Rais Samia tuongoze mpaka mwaka 2045 Mimi kama msemaji wa wananchi nakuomba

Rais Samia tuongoze mpaka mwaka 2045 Mimi kama msemaji wa wananchi nakuomba

Rais huyu mpendwa ameshushwa na Mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari Samia Suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045

Mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
Hauko sawa kichwani. Huwezi kutamka hili liongoze hata wiki moja kama wewe si jinga au tapeli. Huenda wewe ni jinga au tapeli ni Bora mungu akuchukue majinga yapungue nchini. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Rais huyu mpendwa ameshushwa na Mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari Samia Suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045

Mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
Wewe ni msemaji wa wananchi!

Watu mnaoheshimika saazingine hujifyetua akili makusudi na kutaka mtukanwe live.

Ujengaji wa hoja ama utetezi kwa kiongozi unayempenda haukatazwi.

Lakini kuleta hoja kwa kebehi, watu watakuona kiazi na utatukanwa sana kwa mada hii.

Watu wana stress zao za kila aina zilizoletwa na utawala huu halafu unawajoki eti wewe ni msemaji wao, subiri kuoga matusi.
 
Rais huyu mpendwa ameshushwa na Mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari Samia Suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045

Mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
Akuongoze wewe na famili yako. Sisi tunategemea tupate kiongozi aina ya Jpm kuongoza taifa letu.
 
Rais huyu mpendwa ameshushwa na Mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari Samia Suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045

Mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
Nimecheka kijinga sana, Mungu mwema sana
 
Hauko sawa kichwani. Huwezi kutamka hili liongoze hata wiki moja kama wewe si jinga au tapeli. Huenda wewe ni jinga au tapeli ni Bora mungu akuchukue majinga yapungue nchini. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Njaa inakusumbua
 
Ma
Rais huyu mpendwa ameshushwa na Mungu tunafurahi uwajibikaji wake Mimi kama msemaji wa wananchi tunaomba tena Kwa kukupigia magoti daktari Samia Suluhu Hassan utuongoze mpaka mwaka 2045

Mama unaupiga mwingi wananchi wanafurahia sana kwakua wanaishi maisha Bora sana mtaani na wamegundua wapinzani ni matapeli ndio maana wanakukubali rais wetu mpendwa mtenda haki
Mambo yako yatakuwa yamekunyookea kweri kweri !!
Daaah ! Natamani na mimi ningepata wa kuniintrodyuzi huko juu 😳🙏🙏 !
Nami natamani kula Bata kweri kweri !!
 
Back
Top Bottom