Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Mwenye uchumi wake mnamsimanga kila siku ,kaona isiwe tabu ngoja niondoke nao.
Haya sasa mama amekiri kuwa uchumi ule wa kati umeporomoka..
Je bado kuna shaka na uwezo wa utendaji wa JPM?
Simanzi
 
Mkiendelea kumponda JPM, tarajieni kushuka kushuka kiuchumi na nyanja nyingine kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
 
Sasa kama mungu ndio katurudisha, tunapambana nae wanini
 
Uongo una mwisho wake. Yule mkuu wa waongo alipoondoka ghafla 17 March 2021, mambo yote yakawa hadharani. Ni vigumu kuongopa siku zote na usigundulike. Unaweza fanikiwa kwa kipindi kifupi tu. Na ndicho kilichotokea.

Wale "wanyonge" mnaotetea mungu-mtu wenu, jisomeeni hapa. Kama hauna akili ya kusoma article nzima, soma mistari 2 nilipoigia msitari. Kama hauwezi ng'eng'e, tumia Google translate basi. Kama haiwezekani pia mtapokwenda Lumumba, mwombeni January awape tafsiri yake. - kababu Nigrastratatract victor solomon Interlacustrine R Interlacustrine E nao Full Blood Picture Omulasil tameer johnthebaptist Countrywide Crimea vamda Jumbe Brown kabila01 Ame Rweye Lu-ma-ga Watery cotyledon alubati stevhinoz Top leader magu2016 Loftins Lucas philipo Meela KIXI Meneja Wa Makampuni kipande Stefano Mtangoo Micho greenwoods @Ramo

Hizi ni kweli mmesahau hili? Ama ni kushabikia mungu-mtu wenu kama timu ya mpira? Wanyonge, buana.... mwendazake kama aliwavutisha madawa fulani. Yaani hamwelewi kitu kabisa!?

Tanzania president blocks critical IMF report on economy

Joseph Cotterill in Johannesburg

April 18 2019

Fund warns over 'unpredictable and interventionist policies' under Magufuli

View attachment 2177072


More information can be found here.
Subscribe to read | Financial Times

Tanzania was criticised by the International Monetary Fund for unpredictable economic policies and unreliable statistics in a report that President John Magufuli’s government blocked from publication this week. The unreleased report, seen by the Financial Times, warned of “unpredictable and interventionist policies that worsen the investment climate and could lead to meagre [or even negative] growth” in east Africa’s second-largest economy. The criticism appears to have earned the wrath of Mr Magufuli, who has been called “The Bulldozer” over his abrasive and erratic style, including attacks on foreign investors. The IMF said on Wednesday that the Tanzanian authorities had not consented to publication of the report, produced as part of the fund’s “Article IV” annual check-ups on countries’ economic health. Governments have a right to block publication but the reports are usually routine affairs and are almost always made public. Tanzania’s refusal to release the report has alarmed international investors, who already fear the government is hiding the true state of the economy. Tanzania has criminalised the release of statistics that vary from the official version, in a law that the World Bank has called deeply concerning. The IMF report said there were “serious weaknesses” in official Tanzanian statistics that point to gross domestic product growth of 7 per cent. The report said that “urgent steps are required to improve the national accounts” and urged Mr Magufuli’s government “to ensure an open and independent statistics agency”. Recommended African politics Tanzania opposition leader blames president after shooting According to IMF estimates released earlier this month, the economy will grow 4 per cent this year. Since his election in 2015 Mr Magufuli has launched a crusade against corruption but also clashed repeatedly with business. His government has pushed to renegotiate and limit foreign investment in sectors such as mining. The policy has “clouded the investment climate”, the IMF said. Mr Magufuli last year rocked international commodity markets when he ordered the army to buy the country’s entire crop of cashews after a stand-off over prices. Tanzania is a big producer of the nut. In 2017, Mr Magufuli targeted London-listed Acacia Mining, a gold producer, with demands for $190bn in tax penalties. Acacia eventually paid $300m and agreed to reconsider its business model in the country as goodwill gestures to end the dispute. The IMF report also pointed to a slowdown in investment activity since Mr Magufuli came to power. Foreign investment fell to 2 per cent of GDP in 2017 from roughly 5 per cent in 2014, according to World Bank data. The IMF said: “The Fund does not comment on leaked reports.”

Source: Subscribe to read | Financial Times.
 
Rais mzima anasema Mungu ndio katuondoa uchumi wa kati…

Eti sio kosa la mtu ni Mungu!

The most lightweight president in the history of womankind
 
Kumbe tumeshuka Daraja na hata hamsemi?
 
