La kwanza ni TBCRais Samia amesema anasubiria ripoti ya Timu aliyoiunda Kupitia mashirika ya Umma yanayoripoti Kwa Msajili wa Hazina Ili juyafutilia mbali Yale ambayo hayana Tija Wala faida.
Amesema Mashirika Yatakayokufa basi wahusika wajiandae kufa nayo..
My Take
Safi sana mh.Rais hakuna kulea ujinga ujinga wa miaka Mingi ambako watu waligeuza Mali ya Umma ni mashamba ya Bibi..
Niliwasikiliza Tanesco Juzi juzi naona ndo wanapo elekea uko (Outsourcing) kitu ambacho nakiona ni Kizuri kwa Vile kitaongeza efficiency hii Outsourcing naona iende kwa mashirika mengi zaidi ya umma italeta ufanisi badala ya kuajili watu Kwa permanent contract wengi kufanya izo kazi ambapo majority huwa ni underperformers ni bora uwe na Shirika lenye watu wachache tu wabaki kufanya Usimamizi the rest wachukue private sectors ambapo italeta ufanisi mkubwa sana, Culture za mashirika ya umma za ovyo sana Kuanzia dereva mpaka watendaji wenye Permanent contract wanafanya kazi kimazoea sababu ni mshahara upo tuKwenye distribution Mzee yaani usambazi wa Umeme ila Huduma zingine zibakie na Tanesco wenyewe.
Hakuna mtanzania mwenye fedha ya kutosha ku maintain distribution ya umeme nchi hii,, wala hakuna mzungu atakuwa tayari kuweka pesa yake hapa, labda waje kufanya management,, mchina hafanyi kazi za sandakalawe,,Niliwasikiliza Tanesco Juzi juzi naona ndo wanapo elekea uko (Outsourcing) kitu ambacho nakiona ni Kizuri kwa Vile kitaongeza efficiency hii Outsourcing naona iende kwa mashirika mengi zaidi ya umma italeta ufanisi badala ya kuajili watu Kwa permanent contract wengi kufanya izo kazi ambapo majority huwa ni underperformers ni bora uwe na Shirika lenye watu wachache tu wabaki kufanya Usimamizi the rest wachukue private sectors ambapo italeta ufanisi mkubwa sana, Culture za mashirika ya umma za ovyo sana Kuanzia dereva mpaka watendaji wenye Permanent contract wanafanya kazi kimazoea sababu ni mshahara upo tu
Namaanisha Miradi Ijengwe na private sectors ila iwe maintained na tanesco, Kiuhalisi ku invest Tanesco ni Ngumu sana tuache shirika tu liwe 100% owned na government mana sio Business oriented company bali ni Service orientedHakuna mtanzania mwenye fedha ya kutosha ku maintain distribution ya umeme nchi hii,, wala hakuna mzungu atakuwa tayari kuweka pesa yake hapa, labda waje kufanya management,, mchina hafanyi kazi za sandakalawe,,
Mwarabu mwenye hela hazina kazi, atashtuka kuinvest hapa, distribution inahitaji huuge investment
Ndio nachomaanisha, kwa rate zao za bei ya umeme,, hakuna investor ataona faida... Mi naona private sector waendeleo kuzalisha na kuuza umeme Tanesco kisha Tanesco watuuzie wananchi kwa bei affordableNamaanisha Miradi Ijengwe na private sectors ila iwe maintained na tanesco, Kiuhalisi ku invest Tanesco ni Ngumu sana tuache shirika tu liwe 100% owned na government mana sio Business oriented company bali ni Service oriented
Yeah ni sahihiNdio nachomaanisha, kwa rate zao za bei ya umeme,, hakuna invester ataona faida... Mi naona private sector waendeleo kuzalisha na kuuza umeme Tanesco kisha Tanesco watuuzie wananchi kwa bei affordable
Bandari ya watu wa Pwani.Bandari yetu wabara tunahitaji iwe mikononi mwetu, pia na Zanzibar waache kutumia umeme wabure.
