Rais Samia: Tutaanza kutoa Tsh 10,000/= kwa siku kwenye pesa za kujikimu (Boom) kwa wanachuo

Rais Samia: Tutaanza kutoa Tsh 10,000/= kwa siku kwenye pesa za kujikimu (Boom) kwa wanachuo

Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ambaye ndiye kiongozi mwenye ushawishi Zaid Barani Afirika kwa Sasa na ambaye hotuba zake zinatajwa kuwa Bora,zenye kugusa mioyo ya watu,zenye kuleta matumaini,zenye kuonyesha muelekeo na dira na ambazo zimekuwa zinafuatiliwa na watu wengi Sana Barani Afrika kutokana na maono yake makubwa ya Uzalendo na ambaye amekuwa akichukuliwa Kama mtetezi wa Afrika na sauti ya Afrika Ameendelea kuwa gumzo na Kuiteka mioyo ya makundi mbalimbali kutokana na utendaji kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Rais Samia ameitetemesha kwa furaha mioyo ya Wanavyuo nchini kwote ,Taarifa hizo zilizosambaa kwa Kasi ya ajabu hapa nchini juu ya Rais Samia kuridhia ongezeko la Fedha ya kujikimu kutoka 8500-10000 kwa siku limewafurahisha ,kuwagusa na Kuiteka mioyo ya wanafunzi na hata wazazi wenye watoto wanaosoma.

Wanavyuo na wadau mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii wameendelea kumshukuru Rais Samia na kumpongeza Sana kwa usikivu wake, wengi wamesema hakika hakuna mfupa mgumu mbele ya Rais Samia,hakuna mlima mrefu kwa Rais Samia,hakuna Jambo lisilo wezekana kwa Rais Samia,hakuna changamoto na kero isiyo na majibu mbele ya Rais Samia.

Hakika Rais Samia Ni kiongozi wa aina yake, Sasa wanafunzi wanakwenda kusoma kwa amani na utulivu,Sasa wenye mipango wanakwenda kujipatia mitaji baada ya kuhitimu masomo yao kwa kuwekeza kidogo kidogo,Sasa akili zote za wanafunzi zitaelekwezwa katika masomo tu,Rais Samia ni mama mwenye huruma na upendo mkubwa Sana na watu wake.

Wanavyuo wamesikika wakisema watampigia kampeni Rais Samia nyumba kwa nyumba katika kumuombea Kura za Urais ,wengine wamesikika mitaani wakisema watamchangia fedha ya kuchukua fomu ya Urais na wengine wamesema Ni mama Samia mpaka 2030,Hakika uongozi Ni Akili na maarifa,Ni karama na unatoka kwa Mungu,hakika Mungu Ndiye aliye mpa uongozi Rais Samia na ndiye anayeendelea kumpa maarifa na njia ya kuongoza Taifa letu,

Ni mwanachuo yupi atamnyima Rais Samia Kura yake? Ni mzazi yupi atamnyima Rais Samia Kura ya Urais? Ni mtanzania yupi asiyeona juhudi za mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mama Samia suluhu Hassani? Tunataka Nini watanzania? Tufanyiwe Nini Turidhike? Kwani hatuoni kuwa Yote tuliyoyahitaji miaka yote Rais Samia katekeleza na anaendelea na kazi? Kipi hajafanya Rais wetu? Kipi hajasikiliza Rais wetu? Nani amenyimwa nafasi ya kuongea kero yake? Kwanini tusimshukuru Rais Samia kwa hapa alipotufikisha? Kwanini Tusimuunge mkono?

Ndugu zangu watanzania Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana,Ni zawadi inayopaswa kutunzwa Sana.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Masikini Mwashamba,
[emoji23][emoji1787]
Teuzi zinakupita mbaali kama ilivyo Kaskazini na kusini.
Hivi kwanini hawakuteui jamani, wakati unaupiga mwingi.
 
