Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
Changamoto nyakati za KIANGAZI ... nyani wanacheka haswaa!
Ugimbi ulochacha hata ukitiwa kwenye kibuyu kipya hamna kitu hapo.
Changamoto ya UENDESHAJI wa taasisi zetu nyingi ni pamoja na MAPUNGUFU YASIOTIBIKA KWENYE RASILIMALI watu ... hakuna seriousness ya kibiashara ya kusimika COMPETENCE kwenye uongozi na badala yake wenye mamlaka wanazingatia undugu, siasa na kuendeleza RUSHWA. NAFASI hizo zishindanishwe KIMATAIFA. Kwani shida nini ikiwa miradi mingi mikubwa inafanyika na wakandarasi wa nje? Biashara na makandokando ya siasa chafu itapekekea kufunguka zaidi kwa milango ya kutumbukia shimoni. Tumbonomics shiida sana.
 
Lini alikua mkweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo anachoweza ni mipashooo na kusutana.
😁😁😁 kama jana alivyokuja kutupasha akaona awaite na wakurugenzi ikulu wakati hawaapishi😁😁😁ili kuja kujitetea na panga pangua zake zisizoeleweka

Tutajuta kuongozwa na mzanzibar wa kizimkazi
 
Maharage kabla ya kuenguliwa angeshurutishwa yeye na ukoo wake wakojolee mabwawa ya uzalishaji umeme mpaka yajae ,yakishajaa ndio aenguliwe
 
Hii story ni ya kutunga. Kwa sababu bwawa la mtera linazalisha 80 MW at maximum capacity. Ni kiasi kidogo sana katika gagrade yenye kubeba 1500+ MW. Bila bwawa la Mtera still kama vyanzo vingine viko vizuri hakuna mgao wa umeme.
Kuna tatizo sehemu lakini siyo kwa issue ndogo ya bwawa la mtera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…