Rais Samia: Uanaharakati, vikundi vya kigaidi na maandamano ni mfumo wa vurugu kuwasilisha sauti ya watu

Rais Samia: Uanaharakati, vikundi vya kigaidi na maandamano ni mfumo wa vurugu kuwasilisha sauti ya watu

Unapouongelea mkataba ni kama vile mstari fulani wa kwenye kitabu kitakatifu cha ZABURI, au Matendo ya Mitume.

Wanasheria kila siku wanaelimisha kuhusu huo huo mkataba tofauti na hawa kina Mwabukusi wanaochagua kifungu kimoja au viwili badala ya kuuchambua mkataba mzima ili mwananchi wa kawaida apate ufahamu sahihi.

Samia amekuwa ni rais msikivu sana tofauti na waliomtangulia, ameifufua demokrasia na kuleta uhuru na uwazi wa kusema chochote mtu anachojisikia.

Hafanyi kwa msukumo wa maslahi yake, sio kweli. Ni lazima mamlaka ya nchi iheshimu mchango wa wafanyabiashara kwa mfano. Ni lazima nchi iongozwe na weledi katika kila sekta.

Kuna hawa lobbyist wamekuwa na nguvu sana awamu hii, na yeye kama rais amewapa uhuru. Sioni kama hilo ni kosa au ni udhaifu wa uongozi wake.

Hayupo ikulu kuridhisha kila mtu kutoka katika kila taasisi, yupo pale kutimiza zile ahadi zote ambazo CCM waliziahidi kupitia ilani ya uchaguzi. Na anazitimiza moja baada ya nyingine.

Ndio maana wakubwa wa zile taasisi nyeti za kiserikali hakutaka kuwabadilisha, alitaka wamalize kazi walizoanza awamu ya tano. Hata salamu ya Kazi iendelee ni tafsiri ya hali halisi aliyoachiwa na mtangulizi wake hayati JPM.
kimsingi unazungukia mle mle kwenye "talking points" zile zile toka mwanzo, hakuna jipaya hata moja katika haya yote uliyoandika hapa.

Sasa ngoja nikwambie kitu, na sitarudia tena. Najua lilishakieleza kwako, lakini hukuzingatia niliyokueleza.
Usidharau uwezo wa kufikiri wa watu unaojadiliana nao hapa. Usichukulie wote unaobadilishana nao mawazo kuwa akili zao ni pungufu.
Yaliyomokwenye "Makubaliano/Mkataba" kati ya Tanzania na Dubai sasa hivi yanajulikana kwa yeyote anayejua kusoma na kuelewa, na si lazima awe mwanasheria (hizi myth za kipuuzi). Unapoendelea kudai hakuna tatizo lolote na Makubaliano/Mkataba" huo, eti kwa vile wewe ni mwanasheria unayejua sheria sana, unaonyesha upungufu katika fikra zako.
Samia ni kiongozi dhaifu sana tena mwenye hadaa za kijinga sana kama mnavyoendeleza hadaa hizo hizo mbele za watu kama unavyofanya wewe hapa.

Ukitaka kujua ubaya wa huyo kiongozi unayeshinda hapa ukitetea mambo anayofanya sasa hivi, ni kujua jinsi alivyokuwa akifanya chini ya mkuu wake JPM.
Hakunayanyua kidole wala kutikisa mdomo juu ya lolote lililofanywa na huyo huyo kiongozi aliyekuwa akimsaidia kazi.
Sasa baada ya huyo kiongozi kufa, huyu aliyekuwa kavaa ngozi ya kondoo, mara moja kageuka kuwa chui, anageka na kufanya tofauti kabsa na yale yaliyokuwa yakifanywa na JPM.
JPM asingekumbatia hawa walanguzi wa mali za waTanzania, ndio wawe watu wa kuendesha serikali yake.

