Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Maumivu yakizidi kamuone daktari.Rais huyu mpendwa amaeshushwa na mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari samia suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045 mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki