Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Umeandika upuuuzi mtupu!Uongo una mwisho wake. Yule mkuu wa waongo alipoondoka ghafla 17 March 2021, mambo yote yakawa hadharani. Ni vigumu kuongopa siku zote na usigundulike. Unaweza fanikiwa kwa kipindi kifupi tu. Na ndicho kilichotokea...
Uwongo wake ni UPI iwapo mkuu wa nchi amesema tulifikia hiko kiwango na tumeshuka....!
Hivi, ulielewa alichosema mama Samia?