Wa SUA jana kawekewa 100% pamoja na wenzake karibia wote hakukata rufaa ila ameekewa tu sasa hakuna cha kumuongezea ada ila wa NIT bado ana 50% ile ile nimempiga kasema hakuna mabadiliko nimemwambia avute subra maana nyongeza hii siyo rasmi kwenye bajeti ya wizara imekuja baada ya vuguvugu na inatolewa kwa awamu kimya kimya..
Basi tuwaombee Ili aongozewe
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ambaye ndiye kiongozi mwenye ushawishi Zaid Barani Afirika kwa Sasa na ambaye hotuba zake zinatajwa kuwa Bora,zenye kugusa mioyo ya watu,zenye kuleta matumaini,zenye kuonyesha muelekeo na dira na ambazo zimekuwa zinafuatiliwa na watu wengi Sana Barani Afrika kutokana na maono yake makubwa ya Uzalendo na ambaye amekuwa akichukuliwa Kama mtetezi wa Afrika na sauti ya Afrika Ameendelea kuwa gumzo na Kuiteka mioyo ya makundi mbalimbali kutokana na utendaji kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Rais Samia ameitetemesha kwa furaha mioyo ya Wanavyuo nchini kwote ,Taarifa hizo zilizosambaa kwa Kasi ya ajabu hapa nchini juu ya Rais Samia kuridhia ongezeko la Fedha ya kujikimu kutoka 8500-10000 kwa siku limewafurahisha ,kuwagusa na Kuiteka mioyo ya wanafunzi na hata wazazi wenye watoto wanaosoma.

Wanavyuo na wadau mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii wameendelea kumshukuru Rais Samia na kumpongeza Sana kwa usikivu wake, wengi wamesema hakika hakuna mfupa mgumu mbele ya Rais Samia,hakuna mlima mrefu kwa Rais Samia,hakuna Jambo lisilo wezekana kwa Rais Samia,hakuna changamoto na kero isiyo na majibu mbele ya Rais Samia.

Hakika Rais Samia Ni kiongozi wa aina yake, Sasa wanafunzi wanakwenda kusoma kwa amani na utulivu,Sasa wenye mipango wanakwenda kujipatia mitaji baada ya kuhitimu masomo yao kwa kuwekeza kidogo kidogo,Sasa akili zote za wanafunzi zitaelekwezwa katika masomo tu,Rais Samia ni mama mwenye huruma na upendo mkubwa Sana na watu wake.

Wanavyuo wamesikika wakisema watampigia kampeni Rais Samia nyumba kwa nyumba katika kumuombea Kura za Urais ,wengine wamesikika mitaani wakisema watamchangia fedha ya kuchukua fomu ya Urais na wengine wamesema Ni mama Samia mpaka 2030,Hakika uongozi Ni Akili na maarifa,Ni karama na unatoka kwa Mungu,hakika Mungu Ndiye aliye mpa uongozi Rais Samia na ndiye anayeendelea kumpa maarifa na njia ya kuongoza Taifa letu,

Ni mwanachuo yupi atamnyima Rais Samia Kura yake? Ni mzazi yupi atamnyima Rais Samia Kura ya Urais? Ni mtanzania yupi asiyeona juhudi za mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mama Samia suluhu Hassani? Tunataka Nini watanzania? Tufanyiwe Nini Turidhike? Kwani hatuoni kuwa Yote tuliyoyahitaji miaka yote Rais Samia katekeleza na anaendelea na kazi? Kipi hajafanya Rais wetu? Kipi hajasikiliza Rais wetu? Nani amenyimwa nafasi ya kuongea kero yake? Kwanini tusimshukuru Rais Samia kwa hapa alipotufikisha? Kwanini Tusimuunge mkono?

Ndugu zangu watanzania Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana,Ni zawadi inayopaswa kutunzwa Sana.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627

Na seke seke lote na kina Lissu lazima boom lilikuwa liongezeke kwani wewe hukutegemea hilo?

Isitoshe mbona mambo mengi yatatengemaa? Si alisema atasikiliza afanye maboresho?

Hata katiba mpya mbona ni suala la muda tu?

Ngoja kinuke bado hajakuwa na uhakika na moto wake.
 
Ongezeko hili linaenda kuongeza wanaobeti, madanga, wavuta shisha, walevi na wavuta madawa ya kulevya.

Ulikuwa ni wakati sahihi wa kupunguza kiwango mpka kufikia 5000 kwa siku
Umesahau mashoga na wasagaji.

