Rais Samia: Tunaandaa mradi wa kuomba hela za kujenga stendi. Hayati Magufuli asingethubutu kusema kitu cha kujitweza utu wetu namna hiyo... never!

Rais Samia: Tunaandaa mradi wa kuomba hela za kujenga stendi. Hayati Magufuli asingethubutu kusema kitu cha kujitweza utu wetu namna hiyo... never!

Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"

_______________________________________________

Magufuli anabiringika kaburini...

Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...

Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...

Mpaka stendi tunaomba hela?

Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?

Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...




Miaka 60 baada ya uhuru
 
WanaCCM mmezoea unafiki na mnaona Mtu muwazi anawadhalilisha. Huyo u ayemsifia ndo kaua mashirika ya Umma Kwa mikopo kamdamizi, ndo kapaisha deni la Taifa kimyakimya Hadi nchi inanula madeni. Acheni unafiki.
Ttcl wamefirisika sasahivi
Kipindi kile, TTCL walikuwa wanatoa GAWIO
 
Stendi ( maendeleo ) unataka , tozo unapinga sasa hutaki hata aombe msaada. Tafakari
 
Hivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?

Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.
Angalia mikopo serikali ya Magufuli iliyokopa world Bank.

All News

List of all news about the World Bank’s development work in Tanzania, including press releases, loans and credits, speeches, blog posts, and more.
www.worldbank.org

Standard gauge ela imekopwa Kwa mabeberu Sweden na Norway kupitia standard chartered Bank.
Tanzania signs $1.46 billion loan for standard gauge railway construction

Mpaka mwaka 2020 deni la Taifa lilifika Zaid ya shilling trilioni 70 Sawa na 54% ya uchumi wetu.
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable | The East African

Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.

Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
countryeconomy.com

Tanzania National Debt 2015


countryeconomy.com

Tz ni nchi masikini sana na tupo ndani ya nchi 33 masikini zaidi duniani Kwa kuzingatia GNI per capita, kutembeza bakuli hakuepukiki. Karibu miradi yote ya Magufuli imejengwa Kwa pesa za mkopo.
Very Sad this country
 
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"

_______________________________________________

Magufuli anabiringika kaburini...

Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...

Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...

Mpaka stendi tunaomba hela?

Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?

Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...


Angalia deni kuu la taifa miaka 5 ya Maghufuli limepanda kuliko kipindi kingine chochote mara mbili.

Kwa Maghufuli ndiyo tumekopa kuliko ma Rais wengine
 
Kuna mtu mmoja alisema, Yesu ndio mtu maarufi zaidi kuwahi kutokea kwa mujibu wa taarifa alizonazo. Akasema, kuna wanaomchukia na wanaompenda kwakuwa matendo yake yaliyowafurahisha wengi, wengi walikerwa pia!

Kuhusu kukopa mpaka pesa ya stendi ya mkoa, tusiwe wepesi kuhukumu jamani, wakina mama tunaishi nao kila leo, awe wa nyumbani au mwenye shughuli ya kumuingizia kipato chake, pesa yake, ni yake, wanasema PESA YA KUPEWA NA MWANAUME ni tamu, pengine hii dhana iko kila mahali na kila level.
 
Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.

Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Magu alikuwa mkweli na makwepa kodi mengi yaliminywa yakatoa kodi akaendeleza miradi acha kubwabwaja ujinga.......
Ulishawahi ona Magu kapanda ndege kwenda kuomba pesa kwa mzungu!!???
Ila kwa jitu lenye fikra fupi na jizi huwa yanapenda kumponda Magu....
 
Hivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?

Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.
Angalia mikopo serikali ya Magufuli iliyokopa world Bank.

All News

List of all news about the World Bank’s development work in Tanzania, including press releases, loans and credits, speeches, blog posts, and more.
www.worldbank.org

Standard gauge ela imekopwa Kwa mabeberu Sweden na Norway kupitia standard chartered Bank.
Tanzania signs $1.46 billion loan for standard gauge railway construction

Mpaka mwaka 2020 deni la Taifa lilifika Zaid ya shilling trilioni 70 Sawa na 54% ya uchumi wetu.
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable | The East African

Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.

Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
countryeconomy.com

Tanzania National Debt 2015


countryeconomy.com

Tz ni nchi masikini sana na tupo ndani ya nchi 33 masikini zaidi duniani Kwa kuzingatia GNI per capita, kutembeza bakuli hakuepukiki. Karibu miradi yote ya Magufuli imejengwa Kwa pesa za mkopo.
Miradi si unmeiona ama ww ni kipofu!!?
 
Kuna tetesi kuwa kuna systema JPM (R.I.P) alitengenezewa yakuangalia performance ya ukusanyaji mapato na utekelezaji wa miradi pamoja na transactions zake nchini at any time t.

Sina hakika kama system hiyo ipo active kama tetesi ni za kweli.

Big No
 
Hivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?

Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.
Angalia mikopo serikali ya Magufuli iliyokopa world Bank.

All News

List of all news about the World Bank’s development work in Tanzania, including press releases, loans and credits, speeches, blog posts, and more.
www.worldbank.org

Standard gauge ela imekopwa Kwa mabeberu Sweden na Norway kupitia standard chartered Bank.
Tanzania signs $1.46 billion loan for standard gauge railway construction

Mpaka mwaka 2020 deni la Taifa lilifika Zaid ya shilling trilioni 70 Sawa na 54% ya uchumi wetu.
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable | The East African

Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.

Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
countryeconomy.com

Tanzania National Debt 2015


countryeconomy.com

Tz ni nchi masikini sana na tupo ndani ya nchi 33 masikini zaidi duniani Kwa kuzingatia GNI per capita, kutembeza bakuli hakuepukiki. Karibu miradi yote ya Magufuli imejengwa Kwa pesa za mkopo.
Fact
 
Achana na habari ya Magufuli, huyu 'Maza Mizinguo' ni mzinguaji kweli kweli!

Sasa anakwenda kuomba hela wapi?

Hata hivi vi-stendi tu navyo mpaka twende kupiga magoti? Miaka sitini baada ya kujitawala wenyewe? Sisi tunaweza kitu gani!
India/Pakistani kwa umri wa miaka chini ya 40, tayari walishakuwa na mabomu ya nuklia, sisi hata mashimo ya vyoo rais anakwenda kuomba hela!

Matokeo ya misimamo ya aina hii utaiona tu muda sio mrefu. Tumekuwa 'cheap' sana.

EeeeenHeeee, nakumbuka ile safari ya New York na jinsi tulivyoshushuliwa na wakubwa wa huko!

Waziri anakwenda kuweka kambi kabisa, lakini wapi, hakuambulia chochote. Sasa wanatutazama tu jinsi tunavyohangaika huku wakitupangia arobaini za kutuweka dole.

Hovyo kabisa!
Na tozo ulipinga,we ni shetani,tozo hutaki na kukopa hutaki
 
Tueleze dola bilioni 11 zilitumikaje na dola bilioni 12 zikitumikaje.

Kumbuka wakati wa bilioni 11 tetesi za akaunti za nje zilizoficha fedha za mangumashi zilikuwa nyingi, lakini wakati wa bilioni 12 hizi tetesi mbona hatuzisikii?
====
Acheni kufukua makabuli.
Tr1.5 hazikujulikana zilipo
 
Back
Top Bottom