Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tukiacha kununua kwao na wao wanaacha kupitishia mizigo yao kwenye bandari yetu
Sema cha kushangaa ni kwamba sukari yenyewe uganda ni shida
Sasa wanatuuziaje sie wakati wenyewe haiwatoshi?
Hizo ndio siasa za afruca
Mbona wanasema ya Brazil ni rahisi labda wanatuuzia hiyo baada ya ku repacked [emoji848][emoji848]