Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huwa unaongea na Mungu?Mungu ataleta msiyemdhania km ilivyokua Kwa magufuli
Kila mwanadamu amepewa uwezo wa kuongea na Mungu!Wewe huwa unaongea na Mungu?
Wakati wa Lissu huuHata hayati Membe alipewa Wizara hiyo, kama Mungu hajakuandikia huwezi kuwa.
Huu urais wa kuandaliwa na mwanaidi tuone kama ataupata. Mwenyewe mpigaji ameshajulikana sasa anamuandaa mpigaji? Mbona tayari watu wanamsubiri na mawe mkononi🤣🤣😂Labda LAISI
Mbona anasubiriwa na mawe akigombea🤣😂🤣Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Kwa miaka 3 hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima, January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo TANESCO?
[emoji101]Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.
Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.
Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.
Tanzania njema yaja!
Sigara kuvuta public na mjini ipigwe marufuku.Nipo nae hapa tunavuta cigarettes
Hana uwezo nayo, yeye si tough kama Muhongo, ataingia kwenye mtego wa kingi ya mapapa wa nishati.Haya sasa Doto Biteko ameanza kugundua mauozo kibao
Hatapewa nafasi ya kumchafua na kumkaanga Januari ambaye anatengenezwa kwa ajili ya wakati ujao.Haya sasa Doto Biteko ameanza kugundua mauozo kibao