugu zangu?
 
Ni wivu tu, hamna lolote.

Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?
Hata mimi nashangaa wanavyompigia debe la kuwa ahamishwe hata miezi sita haijafika.

Lazima kuna team fulani hivi inapiga majungu kila siku kwenye mtandao.
 
Back
Top Bottom