Sitashangaa sana ukiwa ni mmoja wa waajiriwa wa hawa watu, kuja hapa kuweka upotoshaji hata katika maswala yaliyo wazi kabisa, na kudhani watu hawana akili ya kuyatambua.
 
kimsingi unazungukia mle mle kwenye "talking points" zile zile toka mwanzo, hakuna jipaya hata moja katika haya yote uliyoandika hapa.

Sasa ngoja nikwambie kitu, na sitarudia tena. Najua lilishakieleza kwako, lakini hukuzingatia niliyokueleza.
Usidharau uwezo wa kufikiri wa watu unaojadiliana nao hapa. Usichukulie wote unaobadilishana nao mawazo kuwa akili zao ni pungufu.
Yaliyomokwenye "Makubaliano/Mkataba" kati ya Tanzania na Dubai sasa hivi yanajulikana kwa yeyote anayejua kusoma na kuelewa, na si lazima awe mwanasheria (hizi myth za kipuuzi). Unapoendelea kudai hakuna tatizo lolote na Makubaliano/Mkataba" huo, eti kwa vile wewe ni mwanasheria unayejua sheria sana, unaonyesha upungufu katika fikra zako.
Samia ni kiongozi dhaifu sana tena mwenye hadaa za kijinga sana kama mnavyoendeleza hadaa hizo hizo mbele za watu kama unavyofanya wewe hapa.

Ukitaka kujua ubaya wa huyo kiongozi unayeshinda hapa ukitetea mambo anayofanya sasa hivi, ni kujua jinsi alivyokuwa akifanya chini ya mkuu wake JPM.
Hakunayanyua kidole wala kutikisa mdomo juu ya lolote lililofanywa na huyo huyo kiongozi aliyekuwa akimsaidia kazi.
Sasa baada ya huyo kiongozi kufa, huyu aliyekuwa kavaa ngozi ya kondoo, mara moja kageuka kuwa chui, anageka na kufanya tofauti kabsa na yale yaliyokuwa yakifanywa na JPM.
JPM asingekumbatia hawa walanguzi wa mali za waTanzania, ndio wawe watu wa kuendesha serikali yake.

Sitashangaa sana ukiwa ni mmoja wa waajiriwa wa hawa watu, kuja hapa kuweka upotoshaji hata katika maswala yaliyo wazi kabisa, na kudhani watu hawana akili ya kuyatambua.
Hakuna anayedharau uwezo wa mtu wa kufikiria, Wapo wanasheria kwenye suala la DP kwa sababu maalum.

Wao ndio walioandika hii mikataba tena baada ya miezi mingi ndio wakaimaliza, wakijadiliana na wale wanasheria wa upande wa Dubai. Kukosolewa au kuwa na mawazo tofauti na unavyofikiri haimaanishi kwamba uwezo wako wa kuelewa una mushkeri.

Weka kipengele au kifungu cha mkataba chenye tatizo kuliko kuishia kusema una matatizo wakati kila mara wanasheria wanafanya kazi ya kuondokana na huo upotoshaji unaoletwa makusudi ili kupinga mradi mzima wa uwekezaji.

Hakuna malaika anayepewa nafasi ya kuongoza nchi mahali popote pale duniani. JPM alikosolewa kwa mabaya aliyofanya wakati akiwa hai na Samia anayo haki ya kukosolewa muda huu akiwa ndio rais wetu.

Walanguzi unaowaona wewe hawafai wanao upande chanya na unaendelea kulisaidia taifa hili. Usisahau kuwa JPM na yeye alikuwa na watu pale TRA waliopora mali za watu kwa kutumia nguvu na kuwalipisha kodi ile ile mara mbili huku wakionyesha ushahidi kwamba walishalipa!.

Jana tumemzika Mzee Mbughuni pale Kisutu, ni mwanzilishi wa gazeti binafsi la kwanza hapa nchini na ni mwanamageuzi na mwanamapinduzi wa soko huria miaka ile. Alianzisha Akiba Commercial Bank mwaka tisini na saba. Lakini alifilisiwa mali za chombo cha habari alichokimiliki na Musiba alikuwa akitamba mbele ya kamera kwa kutumia mali za hayati Mbughuni!.

