dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Wenda byabato nae Kuja kuwa waziri mkuu chini ya makambaKiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenda byabato nae Kuja kuwa waziri mkuu chini ya makambaKiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Vigezo vizingatiwe. TISS kazi yake ni ipi hasa?Africa upatikanaji wa viongozi usimshirikishe MUNGU tafadhali..
Labda rais wa mateja...Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...na jina lake la bandiayaani umejifcha nyumbani kwako na Tecno unapost unasema tulikuonya rais wewe na nani labda na familia yako urais ni taasisi siyo mtu mmoja.
Of course anaandaliwa yeye Makamba, Kikwete Jr, Nape.Labda rais wa mateja...
Mungu ni wao tu....sijui wengine wamejiumba[emoji1787]Kama mnajua Mungu ndio hupanga basi mjue pia kwamba Samia ni Mpango wa Mungu,Kwa hiyo makelele ya chuki zenu hayawezi wasaidia maana atakuwa akilala Mungu anamuonesha wa kuchomoa [emoji23][emoji23]
70 Billion kukodisha software India kwa ajili ya management ya nishati ya umeme.kwa ushahidi upi?,hebu weka ushahidi wa uovu wa january hapa
Hata wengine wanao ila mda wao Bado hata ulazimishe haitakuwa.Mungu ni wao tu....sijui wengine wamejiumba[emoji1787]
GANG ni moja tu nayo inaitwa SUKUMA GANG [emoji1787]....wa Msoga ni wenye chama!Taasisi ya mafisi-emu!
Wezi kutoka Msoga GANG!
Kwa sasa msoga Gang ndio wenye chama, nchi, majeshi yote, Mahakama, Tume ya uchaguzi.GANG ni moja tu nayo inaitwa SUKUMA GANG [emoji1787]....wa Msoga ni wenye chama!
Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa.Nani aliyewahi kupewa hiyo wizara na akafanikiwa kuwa rais?
Naona kama unaota mchana mkuu Sexless.Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.
Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.
Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.
Tanzania njema yaja!
Mlimuonya nini sasa ? Huoni kama kwa sasa kaenda kuandaliwa kuwa Rais wa 2030? Mambo ya ndani, nishati na tamisemi ni balaa. Ukienda lazima uchafuke.Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Halafu funny enough kazawadiwa Uwaziri wa Mambo ya Nje!Hivi huyu mama anatutaka nini jamani?Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Kwa hiyo mnashindania ulaji ?Mambo ya Outside ndio kuna ulaji mzuri zaidi kuliko kuuza Majenereta
Tena ndio alikaa mda mrefu kuliko wote.Hata hayati Membe alipewa Wizara hiyo, kama Mungu hajakuandikia huwezi kuwa.