Rais Samia tuongoze mpaka mwaka 2045 Mimi kama msemaji wa wananchi nakuomba

Rais Samia tuongoze mpaka mwaka 2045 Mimi kama msemaji wa wananchi nakuomba

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Rais huyu mpendwa ameshushwa na Mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari Samia Suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045

Mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
 
Rais huyu mpendwa amaeshushwa na mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari samia suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045 mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
Dharau hizi
 
Rais huyu mpendwa amaeshushwa na mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari samia suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045 mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
umri utakuwa umeenda sana atachoka kwa majukumu
 
Rais huyu mpendwa amaeshushwa na mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari samia suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045 mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
Mimi napendekeza hadi 2060.
 
Akikubali kutuletea katiba mpya....
Tume huru ya uchaguzi...
Kuiacha miimili (state organs) ifanye kazi kwa uhuru wake bila interference..

Atutawale mpaka afe...

Kinyume na hapo October KIZIMKAXIII...🗣️🗣️
 
Hapa unachokitafuta ni likes na coment tuu za wanasiasa wa JF😂😂
 
Rais huyu mpendwa amaeshushwa na mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari samia suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045 mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
🌈
 
Back
Top Bottom