Sijui kwanini Rais hajakemea tabia hizo.
 
Boom sawa .Je Hilo boom litakusafirisha kutoka dar kwenda kagera ,mtwara,musoma, na kwingineko muda wa field ukifika? Mbona hizo Hera za field ziliondolewa? Books and stationery hazipo,akigusa na hayo maeneo nitakuwa natembea na bendera ya ccm Kila siku atakae niuliza kulikoni jibu litakuwa moja tu MAMA ANAUPIGA MWINGI
Kuna Vyuo walipeleka zikapigwa na Makamu wakuu wa vyuo.
 
Kwa akili zako nyingi na nzuri za kichawa, unafikiri mwanangu hana sifa?
Kama alikuwa na sifa na alichagua kozi za kipaombele kwa mujibu wa miongozo unapokuwa umetolewa na akawa amekosa mkopo ilitakiwa skate rufaa muda ule unaokuwaga umetolewa,lakini pia kwa kuwa huu Ni mwezi wa pili hivyo anaweza akaomba Tena mkopo mwaka huu,Na kwa vile serikali ya Rais Samia imejidhatiti kuwapatia Tabasamu wanafunzi wote naamini atapewa mkopo na kutimiza Ndoto zake na kukupunguzia mzigo wewe mzazi wa kulipa Ada ya mwanao,

Naomba uungane na Mimi katika kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa na kumuombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania
 
Na seke seke lote na kina Lissu lazima boom lilikuwa liongezeke kwani wewe hukutegemea hilo?

Isitoshe mbona mambo mengi yatatengemaa? Si alisema atasikiliza afanye maboresho?

Hata katiba mpya mbona ni suala la muda tu?

Ngoja kinuke bado hajakuwa na uhakika na moto wake.
Acha maneno ya uongo uongo hapa ndio maana chadema mnapuuzwa Sana na watanzania kwa sababu ya ubabaishaji wenu, Rais anafanya vitu kwa kuwa amedhamiria kuleta Tabasamu Katika maisha ya kila mtanzania na kumsaidia kila mtu kutimiza Ndoto zake,Hafanyi vitu kwa sababu ya mtu fulani,Hakuna wa kumtisha mh Rais wetu ,hayupo mtu wa namna hiyo na Wala hajazaliwa bado
 
Acha maneno ya uongo uongo hapa ndio maana chadema mnapuuzwa Sana na watanzania kwa sababu ya ubabaishaji wenu, Rais anafanya vitu kwa kuwa amedhamiria kuleta Tabasamu Katika maisha ya kila mtanzania na kumsaidia kila mtu kutimiza Ndoto zake,Hafanyi vitu kwa sababu ya mtu fulani,Hakuna wa kumtisha mh Rais wetu ,hayupo mtu wa namna hiyo na Wala hajazaliwa bado

Mnaozingatiwa ninyi au Lipumba?
 
Imeongezeka 1,500/= (yaani take 10,000/= minus 8,500/=) ambayo ni sawa na ongezeko la 45,000/= Kwa mwezi mmoja na 90,000/= Kwa miezi miwili na ongezeko la 360,000/= Kwa semister zote 2 (8 Months) aisee.

Kwa ongezeko la 180,000/= Kwa miezi 4 (semister Moja) basii kazi Ipo ni ongezeko dogo sana.

All the best
 
Hizo fedha zinatoka wapi wakati madarasa tu yanajengwa kwa akiba ya fedha za kigenu.

False hope.
Uwe na moyo wa kupongeza kwa Jambo zuri linapofanyika,Hivi kwamba hujuwi kuwa serikali imejenga vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 kwa fedha zetu za ndani pasipo kumchangisha mzazi yeyote yule? Najuwa habari hii na uamuzi huu wa Rais Samia kuwaongezea fedha za kujikimu Wanavyuo umewashitua na kuwaumiza Sana maana mnajuwa kuwa hamna Cha kuwaambia Wala kuwashawishi vijana wa vyuo kuwaungeni mkono
 
Imeongezeka 1,500/= (yaani take 10,000/= minus 8,500/=) ambayo ni sawa na ongezeko la 45,000/= Kwa mwezi mmoja na 90,000/= Kwa miezi miwili na ongezeko la 360,000/= Kwa semister zote 2 (8 Months) aisee.

