Rais Samia: Tutaanza kutoa Tsh 10,000/= kwa siku kwenye pesa za kujikimu (Boom) kwa wanachuo

Rais Samia: Tutaanza kutoa Tsh 10,000/= kwa siku kwenye pesa za kujikimu (Boom) kwa wanachuo

Hiyo hela ni ndogo sana!

Hiyo ni sawa na ile aliongeza mshahara kwa sh elfu 20 alafu kupitia mitozo yake na kufungua nchi gharama za maisha zikapanda kwa 200%

Nchi nyingine wanafunzi wa vyuo ndio chachu ya kuleta mabadariko ila haya manafunzi ya kwetu yanadanganywa kwa vitu cheap kama hivyo na kuwaza ngono tu!

Mavi matupu!
Huo Ni mwanzo tu na Wanavyuo wanajuwa kwa usikivu wa Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mama Samia suluhu Hassani ataendelea kuongeza kwa kadri Hali ya uchumi itakavyokuwa inaruhusu
 
Hiyo hela ni ndogo sana!

Hiyo ni sawa na ile aliongeza mshahara kwa sh elfu 20 alafu kupitia mitozo yake na kufungua nchi gharama za maisha zikapanda kwa 200%

Nchi nyingine wanafunzi wa vyuo ndio chachu ya kuleta mabadariko ila haya manafunzi ya kwetu yanadanganywa kwa vitu cheap kama hivyo na kuwaza ngono tu!

Mavi matupu!
Mavi wewe na ukoo wako uliouacha pale nyololo....

Mara elfu moja Samia kuliko yule mchawi na mwizi aliyelala Chato!
 
Boom sawa .Je Hilo boom litakusafirisha kutoka dar kwenda kagera ,mtwara,musoma, na kwingineko muda wa field ukifika? Mbona hizo Hera za field ziliondolewa? Books and stationery hazipo,akigusa na hayo maeneo nitakuwa natembea na bendera ya ccm Kila siku atakae niuliza kulikoni jibu litakuwa moja tu MAMA ANAUPIGA MWINGI
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ambaye ndiye kiongozi mwenye ushawishi Zaid Barani Afirika kwa Sasa na ambaye hotuba zake zinatajwa kuwa Bora,zenye kugusa mioyo ya watu,zenye kuleta matumaini,zenye kuonyesha muelekeo na dira na ambazo zimekuwa zinafuatiliwa na watu wengi Sana Barani Afrika kutokana na maono yake makubwa ya Uzalendo na ambaye amekuwa akichukuliwa Kama mtetezi wa Afrika na sauti ya Afrika Ameendelea kuwa gumzo na Kuiteka mioyo ya makundi mbalimbali kutokana na utendaji kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Rais Samia ameitetemesha kwa furaha mioyo ya Wanavyuo nchini kwote ,Taarifa hizo zilizosambaa kwa Kasi ya ajabu hapa nchini juu ya Rais Samia kuridhia ongezeko la Fedha ya kujikimu kutoka 8500-10000 kwa siku limewafurahisha ,kuwagusa na Kuiteka mioyo ya wanafunzi na hata wazazi wenye watoto wanaosoma.

Wanavyuo na wadau mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii wameendelea kumshukuru Rais Samia na kumpongeza Sana kwa usikivu wake, wengi wamesema hakika hakuna mfupa mgumu mbele ya Rais Samia,hakuna mlima mrefu kwa Rais Samia,hakuna Jambo lisilo wezekana kwa Rais Samia,hakuna changamoto na kero isiyo na majibu mbele ya Rais Samia.

Hakika Rais Samia Ni kiongozi wa aina yake, Sasa wanafunzi wanakwenda kusoma kwa amani na utulivu,Sasa wenye mipango wanakwenda kujipatia mitaji baada ya kuhitimu masomo yao kwa kuwekeza kidogo kidogo,Sasa akili zote za wanafunzi zitaelekwezwa katika masomo tu,Rais Samia ni mama mwenye huruma na upendo mkubwa Sana na watu wake.

Wanavyuo wamesikika wakisema watampigia kampeni Rais Samia nyumba kwa nyumba katika kumuombea Kura za Urais ,wengine wamesikika mitaani wakisema watamchangia fedha ya kuchukua fomu ya Urais na wengine wamesema Ni mama Samia mpaka 2030,Hakika uongozi Ni Akili na maarifa,Ni karama na unatoka kwa Mungu,hakika Mungu Ndiye aliye mpa uongozi Rais Samia na ndiye anayeendelea kumpa maarifa na njia ya kuongoza Taifa letu,

Ni mwanachuo yupi atamnyima Rais Samia Kura yake? Ni mzazi yupi atamnyima Rais Samia Kura ya Urais? Ni mtanzania yupi asiyeona juhudi za mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mama Samia suluhu Hassani? Tunataka Nini watanzania? Tufanyiwe Nini Turidhike? Kwani hatuoni kuwa Yote tuliyoyahitaji miaka yote Rais Samia katekeleza na anaendelea na kazi? Kipi hajafanya Rais wetu? Kipi hajasikiliza Rais wetu? Nani amenyimwa nafasi ya kuongea kero yake? Kwanini tusimshukuru Rais Samia kwa hapa alipotufikisha? Kwanini Tusimuunge mkono?

Ndugu zangu watanzania Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana,Ni zawadi inayopaswa kutunzwa Sana.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Yaani kwa mwanangu aliyepo chuoni Dar mwaka wa kwanza tena chuo cha serikali na hana mkopo kabisa, akikuona atakuchapa makofi. Tena na mimi ntamuunga mkono akuchape makofi kwa maana hakuna namna!
 
Ongezeko hili linaenda kuongeza wanaobeti, madanga, wavuta shisha, walevi na wavuta madawa ya kulevya.

Ulikuwa ni wakati sahihi wa kupunguza kiwango mpka kufikia 5000 kwa siku
Wanavyuo wanajitambua na ongezeko Hilo linakwenda kuleta utulivu katika masomo
 
Yaani kwa mwanangu aliyepo chuoni Dar mwaka wa kwanza tena chuo cha serikali na hana mkopo kabisa, akikuona atakuchapa makofi. Tena na mimi ntamuunga mkono akuchape makofi kwa maana hakuna namna!
Wanafunzi wote wenye sifa waliopewa mikopo na serikali ya Rais Samia,
 
Boom sawa .Je Hilo boom litakusafirisha kutoka dar kwenda kagera ,mtwara,musoma, na kwingineko muda wa field ukifika? Mbona hizo Hera za field ziliondolewa? Books and stationery hazipo,akigusa na hayo maeneo nitakuwa natembea na bendera ya ccm Kila siku atakae niuliza kulikoni jibu litakuwa moja tu MAMA ANAUPIGA MWINGI
Mwaka wa kwanza hata mwaka wa pili sasa karibia wote wamepewa books & Stationery vilevile wengine wameongezewa ada kimya kimya ndani ya mwaka huu.
 
Wadogo zako Wameongezewa ?
Wa SUA jana kawekewa 100% pamoja na wenzake karibia wote hakukata rufaa ila ameekewa tu sasa hakuna cha kumuongezea ada ila wa NIT bado ana 50% ile ile nimempiga kasema hakuna mabadiliko nimemwambia avute subra maana nyongeza hii siyo rasmi kwenye bajeti ya wizara imekuja baada ya vuguvugu na inatolewa kwa awamu kimya kimya..
 
Back
Top Bottom