Gerad2008
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 583
- 287
Hii issue ilikuwepo yeye akiwa DC na hakuitolea ufumbuzi may be katika mazingira haya inaonekana ameshirikiKwamba kimanta naye mpigaji? Duh,kweli dunia hadaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii issue ilikuwepo yeye akiwa DC na hakuitolea ufumbuzi may be katika mazingira haya inaonekana ameshirikiKwamba kimanta naye mpigaji? Duh,kweli dunia hadaa
Mkuu hakuna asichokijua Idd kimanta kuhusu hili jambo na watu wamekwenda ofisini kwake mara nyingi kulalamika akiwa DC hapa Monduli lakini inasemekana wakishaongea na DED anawapotezea na huoni chochote kikiendelea.Kwamba kimanta naye mpigaji? Duh,kweli dunia hadaa
Kuna za chini chini kuwa hata waliposhindwa mahakama kuu Idd Kimanta aliongea na DED ili kupindisha maamuzi ya mahakama kwa manufaa yao eti kwa kigezo JPM akisikia Halmashauri imeshindwa kesi watawajibishwa. Lakini Idd Kimanta inasemekana yeye na DED Monduli bila kuwa na sababu za msingi wanaishawishi TANESCO isiwalipe hao wananchi fidiaKwamba kimanta naye mpigaji? Duh,kweli dunia hadaa
Mama anatakiwa aanze upya kwani wengi wa ma DED, DC na ma RC ni wachumia tumbo na wamechangia pakubwa kuwadhulumu wananchi wanaowaongoza na kufifisha imani ya wananchi kwa serikali yao.Tanzania hakuna viongozi kuna wachumia tumbo
Naomba ieleweke kinachoongelewa hapa siyo POROJO ni FACT hivyo wenye mamlaka za uteuzi mjue mnazo changamoto za ku address wakati mnapofikiria watu wa kuwapa dhamana ya uongozi wa wananchi. Je watawasaidia wananchi ku fight poverty au wata fight their own greedy poverty?Tanzania hakuna viongozi kuna wachumia tumbo
Kama hiyo dhuluma imetendeka kwa nini isitafutwe hukumu hiyo ikawekwwa hadharrani ili wahusika nao wajue ukweli unajulikana. Hukumu zote huwa ni public maana mahakama hazina hukumu zozote za confidetial/secret. Mmojawetu aitafute hiyo hukumu na kuiweka wazi.Naomba kama tunayooandika humu ni uongo basi tupate watu waaminifu na wasioegemea upande wowote watakaotumwa(wasitoke mkoani wala wilayani) kuongea na wale wananchi waliodhulumiwa fidia ya ardhi iliyopitiwa na umeme wa KIlovolt 400 eneo la kijiji cha Makuyuni