Mimi nilijua tuna Rais KILAZA KWA SASA haijawahi kutokea katika nchi hii, nime kuwa najiuliza sana kwa nini toka aingie madarakani GDP yetu data zake ni zile zile zinatumika za mwaka 2019? nimekuwa nikisema kwa nini hatu update GDP yetu na kutoa taarifa mpya za mwaka 2021 kumbe tayari mambo yalikuwa yamedoda, kwa ufupi huwezi kukuza uchumi kwa kudharau sector za uzalishaji kama kilimo, viwanda, usimamizi mbovu wa rasilimali, mfano madini na kulega lega kwa usimamizi wa miundo mbinu , huduma hafifu Tanesco, hata ukishinda una unakwenda nje kila siku kutafuta wawekezi huwezi pata, hata ujidanye eti una fungua nchi una jidanganya mwenyewe, na hilo Magufuli kawa umbua . Income /capital ambayo ndio kipimo kikubwa cha uchumi kina tegemea zaidi uzalishaji na ushirika mkubwa wa wananchi katika kuzalisha, kuuza bidhaa na kujipatia kipato, toka MAMA aingie madarakani imekuwa ni story story story story na tumerudi zama za kila kitu kutegemea misaada, hakuna tena uzalishaji, mianya ya rushwa, serikali kushindwa kusimamia miradi, madini mapato kushuka, kazi ya kuwa kiongozi wa nchi sio mchezo kama Samia anavyofikiria, na tutaenda chini zaidi ya hapa na mbaya zaidi ana washauri wabovu wa masuala ya uchumi.

Hebu tujiulize toka Samia kaingia madarakani kipi alichofanya cha maanza zaid kila siku kuongelea MAGUFULI? , yeye hawezi kulingana na Magufuli wala hana uwezo huo hata kukaribia tu 0.0001 ya Magufuli, yeye angejikita zaidi kufanya kazi na kuleta maendeleo kwa wananchi.
 
Ki
Ulidanganywa kuwa uchumi wako umekuwa na yule kichaa. Na wewe kwa akili yako, ukapiga makofi.. pwa, pwa, pwa... wakati ukweli ni kuwa kipato chako bado kiko pale pale.

Unafikiri World Bank wanatoa wapi takwimu zao. Wanatumia takwimu zinazotoka hapa hapa Tanzania. Takwimu hazitoki makao makuu ya World Bank Marekani.

Yule kichaa IMF walimwambia kuwa takwimu zake ni feki. Akakasirika na kuwazuia IMF kuchapisha takwimu zao zilzoonyesha kuwa uchumi unakuwa kwa kiwango kidogo.
Kichwa chako kimejaa utegemezi, toka kwa mjomba nenda kaangaike ndugu achana na utegemezi! Na haya ndo madhara ya maziwa ya kopo!
 
Tulikaa kwenye lower boundary ya uchumi wa kati kwa miezi 6 tu, kisha tukadondoka kuliko hata tulipokuwa kabla ya kuingia uchumi wa kati. Na hiyo ilitokea wakati Magufuli akiwa bado hai.
Rais Samia akiwa Mwanza sherehe za hospitali ya Bugando, mwezi Nov 2021 alikiri na kusema kuwa tupo uchumi wa kati hivyo misaada imepungua, akasisitiza wananchi kuchapa kazi. Hivi kinawasaidia nini mnaposema uongo na kuweka chuki kwa mtu asiye kuwepo, ambae tayari ni marehemu.
Hivi uwa mnajiuliza roho zenu zitakapotolewa, itakuwaje? Akili za watu wanaoshindana na marehemu. Badala ya kujikita waanyie nini nchi yao. Hama kweli anaikeni ila ukweli usimama siku zote.
 
Ngoja nijaribu kukuondolea ujinga. Mashirika ya kimataifa - WB, IMF, WHO, ILO, FAO, nk hutumia takwimu zinazopatikana katika nchi ili ku-grade nchi. Kama utatoa takwimu za uongo, grading yao pia itakuwa ya uongo. Magufuli aliambiwa na IMF kuwa uchumi unakuwa kwa 4.5%, akatakaa, kichaa kikampanda, akagombana na IMF huku akisema uchumi wetu unakuwa kwa 7%. Ingetumika 4.5% nani angesema uko uchumi wa kati? Jielimishe. Usiishie kuwa mpiga kura wa CCM tu. Usitumike.

victor solomon - siyo vibaya na wewe ukijielimisha. Nimesoma ulichoandika.
Hayo mashirika yangekuwa yanafanya kazi zao kwa fikra zako hata yasingekuwepo
 
Haya mbona sasa kwenye website ya World Bank Tanzania bado ni middle income country.
Serikali itakuwa imesha taarifiwa kwamba imeshuka kutoka uchumi wakati maana World Bank Wana vigezo vyao kukupandisha na kukushusha Serikali ya Mama inaomba misaada Sana ata ya kujenga Choo na Madarasa kama nchi ipo uchumi wakati nchi wahisani upunguza Misaada kwa vigezo inchi inaweza kujitegemea kwahiyo wahisani uanza kukukopesha tu. Professor Ngowi kwenye kipindi cha Uchumi wetu cha ITV alisema nchi imeingia uchumi wakati tusifurahie Sana kuna ugumu wake nchi itaondolewa baadhi ya Misaada na wahisani. Raisi wetu wasasa yeye anaongoza nchi kwa Mawazo yaki masikin ya kuvaa ijabu na kwenda kwa Mabeberu kutembeza bakuli kodi hataki kikusanya yeye tegemeo lake ni kuomba Misaada , sawasa nawewe umeamua kujitegemea kutoka kwenye mikono ya wazaz ladhima baadhi ya Huduma mzaz wako ata sitisha, sasa wazaz wakiona bado unaenda kwa nyumbani kuomba pesa ya chai na chakula na pesa ya kulipa kodi ya Nyumba waziz watajua mtoto kashindwa kujigemea tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hapa Maza kanishangaza. Nimesikiliza mara mbili mbili simuelewi. Yaani tumerudishwa kwa uwezo wa Mungu... Sasa tulipanda kwa uwezo wa nani?

