Rais Samia tuongoze mpaka mwaka 2045 Mimi kama msemaji wa wananchi nakuomba

Hauko sawa kichwani. Huwezi kutamka hili liongoze hata wiki moja kama wewe si jinga au tapeli. Huenda wewe ni jinga au tapeli ni Bora mungu akuchukue majinga yapungue nchini. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Wewe ni msemaji wa wananchi!

Watu mnaoheshimika saazingine hujifyetua akili makusudi na kutaka mtukanwe live.

Ujengaji wa hoja ama utetezi kwa kiongozi unayempenda haukatazwi.

Lakini kuleta hoja kwa kebehi, watu watakuona kiazi na utatukanwa sana kwa mada hii.

Watu wana stress zao za kila aina zilizoletwa na utawala huu halafu unawajoki eti wewe ni msemaji wao, subiri kuoga matusi.
 
Akuongoze wewe na famili yako. Sisi tunategemea tupate kiongozi aina ya Jpm kuongoza taifa letu.
 
Nimecheka kijinga sana, Mungu mwema sana
 
Hauko sawa kichwani. Huwezi kutamka hili liongoze hata wiki moja kama wewe si jinga au tapeli. Huenda wewe ni jinga au tapeli ni Bora mungu akuchukue majinga yapungue nchini. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
Njaa inakusumbua
 
Ma
Mambo yako yatakuwa yamekunyookea kweri kweri !!
Daaah ! Natamani na mimi ningepata wa kuniintrodyuzi huko juu πŸ˜³πŸ™πŸ™ !
Nami natamani kula Bata kweri kweri !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…