atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Watu wanawaza kwa kutumia masaburiWizara ya TANESCO imemshinda halafu ndio apewe nchi? Nyinyi watu mna skili kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanawaza kwa kutumia masaburiWizara ya TANESCO imemshinda halafu ndio apewe nchi? Nyinyi watu mna skili kweli?
Kama ni hvyo nasubiri urais wa mawaziri waliowahi kushika hiyo wizara;Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Hana umaarufu huyo. Alitaka kulazimisha BM lakini akashindwa.2030 Rais ni Makamba Jr. Labda rimoti ya Msoga isiwepo
Bavicha bwana.Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima, January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo TANESCO?
Usikariri,mambo yamebadirika mnooUngejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Mungu ataleta msiyemdhania km ilivyokua Kwa magufuli2030 Rais ni Makamba Jr. Labda rimoti ya Msoga isiwepo
yule akiwa Rais nitathibitisha nchi hii wote ni wajingaKiko wapi kivipi.?
huoni kuwa ana andaliwa kwa nafasi ya ukuunwa ile nyumba nyeupe.
Ndiyo maana kapewa wizara nyeti.. Ambayo MARA NYINGI ni njia ya kuelekea Magogoni
Chuki inakondesha!Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima, January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo TANESCO?
Kunywa soda pot , lesheni ikitoka tukutane nilipieYaani umejifcha nyumbani kwako na Tecno unapost unasema tulikuonya rais wewe na nani labda na familia yako urais ni taasisi siyo mtu mmoja.
Kwa kumbukumbu zangu umetudanganya mkuu..Kikwete na huyo makamba ndie aliekua muaandaji wa uandishi ktk hotuba zake.
Alimtoa kwenye ofice za UNHCR na kumleta kwenye ofice yake.
Ni kwasababu wote hao ni msoga gang.jamani kinachoniuma ni wale waliokataliwa na rais Magufuli wamerudishwa na huyu mama. Sijui mama anakuwa na interest gani na hao watu?😮💨😮💨😮💨
Sample size ya watu wawili haiwezi kutumika kutoa conclusion. Otherwise, it is called hasty generalisation, a type of logical fallacy.Mkapa na Kikwete wote walikuwa Mawaziri wa Mambo ya Nje na wakaja kuwa Marais wa Tz
Vipi maembe pamoja na kuhudumu kwake wizara hiyo naye kawa Rais???Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.