Kama Mungu katushusha sasa tutapandaje wenyewe bila Mungu..!? Wazanzibar he u tusaidieni na hicho kiswahili chenu, tafadhari.
Nchi zilizo na uchumi wakati huwezi kuona Ma Raisi wao wanaenda Ulaya hovyo hovyo huwez kusikia na kuona Rais kutoka Ghana, Botswana, Namibia, Nigeria kila mwezi wanaenda Ulaya kuomba pesa za kujenga shule na vyoo Yani usikie Raisi wa Ghana au Namibia kaenda Ulaya kuomba omba kama Raisi wetu huweezi kuona wala kuwasikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye uchumi wake mnamsimanga kila siku ,kaona isiwe tabu ngoja niondoke nao.
Haya sasa mama amekiri kuwa uchumi ule wa kati umeporomoka..
Je bado kuna shaka na uwezo wa utendaji wa JPM?
Hamna kitu, ni upuuzi ulitengenezwa na jiwe na data za kupikwa baada ya kumfukuza yule mkaguzi wa serikali.
Fuatilia jinsi nchi ya Greece ilivyowadanganya kwa data za kupika ili kujiunga na umoja wa ulaya na kukubaliwa, na sasa ni amekuwa mzigo wa mwiba....
 
Hamna kitu, ni upuuzi ulitengenezwa na jiwe na data za kupikwa baada ya kumfukuza yule mkaguzi wa serikali.
Fuatilia jinsi nchi ya Greece ilivyowadanganya kwa data za kupika ili kujiunga na umoja wa ulaya na kukubaliwa, na sasa ni amekuwa mzigo wa mwiba....
Lengo umtetee huyu bibi yako ushungi the great Failure! Badala ya kujadili nini kifanyike unatupa madongo kwa JPM! Hivi unafikiri wote hapa vichwa panzi kama wewe?
 
Kwani hizo rank alipanga yeye au mashirika ya kimataifa, bro usikimbilie tu kuandika mambo ambayo huyajui😄

Hamna kitu, ni upuuzi ulitengenezwa na jiwe na data za kupikwa baada ya kumfukuza yule mkaguzi wa serikali.
Fuatilia jinsi nchi ya Greece ilivyowadanganya kwa data za kupika ili kujiunga na umoja wa ulaya na kukubaliwa, na sasa ni amekuwa mzigo wa mwiba....
Rafiki data zinajieleza zenyewe! Serikali ilijikita kwenye miradi mikubwa!
Pesa za madawa ya kulevya na kuuza viungo vya ALBINO hazikuwepo
 
Wadau,
Heshima kwenu,
Inasikitisha kuona nchi inarudi nyuma kwa speed of light
2.0 × 10^8

"Tumeondolewa Katika Uchuni wa KATI Lakini Tutarudi" - Rais Samia

Udaku SpecialApril 05, 2022


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kwamba ingawa Tanzania imeondolewa kwenye nchi zenye uchumi wa kati lakini kufikia mwaka 2025 Tanzania itakuwa imefika au imekaribia kurudi uchumi wa kati.

Mhe. Rais Samia ameyasema hayo leo Aprili 5, 2022 alipokuwa akihutubia katika hafla ya kufungua mkutano wa kitaifa wa haki, amani na maridhiano Tanzania ambao umefanyika Makao Makuu, Dodoma.

"Tanzania tuliingia uchumi wa kati tukarudishwa, siyo kwa mipango ya mtu, ni mipango ya Mungu. Kwahiyo tupambane kurudi tulipokuwa. Na kwa ninavyoiongoza serikali, natarajia kufikia 2025 tutakuwa tumefika au tunakaribia kurudi uchumi wa kati" - Rais Samia Suluhu Hassan.

Aidha katika hotuba yake, Rais Samia amewasisitiza viongozi wa vyama vya kisiasa kuhakikisha kwamba wanautumia mkutano huo vema na kumpelekea mapendekezo yenye tija kwa Tanzania na watu wake.

Rais Samia amewakumbusha wajumbe wa mkutano huo kuwa Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe na hivyo wajadili mambo ambayo yanaendana na mazingira ya Kitanzania na kuongeza kwamba kazi ya vyama vingi ni kuona yanayofanywa na serikali na kutoa maoni kwa serikali.
 
Back
Top Bottom