Umemsahau Hayati MembeMkapa na Kikwete wote walikuwa Mawaziri wa Mambo ya Nje na wakaja kuwa Marais wa Tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsahau Hayati MembeMkapa na Kikwete wote walikuwa Mawaziri wa Mambo ya Nje na wakaja kuwa Marais wa Tz
Mwambie mkuu🤣🤣🤣Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Chawa a.k.a upinde kaziniJanuary ndio Rais ajaye jamaa ni mtulivu sana, kuwa mpole.
Hili nalo ni nenoHata hayati Membe alipewa Wizara hiyo, kama Mungu hajakuandikia huwezi kuwa.
Amesha muita ndani akamfinya jamani eeee hamkusikiaRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Kwelii kabisaAfrica upatikanaji wa viongozi usimshirikishe MUNGU tafadhali..
Halafu kuna ile Tshs 78 Bill kila mwaka ya software fekiRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Mkuu kumbe upo?yaani umejifcha nyumbani kwako na Tecno unapost unasema tulikuonya rais wewe na nani labda na familia yako urais ni taasisi siyo mtu mmoja.
Kama yupo humu abishe... namuuliza sasakwa ushahidi upi?,hebu weka ushahidi wa uovu wa january hapa
Wasome marais wako wote historia zao kisha utapata mwenyewe majawabu ni nani na naniNani aliyewahi kupewa hiyo wizara na akafanikiwa kuwa rais?
Acha kuropoka na kuomba mabaya basi!... hujui kama unazua taharuki nchini wewe?!Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.
Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.
Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.
Tanzania njema yaja!
Huyo January aliingia MKATABA wa mabilioni kukodisha software toka kwa wahindi akishirikiana na huyo fisadi mwenzie aliyemtoa DSTV na kumleta TANESCO! Mafuta yanapanda bei kwasababu ya January kutaka hongo anapotoa vibari vya kuagiza mafuta kwa wafanya biashara!! Ushahidi gani unautaka zaidi ya malalamiko ya wafanyabiashara ya mafuta!kwa ushahidi upi?,hebu weka ushahidi wa uovu wa january hapa
Umerogwakwa ushahidi upi?,hebu weka ushahidi wa uovu wa january hapa
Watatu Mkuu,Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
siku hizi kila mtu kila kikundi kila Taasisi ni Msemaji wa WatanzaniaMakamba watu hawamtaki hata kidogo
Sikio la dawa halisikii nini vile?😆Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Wewe kila mwenye mafanikio unaona hana akiliHata huko ataharibu tu, hamna kitu kichwani.
Na anawaza uraisRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Tatizo la kukaririUngejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.