Wanatangaza gawio NMB na Crdb wanalopokea halafu badala ya kupunguza Tu hisa zao huko kwingineko wanawaza kuuza outrightTatizo la Serikali ni ugumu wa kuelewa, wangeona Faida wanayopata NMB, CRDB, NBC wakaamua fanya hivyo kwa Mashirika yake hakika tungekuwa Mbali
mamako anaweza nini, kuzaa pumbavu km weweIlo ndio analo liweza kufuta n kuteua.
Kwanini asitumie ripoti ya CAG hiyo kuzungukia mashirika yoote ya umma ni ufujaji wa fedha.
🙄
Hii ifutwe kabisa, kazi yao wapewe hata NEC tujue Moja maana ni ajabu mwaka wa 7 mtu Hana kitambulisho na Bado wanakula mshahara tu. Inatia hasira sana.Wasiisahau NIDA
Kuna kila dalili kuwa TANESCO wanakwenda kutolewa kwa Wajomba kama ilivyokuwa Bandari.
Ni wewe huyuhuyu mwenye Uzi? Hatukusikilizi, tunataka Bandari yetuHapo tuu ndio Huwa nampendea Rais Samia Yuko pro efficiency, upuuzi upuuzi hakuna..
Kamatia hapo hapo,futilia mbali Mazembe Mazembe.🔥🔥
Kwa Wazanzibar hakuna shida!! Wataendelea kuwalipia umeme wakati nyie mnabugia tu UlojoWatolewe tuu kwani Kuna shida gani?
Kwa nini mteja nisihudumiwe bure wakati nanunua umeme wako? Wewe unauza umeme lazima ufanye uwezalo umeme unifikie nilipe...tatizo tanesco ni mikataba ya kipuuzi ambayo inawafanya walipe madeni kibao.Private sector? Hakuna Mwekezaji atataka kuwekeza Sehemu kama tanesco, Imagine mteja anahudumiwa Bure akipata changamoto, Application fee bure halafu Connection fee anakuja kulipa 27K ni mwekezaji gani anaweza kuwekeza apo? Unless ije reform kubwa ambapo ikitokea hio Umeme haitakuwa huduma tena itakuwa Anasa
Kwani bei zao ni ndogo sana? Kwa wenzetu mbona umeme mpaka wanapikia maharage ina maana hawapati faida?Ndio nachomaanisha, kwa rate zao za bei ya umeme,, hakuna investor ataona faida... Mi naona private sector waendeleo kuzalisha na kuuza umeme Tanesco kisha Tanesco watuuzie wananchi kwa bei affordable
Kwani bei zao ni ndogo sana? Kwa wenzetu mbona umeme mpaka wanapikia maharage ina maana hawapati faida?
Kama TANESCO hawana tija bora nao wakabidhiwe kwa Wajomba tu ili wananchi wa kawaida na sisi tufaidike na huduma nzuri kutoka ugenini!! Maana tumechoka na Mambo ya kutumbuwana!!Kuna kila dalili kuwa TANESCO wanakwenda kutolewa kwa Wajomba kama ilivyokuwa Bandari.
Tanesco ana supply tu. Yeye umeme anauziwa na mashirika mengine alafu anausambaza .changamoto ni kwamba ni monopoly ndo mana shirika halija changamka.Kwenye distribution Mzee yaani usambazi wa Umeme ila Huduma zingine zibakie na Tanesco wenyewe.
Labda unsubscribe rea😃😃Hata mim napikia maharage umeme mkuu 😂😂😂
Rais Samia amesema anasubiria ripoti ya Timu aliyoiunda Kupitia mashirika ya Umma yanayoripoti Kwa Msajili wa Hazina Ili juyafutilia mbali Yale ambayo hayana Tija Wala faida. Amesema Mashirika Yatakayokufa basi wahusika wajiandae kufa nayo.
“Serikali tumeamua kufanya tathmini ya utendaji wa mashirika yote ya umma na yale ambayo Serikali ina hisa kubwa. Lengo la tathmini hiyo ni kubaini mashirika yasiyo na faida ambayo yameshindwa kujiendesha na yanaitia Serikali hasara.”
"Nasubiri taarifa ya mwisho, ya mashirika gani yanabaki, gani yanaondoka, na gani yasaidiwe vipi kufanya biashara, na siku tutakayoyatangaza...haya mashirika yakifa, wafe nayo, sitaki kusikia shirika linazorota,meneja anapiga suti nzuri anatamba mitaani, hatutaenda pamoja".
---
My Take
Safi sana mh.Rais hakuna kulea ujinga ujinga wa miaka Mingi ambako watu waligeuza Mali ya Umma ni mashamba ya Bibi..
Hiwa nawashangaa sana wanaotaka wawekezaji kwenye umeme hawajui kuwa bei ya umeme haitakuwa hii tena si ajabu unit 1 wakanunua kwa 1000 au zaidiPrivate sector? Hakuna Mwekezaji atataka kuwekeza Sehemu kama tanesco, Imagine mteja anahudumiwa Bure akipata changamoto, Application fee bure halafu Connection fee anakuja kulipa 27K ni mwekezaji gani anaweza kuwekeza apo? Unless ije reform kubwa ambapo ikitokea hio Umeme haitakuwa huduma tena itakuwa Anasa
Mkuu sio kweli 90% ya umeme nchini uko produced na Tanesco, Inshu ya tanesco kutokuwa monopoly ni nzuri sana ila tujiulize je tanesco akianza kwenda kibiashara wananchi mtaweza kumudu izo cost?Tanesco ana supply tu. Yeye umeme anauziwa na mashirika mengine alafu anausambaza .changamoto ni kwamba ni monopoly ndo mana shirika halija changamka.
Kuna mashirika serikali inatakiwa Tu ipunguze umiliki wa asilimia 100...baasi
Serikali ikibaki na 40 ingine wauze hisa DSE....watashangaa yatakavyo performs