#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

Hata ingekuwa lazima bado ukitumia utaonekana mwendawazimu tu. Kuna mambo mengine common sense tu inakuambia huu ni ujinga. Mwendazake alikuwa amegeuza nchi ikawa kama ya mataahira watu wanakimbizana na malimao na tangawizi!
Uzuri ni kwamba hakulazimishwa ni sawa chanjo ambazo halazimishwi mtu, wapo ambao walitumia hayo malimao na wana ushuhuda wao na sie wengine hatukuangaika na malimao na wala hatuna mpango wa kuangaika na chanjo.
 
kwanza jiulize tu mfano mdogo hapo uganda au nchi nyingine jirani ambayo wamechanjwa kwanini maambukizi yapo palepale na haohao waliochanjwa ndiyo wanauguwa? mtangulizeni mungu mbele
 
Kwa hiyo huyo beberu ameshindwa kabisa kupiga fedha zetu kwa njia nyingine kabisa akaona afanye mahoka ya corona ili apige fedha? Alishindwa nini kutupiga kwenye bidhaa nyingine anazotuuzia? Ukumbuke huyo huyo beberu anatupa msaada mkubwa kila mwaka! Pia mazo yetu ananunua mengi tu.
 
Ndo hivyo mzee, tulishajiweka kwenye kivuli cha beberu toka kitambo tutulie tu tuendelee kunyolewa..
 
Du umekuwa mkali kama pilipili. Hakika wewe unaweza kuwa Gwajima tapeli the porn star! Yule aliyecheza clip ya ngono na yule mwanamke halafu akasingizia ni mkono wa baunsa! Salute 😝 kwa Gwajima the asherati! Mzee clip nyingine utatoa tena lini? Shetani hajambo?
 
Wasiochanjwa ndio wanaoongoza kueneza UVIKO-19 hivi sasa. Wengine wanaeneza ugonjwa bila hata ya wao kuonesha dalili za ugonjwa.

Kwa mujibu wa utafiti ni kuwa, watu wengi wana UVIKO-19 lakini hawahisi dalili zozote zile za ugonjwa. Wanabaki kuwa 'variant factories' kwa ajili ya kueneza mawimbi ya UVIKO-19 duniani.
 
Akili zako ndoogo sana! hiyo uliyoandika inakusaidia chochote?
 
Watuletee tu maana ni kawaida kutufanya panya wa maabara, leteni COVAX tuchome nyie mmeishachoma Pfizer!, kama ARV tunazotumia sisi ni Made in India na Pakistan wakati wenyewe wanameza Made in Italy na UK alafu wanatwambia zote ni Sawa tu!

Za italy na Uk zipo zinauzwa chief unanunua tu.
Hata Pfizer ipo bosi ukienda huko ughaibuni zipo unadunga tu....Umasikini ndio mchawi hapa.
 
Lazima makuwadi wa chanjo za mabeberu mweneze propaganda kichaa kama hizi...
 

Kwa hiyo mkuu unaona ni bora wote wachanje? Hapana nakupinga kwa hilo..
Tuheshimu maamuzi ya kila Mtu asee.
N.b mbeleni chanjo itakua moja na kila Mtu itamlazimu achanje kwa lazima. Sio leo wala kesho.. but mbeleni
 

Nchi gani hizo mkuu? Umeshafika kweli hata tu south? Acha propaganda
 
Shetani ameeamkaje? Hajambo?
Nimejiridhisha kabisa kwamba, siwezi kukuulaumu tena, kwani sio wewe, nitamlaani huyo mdudu anayejulikana kwa jina la mjinga anayekula ubongo wako!
Huyo kakukalia vibaya sana, amekufanya usijitambue, amekufanya kuwa mbea na mtu usiyechambua ni kitu gani unaweza okota hapa ili kikusaidie

Amekufanya uone Jambo la kawaida kupoteza mb zako kuongelea ujinga kwa sababu ya mdudu anayekaa kichwani kwako (mjinga) nitamlaumu yeye na siyo wewe

Umekosa faida kwa sababu ya mdudu huyu (mjinga) eeh!! haikubaliki, kwani unaweza kuepukana naye tena na ukawa kijana safi mwenye akili zako

Cha kukushauri, acha umbeya na udaku, fuatilia yale yanayokufaa, yenye kuondoa huyo mdudu wako, kijinga tupa kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…