Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I loved the way he lied!Ngoja nijaribu kukuondolea ujinga. Mashirika ya kimataifa - WB, IMF, WHO, ILO, FAO, nk hutumia takwimu zinazopatikana katika nchi ili ku-grade nchi. Kama utatoa takwimu za uongo, grading yao pia itakuwa ya uongo. Magufuli aliambiwa na IMF kuwa uchumi unakuwa kwa 4.5%, akatakaa, kichaa kikampanda, akagombana na IMF huku akisema uchumi wetu unakuwa kwa 7%. Ingetumika 4.5% nani angesema uko uchumi wa kati? Jielimishe. Usiishie kuwa mpiga kura wa CCM tu. Usitumike.
victor solomon - siyo vibaya na wewe ukijielimisha. Nimesoma ulichoandika.
Ukibahatika kufika baadhi ya nchi za uchumi wakati, pia hutaweza kuamini.Binafsi sikuwahi kuamini kama tuliwahi kufika uchumi wa Kati!
Yeye mwenyewe hakumaliza muda wake wa kuongoza,Nikiwaambia Mwendazake aliua uchumi hamuelewi.
Ukweli ni kwamba hakuna kitu cha kuzalisha alifanya Mwendazake,miradi yote aliyoianzisha hakuna uliomalizika na uwekezaji na biashara ndio zilijifia kama hazina mwenyewe.
UDaah unadhani unanifundisha mimi kuhusu hayo au unajiongelea tuu...yaani unifundishe wewe kiande mambo ya economic development kweli
Kwa hiyo , July 2020 wakati world Bank wanatutangaza kuingia uchumi wa Kati , uchumi wetu ulikuwa taabani!!!Wala hawakudanganya ila ukweli ni kwamba mwaka 2020 uchumi ulikuwa taabani na ndio sababu za kuchukua mkopo wa covid 19..
Ila nyie hamuwezi kujua kwa sababu sio wafuatiliaji ila wachumi wanafahamu kilichokuwa kinaendelea.
We muongo!!!!!!!Alipoingia magufuli raia walishindwa kulipa ada na hata wengine kusitisha mipango ya kuwapeleka shule za kulipia kwa sababu maisha yalikuwa magumu Hadi watu walikuwa wakitumia msemo VYUMA VIMEKAZA !
Miaka 6 ilitosha,how comes leo mnataka mama amalize miradi iliyomshinda mtu fulani kwa miaka 6 eti aikamilishe kwa mwaka mmja,huu si ni wendawazimu? Eti aanzishe na mipya pia.Yeye mwenyewe hakumaliza muda wake wa kuongoza,
Ambapo alikuwa ameplan kukamilisha kabla ya kufika mwisho wa uongozi wake,.
Sasa unapomlaumu, Ni sawa na kumlaumu mtoto aliefariki akiwa form 5 kwamba kakutia hasara ya ada kwa mradi wa elimu ambao haukukamilika..
Hawa ndo wanaompotosha Raisi huko jikoni..Hujui lolote eti uko jikoni!! Yaani uko jikoni lakini ni mweupe kiasi hiki!! You are jokking you fck!!
Una utindio wa ubongo hebu nenda hospital weweKwanini nisimuongelee wakati ni yeye ndie alietaka nimuongelee
Kama ni hivyo angebaki Chato asingejihusisha na siasa nani angemuongelea.
Mwekundu 🖍️Pigia mstari.