Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?

Kwa Tanzania anaweza kupewa Urais.

Jiulize hivi ndani ya miaka miwili na nusu JPM alikamilisha vipi?vingapi? Compare and contrast.
 
yaani umejifcha nyumbani kwako na Tecno unapost unasema tulikuonya rais wewe na nani labda na familia yako urais ni taasisi siyo mtu mmoja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...na jina lake la bandia
 
GANG ni moja tu nayo inaitwa SUKUMA GANG [emoji1787]....wa Msoga ni wenye chama!
Kwa sasa msoga Gang ndio wenye chama, nchi, majeshi yote, Mahakama, Tume ya uchaguzi.

Hitler, Ali Bongo in Gabon yupo kizuizini yeye na familia yake na madaktari wake, Nchi imefungwa huwezi kukimbia majeshi yote yanalinda mipaka.

Burkina faso Mali, Niger, Sudan, CAR, Libya walikuwa navyo hivyo hivyo kama Tanzania.
 
Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.

Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.

Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.

Tanzania njema yaja!
Naona kama unaota mchana mkuu Sexless.
 
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Mlimuonya nini sasa ? Huoni kama kwa sasa kaenda kuandaliwa kuwa Rais wa 2030? Mambo ya ndani, nishati na tamisemi ni balaa. Ukienda lazima uchafuke.
 
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Halafu funny enough kazawadiwa Uwaziri wa Mambo ya Nje!Hivi huyu mama anatutaka nini jamani?
 
Back
Top Bottom