Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Amesha muita ndani akamfinya jamani eeee hamkusikia
 
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Halafu kuna ile Tshs 78 Bill kila mwaka ya software feki
 
January makamba na Nape mosses Nnauye ni mawaziri mizigo hawafai hata kidogo[emoji24][emoji24]
 
kwa ushahidi upi?,hebu weka ushahidi wa uovu wa january hapa
Kama yupo humu abishe... namuuliza sasa

"Wewe january hukukopa NSSF bilioni moja na ukatokomea mitini, ukitafutwa unaleta ubabe na unajifanya uko busy?! 😳😡🤬"

Aje ajibu hapa... ana madudu tele huyo mtoto
 
Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.

Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.

Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.

Tanzania njema yaja!
Acha kuropoka na kuomba mabaya basi!... hujui kama unazua taharuki nchini wewe?!

Hiyo mipango ya kupindua nchi wewe ndo unaifanya au unashiriki kuifanya?!

Kutokuwa na maelewano kati ya mkuu wa kaya na mzee majaliwa ni nani amekwambia?!

CHUNGA KAULI HIZO...
 
kwa ushahidi upi?,hebu weka ushahidi wa uovu wa january hapa
Huyo January aliingia MKATABA wa mabilioni kukodisha software toka kwa wahindi akishirikiana na huyo fisadi mwenzie aliyemtoa DSTV na kumleta TANESCO! Mafuta yanapanda bei kwasababu ya January kutaka hongo anapotoa vibari vya kuagiza mafuta kwa wafanya biashara!! Ushahidi gani unautaka zaidi ya malalamiko ya wafanyabiashara ya mafuta!
 
Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Watatu Mkuu,

Mkapa na Jakaya kama Mawaziri na Mzee Mwinyi kama Balozi
Mkapa ndio Kiboko yao, Kasomea masuala ya Kimataifa Colombia University, kawa Balozi Nigeria na akaja kuwa Waziri kamili wa mambo ya Nje
 
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Sikio la dawa halisikii nini vile?😆
 
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Na anawaza urais
 
Back
Top Bottom