DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Asanteni Mama hiyo 10k angalau mwanachuo Anaishi vizuri Asante Mama Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atawapa kweli au ni siasa! anatafuta kuungwa mkono baada ya Lisu kuanza kazi , kazi, kazi!Hongera Mheshimiwa Rais DKT Samia Suluhu Hassan na Asante kwa yote uliyozungumza na Vijana wamepokea kwa bashasha haswa la BOOM KUWA ELF 10 kwasiku Mikopo ya Kujiendeleza kupitia NMB, SAMIA Scholarahips,.
Hapa munaweza pata na ya kujengea kwenu na kuanzisha biashara kubwa kubwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ngoja tuone mkuuAtawaoa kweli au ni siasa! anatafuta kuungwa mkono baada ya Lisu kuanza kazi , kazi, kazi!
simple, ameongeza mpaka elfu 10. Nadhani zilikuwa 7,500 (kama sikosei) perday. sasa ni elfu kumi kila siku! Laki tatu kwa mwezi, nadhani kwa kujibana zinatosha kula...... (by the way boom ina innclude na boarding? hapo ndipo sijui!Wakuu mama samia katangaza kuongezwa kwa boom hii ikojee alielewa atufafanulie vizuri jamani nawaombeni wakuu
Hai include na boarding .....simple, ameongeza mpaka elfu 10. Nadhani zilikuwa 7,500 (kama sikosei) perday. sasa ni elfu kumi kila siku! Laki tatu kwa mwezi, nadhani kwa kujibana zinatosha kula...... (by the way boom ina innclude na boarding? hapo ndipo sijui!
hawa ni wanafunzi wa vuo vya elimu ya juu tu! not watumishiHai include na boarding .....
Sema mm nilitaka nijue kwa watumishi wa afya waliokuwa wanapewa 654k itapanda piah
SijaelewaHai include na boarding .....
Sema mm nilitaka nijue kwa watumishi wa afya waliokuwa wanapewa 654k itapanda piah
Watumishi na boom wapi na wapi?Hai include na boarding .....
Sema mm nilitaka nijue kwa watumishi wa afya waliokuwa wanapewa 654k itapanda piah
Wakuu instead of watumishiiWatumishi na boom wapi na wapi?
KuhusuuuSijaelewa
Nimekumbuka nilipo kuwa pale UDSM school of engineering,2007,simple, ameongeza mpaka elfu 10. Nadhani zilikuwa 7,500 (kama sikosei) perday. sasa ni elfu kumi kila siku! Laki tatu kwa mwezi, nadhani kwa kujibana zinatosha kula...... (by the way boom ina innclude na boarding? hapo ndipo sijui!
Mkuu kikubwa tulee kwanza vizuri mengine baadae ni body knows tommorowNimekumbuka nilipo kuwa pale UDSM school of engineering,2007,
Yaani. Hapo wasomi wamekamatwa,hiyo nyongeza ni pipi tu,Haina maana,mkae mkijua,hiyo pesa ni tamu ukiwa chuo tu,huku kitaa ni pesa ya mboga tu!!Samia ilibidi awaambie mkakati wake wa kuwapatia ajira tamu mkitoka vyuoni,sio kuwaongezea mkopo!!na kuwapiga fiksi,eti watu wa ulaya wanatamani waje Tanzania,hii si sawa na mfsnyakazi wa BOT,takukuru,au voda atamani kufanya kazi ya konda wa daladala!!!?
Upload ww mkuuWekeni video