Kwa ongezeko la 180,000/= Kwa miezi 4 (semister Moja) basii kazi Ipo ni ongezeko dogo sana.

All the best
Naona Roho inawauma Sana maana mnajuwa kuwa mliokuwaa mnawategemea kuwaunga mkono wametambua ubabaishaji wenu na kuamua kumuunga mkono mh Rais na serikali yake ya ccm
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ambaye ndiye kiongozi mwenye ushawishi Zaid Barani Afirika kwa Sasa na ambaye hotuba zake zinatajwa kuwa Bora,zenye kugusa mioyo ya watu,zenye kuleta matumaini,zenye kuonyesha muelekeo na dira na ambazo zimekuwa zinafuatiliwa na watu wengi Sana Barani Afrika kutokana na maono yake makubwa ya Uzalendo na ambaye amekuwa akichukuliwa Kama mtetezi wa Afrika na sauti ya Afrika Ameendelea kuwa gumzo na Kuiteka mioyo ya makundi mbalimbali kutokana na utendaji kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Rais Samia ameitetemesha kwa furaha mioyo ya Wanavyuo nchini kwote ,Taarifa hizo zilizosambaa kwa Kasi ya ajabu hapa nchini juu ya Rais Samia kuridhia ongezeko la Fedha ya kujikimu kutoka 8500-10000 kwa siku limewafurahisha ,kuwagusa na Kuiteka mioyo ya wanafunzi na hata wazazi wenye watoto wanaosoma.

Wanavyuo na wadau mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii wameendelea kumshukuru Rais Samia na kumpongeza Sana kwa usikivu wake, wengi wamesema hakika hakuna mfupa mgumu mbele ya Rais Samia,hakuna mlima mrefu kwa Rais Samia,hakuna Jambo lisilo wezekana kwa Rais Samia,hakuna changamoto na kero isiyo na majibu mbele ya Rais Samia.

Hakika Rais Samia Ni kiongozi wa aina yake, Sasa wanafunzi wanakwenda kusoma kwa amani na utulivu,Sasa wenye mipango wanakwenda kujipatia mitaji baada ya kuhitimu masomo yao kwa kuwekeza kidogo kidogo,Sasa akili zote za wanafunzi zitaelekwezwa katika masomo tu,Rais Samia ni mama mwenye huruma na upendo mkubwa Sana na watu wake.

Wanavyuo wamesikika wakisema watampigia kampeni Rais Samia nyumba kwa nyumba katika kumuombea Kura za Urais ,wengine wamesikika mitaani wakisema watamchangia fedha ya kuchukua fomu ya Urais na wengine wamesema Ni mama Samia mpaka 2030,Hakika uongozi Ni Akili na maarifa,Ni karama na unatoka kwa Mungu,hakika Mungu Ndiye aliye mpa uongozi Rais Samia na ndiye anayeendelea kumpa maarifa na njia ya kuongoza Taifa letu,

Ni mwanachuo yupi atamnyima Rais Samia Kura yake? Ni mzazi yupi atamnyima Rais Samia Kura ya Urais? Ni mtanzania yupi asiyeona juhudi za mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mama Samia suluhu Hassani? Tunataka Nini watanzania? Tufanyiwe Nini Turidhike? Kwani hatuoni kuwa Yote tuliyoyahitaji miaka yote Rais Samia katekeleza na anaendelea na kazi? Kipi hajafanya Rais wetu? Kipi hajasikiliza Rais wetu? Nani amenyimwa nafasi ya kuongea kero yake? Kwanini tusimshukuru Rais Samia kwa hapa alipotufikisha? Kwanini Tusimuunge mkono?

Ndugu zangu watanzania Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana,Ni zawadi inayopaswa kutunzwa Sana.

Kazi Iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Haa huyu raisi si wa kumwamin kabisa yeye yupo tiari kumridhisha na kumfurahisha kiLa mtu lakini kumbe hazina hamna kitu .waulize wale watumishi wa meimosi waakaambulia 10000
 
Back
Top Bottom