Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Mwambieni mama yenu kwamba sasa hivi mita za umeme unalipa, afu haifungwi kwako bila dili - ukiuliza unaambiwa mita bado hazijaja - ukitoa 150,000 wanakufungia siku hiyo hiyo... TZ mambo ni bambarare mno..

Hongera Janu, piga kazi.
 
Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.

Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.

Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.

Tanzania njema yaja!
Jitahidi kufanya utafiti, idara ya usalama wa taifa haina uhusiano wowote na wizara ya ulinzi kabla ya mabadiliko ya sheria ya mwesi wa 6 mwaka huu wizara ya nchi ofisi ya rais menejiment ya utumishi wa umma na utawala bora ndiyo iliyokuwa inasimamia idara ya usalama wa taifa kwa mabadiliko ya sasa usalama wa taifa Ipo kwa rais moja kwa moja wala sio wizara ya ulinzi.
 
Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.

Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.

Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.

Tanzania njema yaja!
Acha ndoto za mchana. Hii tunu iitwayo amani hapa Tanzania hakuna ngedere wa kuthubutu kuivuruga.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
We unaona huyo Makamba ndio failure kumbe kuanzia juu huku ndio failure imeanzia?

Ukiunganisha na upuuzi aliofanya mtangulizi wake October 28 mwaka 2020 amemuachia kundi kubwa la wajinga kuwahi kutokea.

Kwenye hili CCM sijui mtajitoa vipi uhusika wenu na matokeo ya nchi ilipofika.
 
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Legecy ya dikteta jjiwe ipo wapi
 
Mwambieni mama yenu kwamba sasa hivi mita za umeme unalipa, afu haifungwi kwako bila dili - ukiuliza unaambiwa mita bado hazijaja - ukitoa 150,000 wanakufungia siku hiyo hiyo... TZ mambo ni bambarare mno..

Hongera Janu, piga kazi.
Sasa hapo January kuchukua pesa?????
Yaani waziri na wafunga mita wapi na wapi???
Kuna mhandisi wa mkoa na timu yake wafate.
 
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Kumbuka msajili wa hazina sasa amesema ni moja ya shirika linaloendeshwa kwa faida kwa sasa na linachangia hisa serikalini
 
Back
Top Bottom