Rais Samia: Tulikaa kikao na Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kujadili mkopo. Iko wapi nafasi ya Baraza la Mawaziri?

Rais Samia: Tulikaa kikao na Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kujadili mkopo. Iko wapi nafasi ya Baraza la Mawaziri?

Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!

Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?
Hiyo ni hatua ya awali,lakini baada ya hapo inapita kwa kamati ya nikopo ya taifa,ndipo inaenda kwenye cabinet,na baada ya cabinet ilipita bungeni bro,fanya utafiti kabla hujaropoka

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe Mwigulu alimpigia simu SSH usiku akamwambia Hali ya deni ni Mbaya,tutashindwa kulipa na kufanya maendeleo!Ndio wakaja na distress ya deni!
Kwamba wakaamua wenyewe watatu wakope kwingine walipe deni lililoiva!
Hapa ni wazi Hali ya deni imetuelemea,ila tunaambiwa Bado tunakopesheka!
Kama hujui public finance uliza ndg yangu na kuuuliza si ujinga kuliko utumbo huu unasema hapa
 
Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!

Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?
Kwa hiyo ame bypass bunge na baraza la mawaziri, kumbe watu watatu wanaweza ku negotiate mkopo wa nchi na kuvuta mpunga..........sisi wavuja jasho tunajikuta tu tunakamuliwa tozo na kupandishiwa gharama za kuunganisha umeme kumbe mikopo tayari imeiva huko inatakiwa kurudishwa.......
 
WaTz wa elimu hizi wamejaa uzwazwa,hivi hapo anatakiwa awepo Waziri wa Fedha au mawaziri wote,mbona wa Tz ni shida, kama Raisi anajadili mambo ya bangi iruhusiwe au isiruhusiwe ,hivi itabidi wawepo Mawaziri wote maana bangi mtihani, au Wazrri wa Kilimo na labda na wa mambo ya ndani.

Raisi anajadili mambo ya hela kwa Taifa ,mnataka awaite mawaziri wote ?
Hadi waziri wa mifugo awepo[emoji28][emoji1787]
 
Nafasi ya Ndugai iko wapi hapa? hii akili ndogo inayotuongoza itatupeleka pabaya zaidi, na ndio sababu Ndugai alihoji juu ya hii mikopo.

Matokeo yake badala ya kujibu hoja ya Ndugai kwa kujua amekosea akaona dawa yake amkodishie kikundi cha mipasho toka mikoani wakamsute ikulu.
Ina maana speaker nae anakuwa ni sehemu ya maamuzi ya ikiwa mkopo uchukulie au hapana?! Halafu nyie watu acheni unafiki!
 
WaTz wa elimu hizi wamejaa uzwazwa,hivi hapo anatakiwa awepo Waziri wa Fedha au mawaziri wote,mbona wa Tz ni shida, kama Raisi anajadili mambo ya bangi iruhusiwe au isiruhusiwe ,hivi itabidi wawepo Mawaziri wote maana bangi mtihani, au Wazrri wa Kilimo na labda na wa mambo ya ndani.

Raisi anajadili mambo ya hela kwa Taifa ,mnataka awaite mawaziri wote ?
Chombo gani chenye mamlaka ya kuidhinisha mkopo wa nchi?
 
Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!

Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?
Nikiwa nimekaa hapa nikiota moto, imenijia akilini kuwa maadui wetu wa maendeleo TZ ni watatu tu.

• Uchawa ProMax wa Viongozi na Vijana wa UVCCM
• Kipaumbele Ni kwenye Next Election na sio Next Generation
• Presence of many Clueless Citizens

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi usalama wa taifa inahitaji kujipanga wamtafute mtu mwenye uwezo katika maswala ya uchumi kwa viwango vya Kimei ashike usukani wampangie baraza la mawaziri wenye taaluma watu wafanye.

CCM aina watu wenye sifa ya kutuongoza yaani raisi anasema wazi kwa lugha nyingine waziri wake alimwambia makusanyo ya sasa kulipa madeni ni shida kukopa zaidi ni kujiongezea mzigo.

Kuacha mkopo wa interest free wa tsh 1.3 trillion kwa nchi maskini ni ufala, lakini una mipango gani ya kuongeza makusanyo hapo ndio shida ilipo. Huku bandarini kumevuja, TRA umewaambia walegeze.

Kukopa kulipa ni short term solution kumudu hiyo situation unahitaji kuongeza makusanyo that’s the only out of jail card.

Busara mama asigombee 2025 hana uwezo wa kuendesha nchi na raisi sana kuongopewa she is clueless on just about everything hana abc ya jambo lolote.
Hatutaki wafia ukabila tena ktk hii nchi na mtakaa benchi mpaka kifo chenu
 
Bora samia alikuwa anakaa na wenzake wawili jumla watatu...
Mwendazake alikuwa akimka tu anaamua chattle iwe mkoa.. na kupanga mambo ya nchi akiwa mwenyewe.
 
Mama anaonekana kutokuwa na confidence. Ogopa sana watu wasiokuwa na confidence wakiwa na madaraka. Kuna tozo, makusnyanyo ya kodi yameongezeka, mikopo kwa wingi, serikali inatumia pesa hizo namna gani. Kulikuwa na mmoja alidai anataka kukodi crane kwa gharama karibu sawa na kujenga daraja la wami.
Kama alivyokuwa Jiwe manake akafikia hadi kurekodi watu kwa siri ili afahamu kama wanamsema, au hapana!!
 
Back
Top Bottom