Mzee wa watu amekufa akiwa na mawazo ya miaka ya nyuma na ni serikali ya SSH imerudisha mitaani gazeti lake moja na muda sio mrefu atarudishiwa ofisi zake za pale Gerezani.

Samia anaweza kuwa na madhambi yake lakini mpaka muda huu ameonyesha uongozi sikivu na uongozi wenye kujali watu, zipo jitihada za kuichafua awamu yake lakini haziwezi kufua dafu kwa mema mengi anayoyafanya.
 
Weka kipengele au kifungu cha mkataba chenye tatizo kuliko kuishia kusema una matatizo wakati kila mara wanasheria wanafanya kazi ya kuondokana na huo upotoshaji unaoletwa makusudi ili kupinga mradi mzima wa uwekezaji.
Kwa hiyo kwako hakuna tatizo kabisa na Makubaliano/Mkataba?

Unataka kweli nipoteze muda hapa nikuonyeshe wewe sehemu zenye utata katika nyaraka hiyo, kweli?

Wewe ni mmoja wa hao wanasheria mliotengeneza hayo makubaliano?
Nakumbuka nilishasema humu; kama wewe siyo Hamza mwenyewe, utakuwa ni mtu aliye karibu sana na huyo Hamza mwenyewe.

Kwa hiyo ngoja nimalize majibishano haya na wewe kwa kukuambia kwamba, wewe, Hamza Johari, Samia na kundi lote mnaohusika na uhujumu huu wa hii nchi, kamwe hamtafanikiwa!
Hamtaachwa kuchezea raslimali za taifa hili mtakavyo wenyewe.

Hamna nia njema na taifa hili, na historia itaonyesha hivyo, hata mkishaondoshewa mbali.
 
Kwa hiyo kwako hakuna tatizo kabisa na Makubaliano/Mkataba?

Unataka kweli nipoteze muda hapa nikuonyeshe wewe sehemu zenye utata katika nyaraka hiyo, kweli?

Wewe ni mmoja wa hao wanasheria mliotengeneza hayo makubaliano?
Nakumbuka nilishasema humu; kama wewe siyo Hamza mwenyewe, utakuwa ni mtu aliye karibu sana na huyo Hamza mwenyewe.

Kwa hiyo ngoja nimalize majibishano haya na wewe kwa kukuambia kwamba, wewe, Hamza Johari, Samia na kundi lote mnaohusika na uhujumu huu wa hii nchi, kamwe hamtafanikiwa!
Hamtaachwa kuchezea raslimali za taifa hili mtakavyo wenyewe.

Hamna nia njema na taifa hili, na historia itaonyesha hivyo, hata mkishaondoshewa mbali.
Punguza porojo na kuongea kwa hisia bila ya ushahidi wowote.

Hakuna kifungu chochote kilichomo ndani ya mkataba chenye nia mbaya na taifa hili.

Kifungu namba 20 cha mkataba huu kimeweka mpaka namna ya kutokea iwapo kutaibuka sintofahamu kati ya pande zote mbili.

Kipo kifungu kingine ambacho kinamtaka mwekezaji awaendeleze kitaaluma wataalam wetu wa masuala ya bandari, kutakuwa na ubia kati ya DPW na chuo cha DMI kwa ajili ya kukuza uelewa wa wataalam wetu.

Pia kipo kifungu cha kutaifisha uwekezaji mzima iwapo serikali itaona inafaa kufanya hivyo. Hao kina Mwabukusi wanachagua vifungu vichache vya kudanganyia watu na vyenyewe hawavisomi mpaka mwisho kwani lengo la upotoshaji haliwaruhusu kufanya hivyo.
 
Punguza porojo na kuongea kwa hisia bila ya ushahidi wowote.

