Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukumbuke hii haijawahi tokea 109bLilianza kujiendesha kwa faida tangu 2018 baada ya Magufuli kuzima mitambo ya symbion
Ukumbuke hii haijawahi tokea 109b
Unahitaji msaada kujua Waziri, Mkuu wa idara, Meneja na watendaji wa chini.Yupo hapo kuuza sura au kusimamia?
Aibu naona mimi..Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
January ndio Rais ajaye jamaa ni mtulivu sana, kuwa mpole.Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Hana haja ya kura,Ataiba kama kawaida.Hao diplomasia watamligia kura?
January ndio Rais ajaye jamaa ni mtulivu sana, kuwa mpole.
weka ushaidi hii ni kauli ya kipimbi sanakwa ushahidi upi?,hebu weka ushahidi wa uovu wa january hapa
pimbi ni wewe unayemhukumu mtu bila ushahidiweka ushaidi hii ni kauli ya kipimbi sana
Kuna hela huko? Inampendeza kivipi?Hiyo wizara ya mambo ya nnje ndio inampendezea Makamba January.. kongore kwake
pimbi ni wewe unayemhukumu mtu bila ushahidi