1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata hayati Membe alipewa Wizara hiyo, kama Mungu hajakuandikia huwezi kuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata hayati Membe alipewa Wizara hiyo, kama Mungu hajakuandikia huwezi kuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanakariri stories za vijiweni.Nani aliyewahi kupewa hiyo wizara na akafanikiwa kuwa rais?
Kazi nzuri ya kutuambia bwawa la Nyerere likikamilika ujenzi bei haitashuka?Haya Sasa ni majungu na wivu,Makamba amefanya kazi nzuri pale Nishati
Kwani bei inashishwa Kwa hisani au Kwa mujibu wa Mpango biashara? Subiria likamilike Niko paleeKazi nzuri ya kutuambia bwawa la Nyerere likikamilika ujenzi bei haitashuka?
Magufuli na roho Mbaya yake yote lakini alituahidi angeshusha bei ya umeme na ndiye aliyetufutia service charge ya kila mwezi.
Huyo hata angemfanya makamu wa 1 wa Rais hauziki. Ilikuwa zamani na si zama hiziUngejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Nakunukuu[emoji116]Tumekuwa na Marais 6 hadi sasa
Nyerere- Mbunge, Waziri Mkuu then Rais
Mwinyi- Balozi, Waziri Ndani, Rais Zanzibar then Rais Tz
Mkapa- Balozi, Waziri Habari, Waziri Nje then Rais
Kikwete- Naibu Nishati, Naibu Fedha, Waziri Nje then Rais
Magufuli- Naibu Ujenzi, Waziri Ardhi, Mifugo, Waziri Ujenzi then Rais
Samia- Naibu Waziri, Waziri Makamu wa Rais then Makamu wa Rais then Rais
Sasa ona Makamba[emoji116]
Makamba- Waziri Makamu wa Rais, Waziri Ujenzi now Waziri Nje
Ukiangalia vizuri Makamba amekaa Wizara zote walizokaa Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Samia
If you know what I mean[emoji1787]
Wameshasema bei haishuki, huwa inakera kufanya mjadala na kula kulala wasiojuwa hata bei ya unit ndio maana mnashindwa kujuwa kwa nini wapuuzi kama Makamba hatuwataki kabisa.Kwani bei inashishwa Kwa hisani au Kwa mujibu wa Mpango biashara? Subiria likamilike Niko palee
Umeandika ujinga.Kinachopanga bei ni Haki halisi ya soko au Makamba?Wameshasema bei haishuki, huwa inakera kufanya mjadala na kula kulala wasiojuwa hata bei ya unit ndio maana mnashindwa kujuwa kwa nini wapuuzi kama Makamba hatuwataki kabisa.
Wakati Magufuli anaahidi bwawa likikamilika atashusha bei alikuwa chizi?Umeandika ujinga.Kinachopanga bei ni Haki halisi ya soko au Makamba?
Ahadi za Kisiasa sio sawa na Haki halisi, Magufuli anajua biashara ipi?Wakati Magufuli anaahidi bwawa likikamilika atashusha bei alikuwa chizi?
Magufuli alichokuwa anaahidi alikuwa anatekeleza, hebu tuondolee porojo zako hapa.Ahadi za Kisiasa sio sawa na Haki halisi, Magufuli anajua biashara ipi?
Nyerere, Mwinyi, Magufuli na Samia walikuwa mawaziri wa mambo ya nje lini?Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Kwenye diplomasia pia kuna mpunga tena hazina hata kelele.Ufahamu lolote, pesa zipo ujenzi, Nishati na maliasili.
Acha mambo yako bwana mdogoNi wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.
Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.
Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.
Tanzania njema yaja!
Muulize Membe. Hii wizara si njia ya kukupeleka ikulu.Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Endeleeni tu kusubiriWatanzania wanasubiri kwa hamu sana hiyo siku ya wajeda kufanya yao. Tuzidishe Maombi.