Hakuna kifungu chochote kilichomo ndani ya mkataba chenye nia mbaya na taifa hili.

Kifungu namba 20 cha mkataba huu kimeweka mpaka namna ya kutokea iwapo kutaibuka sintofahamu kati ya pande zote mbili.

Kipo kifungu kingine ambacho kinamtaka mwekezaji awaendeleze kitaaluma wataalam wetu wa masuala ya bandari, kutakuwa na ubia kati ya DPW na chuo cha DMI kwa ajili ya kukuza uelewa wa wataalam wetu.

Pia kipo kifungu cha kutaifisha uwekezaji mzima iwapo serikali itaona inafaa kufanya hivyo. Hao kina Mwabukusi wanachagua vifungu vichache vya kudanganyia watu na vyenyewe hawavisomi mpaka mwisho kwani lengo la upotoshaji haliwaruhusu kufanya hivyo.
Kwa vile wewe ni mhusika katika "Mkataba/Makubaliano" hayo,; ingekuwa bora zaidi unukuu moja kwa moja vifungu hivyo unavyozungumzia hapa.
Imebainika kwamba kuna mambo mengi yanawekwa yakidaiwa kuwa ni sehemu ya nyaraka hiyo, kumbe siyo kweli, ni upotoshaji.

Usijali lugha: weka hizo sehemu za nyaraka unazodai zinaeleza hivyo toka kwenye nyaraka hiyo. Mimi nyaraka niliyosoma sikuona hayo unayoeleza wewe hapa.
 
..Nakumbuka Samia aliwahi kusema kwamba kabla ya kujiunga na Ccm alikuwa mwanaharakati.

..inashangaza leo hii unawazungumzia wanaharakati ktk kundi moja na magaidi.
Haya sasa.
Kisha sahau alikotokea?

Kama alivyo sahau aliyokuwa akimsaidia Magufuli kuyatekeleza!

Credibility zero.
 
Kwa vile wewe ni mhusika katika "Mkataba/Makubaliano" hayo,; ingekuwa bora zaidi unukuu moja kwa moja vifungu hivyo unavyozungumzia hapa.
Imebainika kwamba kuna mambo mengi yanawekwa yakidaiwa kuwa ni sehemu ya nyaraka hiyo, kumbe siyo kweli, ni upotoshaji.

Usijali lugha: weka hizo sehemu za nyaraka unazodai zinaeleza hivyo toka kwenye nyaraka hiyo. Mimi nyaraka niliyosoma sikuona hayo unayoeleza wewe hapa.
Ndio upotoshaji wenyewe huo ambao mnaufanya mpaka kwenye kile kipindi cha mtandaoni na yule mwanasheria mkenya mliyekuwa naye mwanzoni mwa suala hili.

Unapenda sana upotoshaji kwa kutumia wataalam lakini walipoibuka wale waliouandaa huo mkataba yule mwanasheria wako mkenya akapoteza kabisa hoja.

Taifa hili limesomesha watu wengi na wanao umahiri wa kuweza kulitetea. Humu JF kuna mpaka tafsiri ya vifungu vyote 30 kwa lugha ya kiswahili, alileta FaizaFoxy itafute hiyo tafsiri halafu tazama hivyo vifungu kwa kina.
 
Pia kipo kifungu cha kutaifisha uwekezaji mzima iwapo serikali itaona inafaa kufanya hivyo. Hao kina Mwabukusi wanachagua vifungu vichache vya kudanganyia watu na vyenyewe hawavisomi mpaka mwisho kwani lengo la upotoshaji haliwaruhusu kufanya hivyo
Naona wewe utakuwa unayo nyaraka tofauti na hii nyingine ambayo imezunguka sana hata humu JF.

Lakini kukuonyesha usivyokuwa makini, ni kusoma mstari huu ulioandika hapa, sijui ulitegemea kumshawishi nani juu ya hili:
"...Hao kina Mwabukusi wanachagua vifungu vichache vya kudanganyia watu na vyenyewe hawavisomi mpaka mwisho...".
Hapa kweli unategemea mtu aone kuwa umechangia jambo la ziada ili kuondoa wasiwasi walio nao watu?

