MLIMAWANYOKA
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 631
- 2,247
hiyo Avatar mkuu..Wenda byabato nae Kuja kuwa waziri mkuu chini ya makamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo Avatar mkuu..Wenda byabato nae Kuja kuwa waziri mkuu chini ya makamba
Hela iko Tamisemi, Nishati na MaliasiliKwenye diplomasia pia kuna mpunga tena hazina hata kelele.
Unamaanisha wa4 waliosalia hawakutokea wizara ya mambo ya nje!?Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Punguza kukariri jombaa! Hiyo siyo kanuni useme isipotumika hatutapata rais.Mkapa na Kikwete wote walikuwa Mawaziri wa Mambo ya Nje na wakaja kuwa Marais wa Tz
Mwambieni mama yenu kwamba sasa hivi mita za umeme unalipa, afu haifungwi kwako bila dili - ukiuliza unaambiwa mita bado hazijaja - ukitoa 150,000 wanakufungia siku hiyo hiyo... TZ mambo ni bambarare mno..Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Jitahidi kufanya utafiti, idara ya usalama wa taifa haina uhusiano wowote na wizara ya ulinzi kabla ya mabadiliko ya sheria ya mwesi wa 6 mwaka huu wizara ya nchi ofisi ya rais menejiment ya utumishi wa umma na utawala bora ndiyo iliyokuwa inasimamia idara ya usalama wa taifa kwa mabadiliko ya sasa usalama wa taifa Ipo kwa rais moja kwa moja wala sio wizara ya ulinzi.Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.
Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.
Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.
Tanzania njema yaja!
Acha ndoto za mchana. Hii tunu iitwayo amani hapa Tanzania hakuna ngedere wa kuthubutu kuivuruga.Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.
Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.
Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.
Tanzania njema yaja!
Zawadi kubwaHalafu funny enough kazawadiwa Uwaziri wa Mambo ya Nje!Hivi huyu mama anatutaka nini jamani?
AaraWewe humtaki. Hujui anachofanya wizarani. Sio kila jambo ni waziri tu...
Jipe moyoAcha ndoto za mchana. Hii tunu iitwayo amani hapa Tanzania hakuna ngedere wa kuthubutu kuivuruga.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Huyu Sukusuku Etwege hajielewi badoKiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Legecy ya dikteta jjiwe ipo wapiRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Hama nchi'Msoga' wanamkuza ili aje awe mgombea 2030!
Hivi kwa akili gani alizo nazo hadi aongoze Taifa?
Kwanini tunafanya majaribio ya watu ambao akili ni finyu na ndogo?
Kwanza kwenye maadili sio mzuri kabisa!
'Msoga' umetukosea sana Tz tunaomba sasa achana na haya mambo!
Sasa hapo January kuchukua pesa?????Mwambieni mama yenu kwamba sasa hivi mita za umeme unalipa, afu haifungwi kwako bila dili - ukiuliza unaambiwa mita bado hazijaja - ukitoa 150,000 wanakufungia siku hiyo hiyo... TZ mambo ni bambarare mno..
Hongera Janu, piga kazi.
Wewe mkakatae, lakini sio kumsingizia...Hata mm simtaki
Aara
Kumbuka msajili wa hazina sasa amesema ni moja ya shirika linaloendeshwa kwa faida kwa sasa na linachangia hisa serikaliniRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Vita bado sanaKiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Legacy ya nini mtu anaendelea kuulaTuonyeshe legacy yake aliyoacha Tanesco