Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Wewe umuonye Rais.......!!!!!!
Mbona ana washauri wengi tu wenye kujua mengi...
 
Samia na Makamba wote wamekuwa viongozi kwa ajali tu.

Hakuna nchi yenye watu wenye akili wangeshika nafasi kama walizoshika Tanzania .
 
Wewe umuonye Rais.......!!!!!!
Mbona ana washauri wengi tu wenye kujua mengi...
Ndo mnapofeli wenye akili nyingi kweli hawawezi kubali kuajiriwa na serikali ndo maana ukipata hela hupeleli kayumba watotot.hujajua lwa nini serikali inashindwa kesi nyingi.sababu lawyer mzuri hawezi kubali kulipwa chini ya mil 5
 
Matapeli yasiyo na maono yoyote yaliyojificha kwenye koti la uongozi yameumbuliwa mchana kweupe na Hayati Magufuli akiwa kaburini

Kila Kona ya nchi Sasa ni mtetemo na mtikisiko ikienda sambamba na tabasamu la kumalizika Kwa miradi iliyoanzishwa wakati wa utawala wa Hayati Magufuli. Ni juzi tumeambiwa mtambo namba 8 wa kuzalisha umeme katika bwawa la JNHPP umewashwa na kuwashwa huko tatizo la umeme litapungua Kwa 85% ,hii ni habari njema na ya matumaini makubwa. Hamu inaendelea kuwa kubwa endapo mitambo yote 9 ikiwashwa na kuanza kuzalisha umeme ,Je matokeo yake yatakuwaje?

Hilo likiwa halijakauka ,habari njema zaidi ni kuanza Kwa majaribio ya SGR kutoka Dar mpaka Moro, majaribio ambayo yamefanyika Kwa mafanikio. Kuanza kufanya kazi Kwa SGR uchumi wa Tanzania utafunguka Kwa kiwango kikubwa.

Miradi hii ,wa kufua umeme na SGR ni pigo litakaloikumba upinzani na Kwa sababu hawaoni wataendelea kuona watanzania wanataka maandamano. Watanzania wanataka maendeleo na maendeleo yanayoletwa na Serikali ya CCM ni ya vizazi Kwa vizazi.

Miradi mikubwa yote ambayo hapo kabla ili " white elephant projects" na wapinzani Sasa imekuwa miradi yenye matokeo mazuri kwenye uchumi. Miradi hiyo itautesa upinzani Kwa miaka mingi sana na kama upinzani wataendelea kuzurura bila ajenda ,sioni mwisho kwao.

Mwenyezi Mungu mpe pumziko jema mja wako , matokeo ya kazi ngumu Kwa nchi hii tumeanza kuyaona Sasa.
 
Ndo mnapofeli wenye akili nyingi kweli hawawezi kubali kuajiriwa na serikali ndo maana ukipata hela hupeleli kayumba watotot.hujajua lwa nini serikali inashindwa kesi nyingi.sababu lawyer mzuri hawezi kubali kulipwa chini ya mil 5

Umenena kweli
 
Wapinzani ndio wanaoleta migao uchwara ya umeme ili watupige pesa au sio? Sio Bure wewe unagongeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…