Kwa nini usikate mzizi, kwa kuweka hivyo vifungu vinavyopotosha watu kwa ukamilifu kabisa na kuwazima hao wapotoshaji moja kwa moja, badala ya kuhangaika na kuja hapa na upotoshaji usiokuwa na nguvu yoyote?
 
Ndio upotoshaji wenyewe huo ambao mnaufanya mpaka kwenye kile kipindi cha mtandaoni na yule mwanasheria mkenya mliyekuwa naye mwanzoni mwa suala hili.

Unapenda sana upotoshaji kwa kutumia wataalam lakini walipoibuka wale waliouandaa huo mkataba yule mwanasheria wako mkenya akapoteza kabisa hoja.

Taifa hili limesomesha watu wengi na wanao umahiri wa kuweza kulitetea. Humu JF kuna mpaka tafsiri ya vifungu vyote 30 kwa lugha ya kiswahili, alileta FaizaFoxy itafute hiyo tafsiri halafu tazama hivyo vifungu kwa kina.
Huna kitu. Unanipotezea muda.
Weka hivyo vifungu ulivyodai wewe hapa kuwa vipo, na hutanisikia tena nikijibishana nawe.
 
Naona wewe utakuwa unayo nyaraka tofauti na hii nyingine ambayo imezunguka sana hata humu JF.

Lakini kukuonyesha usivyokuwa makini, ni kusoma mstari huu ulioandika hapa, sijui ulitegemea kumshawishi nani juu ya hili:
"...Hao kina Mwabukusi wanachagua vifungu vichache vya kudanganyia watu na vyenyewe hawavisomi mpaka mwisho...".
Hapa kweli unategemea mtu aone kuwa umechangia jambo la ziada ili kuondoa wasiwasi walio nao watu?

Kwa nini usikate mzizi, kwa kuweka hivyo vifungu vinavyopotosha watu kwa ukamilifu kabisa na kuwazima hao wapotoshaji moja kwa moja, badala ya kuhangaika na kuja hapa na upotoshaji usiokuwa na nguvu yoyote?
Vifungu vyote vilitafsiriwa mbele ya wahariri kimoja baada ya kingine. Nyinyi wanaharakati labda mje na mada nyingine kabisa, upotoshaji wenu hauwasaidii wala kulisaidia taifa.
 
Vifungu vyote vilitafsiriwa mbele ya wahariri kimoja baada ya kingine. Nyinyi wanaharakati labda mje na mada nyingine kabisa, upotoshaji wenu hauwasaidii wala kulisaidia taifa.
Umesahau kwamba Samia mwenyewe alijitangaza kuwa "Mwanaharakati"?

Kama siyo utapeli huo watu wauite kitu gani wakati huu akiukana na kuuweka kapu moja na "ugaidi"?

Hivi unadhani kumtetea mtu asiyejua hili wala lile ni kazi rahisi?

Mimi sihitaji "vifungu vilivyotafsiriwa", niwekee hapa vilivyomo kwenye nyaraka husika katika lugha ile ile iliyotumika kwenye nyaraka hiyo.

Hadi hapa tulipofikia, tokea mwanzo tulipojibishana humu JF kati yako na mimi, umekwisha jitambulisha vya kutosha kabisa kujua ni mtu wa aina gani wewe.

Huna uchungu kabisa na nchi hii kama asivyokuwa na uchungu wowote kiongozi wake wa juu kabisa.
Ni bahati mbaya sana kwa nchi kufikia kwenye ngazi ya namna hii. Tuombe tu Mungu anusuru, tusije tukaingia kwenye matatizo yanayotokana na uongozi wa aina hii; kwa wananchi mwishowe kuamua kutokua na uvumilivu zaidi.
 
