Mimi nimeahirisha Ibada ya Hija kutokana na ulazima wa chanjo
nafsi yangu imekataa mara zote tena kwa ushindi wa kishindo wazo lolote la kuchanja
nafanya mazoezi,naimarisha usafi wa mwili ikiwemo mikono, kujichanganya najichanganya sana na pia naimarisha misosi yenye lishe bora2
chanjo kwa kuwa si lazima basi hata familia yangu nimeishauri isichanje
nafsi yangu imekataa mara zote tena kwa ushindi wa kishindo wazo lolote la kuchanja
nafanya mazoezi,naimarisha usafi wa mwili ikiwemo mikono, kujichanganya najichanganya sana na pia naimarisha misosi yenye lishe bora2
chanjo kwa kuwa si lazima basi hata familia yangu nimeishauri isichanje