Muuaji mkubwa wa mashirika ya umma ni Serikali. Management inafanya kazi kama messanger.Rais Samia amesema anasubiria ripoti ya Timu aliyoiunda Kupitia mashirika ya Umma yanayoripoti Kwa Msajili wa Hazina Ili juyafutilia mbali Yale ambayo hayana Tija Wala faida. Amesema Mashirika Yatakayokufa basi wahusika wajiandae kufa nayo.
“Serikali tumeamua kufanya tathmini ya utendaji wa mashirika yote ya umma na yale ambayo Serikali ina hisa kubwa. Lengo la tathmini hiyo ni kubaini mashirika yasiyo na faida ambayo yameshindwa kujiendesha na yanaitia Serikali hasara.”
"Nasubiri taarifa ya mwisho, ya mashirika gani yanabaki, gani yanaondoka, na gani yasaidiwe vipi kufanya biashara, na siku tutakayoyatangaza...haya mashirika yakifa, wafe nayo, sitaki kusikia shirika linazorota,meneja anapiga suti nzuri anatamba mitaani, hatutaenda pamoja".
---
My Take
Safi sana mh.Rais hakuna kulea ujinga ujinga wa miaka Mingi ambako watu waligeuza Mali ya Umma ni mashamba ya Bibi..
Rais Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amepokea gawio la Serikali kwenye hafla ya kusherehekea miaka 25 ya mafanikio ya benki ya NMB
Akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam, mbali na mengi aliyoyazungumza ameeleza kuwa, Serikali itayafuta mashirika yote ya umma au yale ambayo Serikali ina hisa kubwa yanayojiendesha kwa hasara
Rais Samia ameeleza kuwa kwa sasa tayari amepokea ripoti ya awaLi kutoka kwa msajili wa hazina juu ya utendaji wa mashirika ambapo amemuagiza (Msajili wa hazina) kufanya tathmini ya pili kabla ya kufanya maamuzi ambapo tathmini hiyo itaamua mashirika yatakayofutwa, yatakayosaidiwa yatakayopewa miongozo ya kujiendesha ili kutengeneza faida.
Ndo utajua saa100 ni kichwa majiKuna kila dalili kuwa TANESCO wanakwenda kutolewa kwa Wajomba kama ilivyokuwa Bandari.
Nchi ishauzwa hiiKuna wengine nimekutana nao Huko Ngorongoro leo
Sijajua ni watalii au ni wale wale wa DP
Tatizo la Serikali ni ugumu wa kuelewa, wangeona Faida wanayopata NMB, CRDB, NBC wakaamua fanya hivyo kwa Mashirika yake hakika tungekuwa MbaliKuna mashirika serikali inatakiwa Tu ipunguze umiliki wa asilimia 100...baasi
Serikali ikibaki na 40 ingine wauze hisa DSE....watashangaa yatakavyo performs
Nayo wanaikagua iwe yao labdaKuna wengine nimekutana nao Huko Ngorongoro leo
Sijajua ni watalii au ni wale wale wa DP
Kwanini asitumie ripoti ya CAG hiyo kuzungukia mashirika yoote ya umma ni ufujaji wa fedha.Rais Samia amesema anasubiria ripoti ya Timu aliyoiunda Kupitia mashirika ya Umma yanayoripoti Kwa Msajili wa Hazina Ili juyafutilia mbali Yale ambayo hayana Tija Wala faida. Amesema Mashirika Yatakayokufa basi wahusika wajiandae kufa nayo.
“Serikali tumeamua kufanya tathmini ya utendaji wa mashirika yote ya umma na yale ambayo Serikali ina hisa kubwa. Lengo la tathmini hiyo ni kubaini mashirika yasiyo na faida ambayo yameshindwa kujiendesha na yanaitia Serikali hasara.”
"Nasubiri taarifa ya mwisho, ya mashirika gani yanabaki, gani yanaondoka, na gani yasaidiwe vipi kufanya biashara, na siku tutakayoyatangaza...haya mashirika yakifa, wafe nayo, sitaki kusikia shirika linazorota,meneja anapiga suti nzuri anatamba mitaani, hatutaenda pamoja".
---
My Take
Safi sana mh.Rais hakuna kulea ujinga ujinga wa miaka Mingi ambako watu waligeuza Mali ya Umma ni mashamba ya Bibi..