Taifa hili limesomesha watu wengi na wanao umahiri wa kuweza kulitetea. Humu JF kuna mpaka tafsiri ya vifungu vyote 30 kwa lugha ya kiswahili, alileta FaizaFoxy itafute hiyo tafsiri halafu tazama hivyo vifungu kwa kina.
sikujua.
Kumbe unao upungufu mkubwa zaidi kuliko nilivyofikiria tokea huko mwanzo.

Nimekwishaandika kuwa nimekujua vya kutosha kutokana na maandishi yako niliyosoma, msukumo unaokufanya ung'ang'ania kufanya upotoshaji kwa kurudiarudia mambo yale yale; lakini sasa ni wazi zaidi kuwa unao upungufu mkubwa hata katika namna ya kupotosha unako kufanya humu humu JF.

Weka nyaraka husika yenyewe hapa na siyo hilo unalozungumzia kuwekwa na huyo mnayeshirikiana kupotosha watu.

Kama huna/huwezi, usinisumbue tena na hizi ngonjera unazoweka hapa.
 
sikujua.
Kumbe unao upungufu mkubwa zaidi kuliko nilivyofikiria tokea huko mwanzo.

Nimekwishaandika kuwa nimekujua vya kutosha kutokana na maandishi yako niliyosoma, msukumo unaokufanya ung'ang'ania kufanya upotoshaji kwa kurudiarudia mambo yale yale; lakini sasa ni wazi zaidi kuwa unao upungufu mkubwa hata katika namna ya kupotosha unako kufanya humu humu JF.

Weka nyaraka husika yenyewe hapa na siyo hilo unalozungumzia kuwekwa na huyo mnayeshirikiana kupotosha watu.

Kama huna/huwezi, usinisumbue tena na hizi ngonjera unazoweka hapa.
Huna hoja wewe, usaliti unaoifanyia Tanzania unakutesa nafsi.
 
Umesahau kwamba Samia mwenyewe alijitangaza kuwa "Mwanaharakati"?

Kama siyo utapeli huo watu wauite kitu gani wakati huu akiukana na kuuweka kapu moja na "ugaidi"?

Hivi unadhani kumtetea mtu asiyejua hili wala lile ni kazi rahisi?

Mimi sihitaji "vifungu vilivyotafsiriwa", niwekee hapa vilivyomo kwenye nyaraka husika katika lugha ile ile iliyotumika kwenye nyaraka hiyo.

Hadi hapa tulipofikia, tokea mwanzo tulipojibishana humu JF kati yako na mimi, umekwisha jitambulisha vya kutosha kabisa kujua ni mtu wa aina gani wewe.

Huna uchungu kabisa na nchi hii kama asivyokuwa na uchungu wowote kiongozi wake wa juu kabisa.
Ni bahati mbaya sana kwa nchi kufikia kwenye ngazi ya namna hii. Tuombe tu Mungu anusuru, tusije tukaingia kwenye matatizo yanayotokana na uongozi wa aina hii; kwa wananchi mwishowe kuamua kutokua na uvumilivu zaidi.
Unaona aibu tu kushikilia uwekewe vifungu vile vile kwani kipindi chako cha mtandaoni na yule mkenya kilibuma na kukugeuka.

Haukujua kuwa Tanzania imejipanga sana kwenye suala hili la uwekezaji, ujuaji umekujaa kiasi cha kudhani unajua kitu kuliko wanasheria wabobezi waliokupa shule ya bure wewe na wasaliti wengine wenye hulka kama za kwako.
 
Huna hoja wewe, usaliti unaoifanyia Tanzania unakutesa nafsi.
EeeenHeeeee!
Sasa ongalia upuuzi unaouingia hapa. Unajua maana ya usaliti wewe?
Kuna siku wewe na huyo mtu mliyemteka mtasimama mbele za waTanzania kueleza huu unajisi mnaoifanyia nchi yenu.
 
Back
Top Bottom