Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Tumekuwa na Marais 6 hadi sasa

Nyerere- Mbunge, Waziri Mkuu then Rais

Mwinyi- Balozi, Waziri Ndani, Rais Zanzibar then Rais Tz

Mkapa- Balozi, Waziri Habari, Waziri Nje then Rais

Kikwete- Naibu Nishati, Naibu Fedha, Waziri Nje then Rais

Magufuli- Naibu Ujenzi, Waziri Ardhi, Mifugo, Waziri Ujenzi then Rais

Samia- Naibu Waziri, Waziri Makamu wa Rais then Makamu wa Rais then Rais

Sasa ona Makamba[emoji116]

Makamba- Waziri Makamu wa Rais, Waziri Ujenzi now Waziri Nje


Ukiangalia vizuri Makamba amekaa Wizara zote walizokaa Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Samia


If you know what I mean[emoji1787]
Makamba amefeli Nishati ameenda kufichwa huko nje, wacha kujitekenya na kucheka mwenyewe kama mtoto.
 
Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.

Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.

Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.

Tanzania njema yaja!

Amina
 
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima,January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo Tanesco?
Mpumbavu wewe.
 
Back
Top Bottom