Rais Samia: Tutanunua vichwa na mabehewa vya kuanzia vilivyotumika

Rais Samia: Tutanunua vichwa na mabehewa vya kuanzia vilivyotumika

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Taarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipande cha Dar - Moro.

Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "

Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.

Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
 
Ok binafsi nimeelewa vitakuja used vichache vianze safari huku tukipima Ubora wa reli mpya na miundombinu yake, that's good starts / kuliko "xyz" alivyokuwa akidanganya uongo ni mbaya sana mtu unasikia kabisa kifaa kinakoroma angani unatuambia ndio modeli yake wakati ikitaka kutoa tairi
 
Hii ndio Tanzania, Hata magari huwa nasikia watu wamenunua mapya kabisa kutoka Japani ila cha kushangaza mengi yanakuwa yameshatembea km 30,000 na kuendelea [emoji205]
Unazungumzia Magari yapi? Kinacho tofautisha mpta na Used ni Bei mkuu, ukitaka jipya mvona yapo,
 
Ok binafsi nimeelewa vitakuja used vichache vianze safari huku tukipima Ubora wa reli mpya na miundombinu yake, that's good starts / kuliko "xyz" alivyokuwa akidanganya uongo ni mbaya sana mtu unasikia kabisa kifaa kinakoroma angani unatuambia ndio modeli yake wakati ikitaka kutoa tairi
Hivi bado mpo mnaoamini propaganda za Zitto and co kuwa zile ndege ni used? Tafuta mtu anaejua ndege akwambie ule mlio ni wa nini. Kukusaidia tu haihusiani kabisa na kutoa matairi.
 
Ila pale bungeni wanauwezo wa kulipana mishahara na kununua magari ya kifahari.

Ila hao wanajisifu kununua ndege mpya cash. Pia wameagiza zingine 5 kwani hatukuona ili linakuja la treni.

Matokeo ya kununua mtumba. Gharama za uendeshaji zitakua kubwa kupitia service.

Huwa najiuliza hivi serikalini hakuna watu wanaoshirika ubongo kuwaza
 
Hivi bado mpo mnaoamini propaganda za Zitto and co kuwa zile ndege ni used? Tafuta mtu anaejua ndege akwambie ule mlio ni wa nini. Kukusaidia tu haihusiani kabisa na kutoa matairi.
Afadhali kumbe ule mlio unaujua? Toka uzaliwe umewahi sikia ndege yoyote ikitoa mlio kama huo?jibu swali usikae kimya
 
Mitumba ni utamaduni wetu, mpaka papuchi za mitumba tunatumia
Magari, sijui mavazi nk nk "brand new" ni rahisi kuvipata na kuvitumia kuliko kupata "p" mpya ukaichana mwenyewe kwenye karatasi.

Vyovyote ufanye selection, inakuwa ni used!
 
Back
Top Bottom