Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Nipo nae hapa tunavuta cigarettes
 
Labda LAISI
Huu urais wa kuandaliwa na mwanaidi tuone kama ataupata. Mwenyewe mpigaji ameshajulikana sasa anamuandaa mpigaji? Mbona tayari watu wanamsubiri na mawe mkononi🤣🤣😂
 
Mbona anasubiriwa na mawe akigombea🤣😂🤣
 
[emoji101]
 
Nipo nae hapa tunavuta cigarettes
Sigara kuvuta public na mjini ipigwe marufuku.
Watafute sehemu maalum tuokoe maisha wa wazee vijana na wagonjwa wanayaasirika na moshi ya sigara
 
Paul Makonda ndani ya nyumba
 
Haya sasa Doto Biteko ameanza kugundua mauozo kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…